afghanistan

Afghanistan ( (listen); Pashto/Dari: افغانستان, Pashto: Afġānistān [avɣɒnisˈtɒn, ab-], Dari: Afġānestān [avɣɒnesˈtɒn]), officially the Islamic Republic of Afghanistan, is a landlocked country in Asia. Afghanistan is bordered by Pakistan to the east and south; Iran to the west; Turkmenistan, Uzbekistan, and Tajikistan to the north; and China to the northeast. Occupying 652,000 square kilometers (252,000 sq mi), it is a mountainous country with plains in the north and southwest. Kabul is the capital and largest city. The population is 32 million, mostly composed of ethnic Pashtuns, Tajiks, Hazaras and Uzbeks.
Human habitation in Afghanistan dates back to the Middle Paleolithic Era, and the country's strategic location along the Silk Road connected it to the cultures of the Middle East and other parts of Asia. The land has historically been home to various peoples and has witnessed numerous military campaigns, including those by Alexander the Great, Mauryas, Muslim Arabs, Mongols, British, Soviets, and by the United States with allied countries. The land also served as the source from which the Kushans, Hephthalites, Samanids, Saffarids, Ghaznavids, Ghorids, Khaljis, Mughals, Hotaks, Durranis, and others have risen to form major empires.
The political history of the modern state of Afghanistan began with the Hotak and Durrani dynasties in the 18th century. In the late 19th century, Afghanistan became a buffer state in the "Great Game" between British India and the Russian Empire. Its border with British India, the Durand Line, was formed in 1893 but it is not recognized by the Afghan government and it has led to strained relations with Pakistan since the latter's independence in 1947. Following the Third Anglo-Afghan War in 1919 the country was free of foreign influence, eventually becoming a monarchy under Amanullah Khan, until almost 50 years later when Zahir Shah was overthrown and a republic was established. In 1978, after a second coup Afghanistan first became a socialist state and then a Soviet protectorate. This evoked the Soviet–Afghan War in the 1980s against mujahideen rebels. By 1996 most of Afghanistan was captured by the Islamic fundamentalist group the Taliban, who ruled as a totalitarian regime for over five years. Following the 9/11 attacks, an intervention by the US and its allies forcibly removed the Taliban from power, and a new democratically-elected government was formed, but the Taliban still control a significant portion of the country.
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic. The country has high levels of terrorism, poverty, child malnutrition, and corruption. It is a member of the United Nations, the Organisation of Islamic Cooperation, the Group of 77, the Economic Cooperation Organization, and the Non-Aligned Movement. Afghanistan's economy is the world's 96th largest, with a gross domestic product (GDP) of $72.9 billion by purchasing power parity; the country fares much worse in terms of per-capita GDP (PPP), ranking 169th out of 186 countries as of 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. EINSTEIN112

    Afghanistan: Shambulio baya lakumba msikiti wa Kunduz wakati wa ibada ya Ijumaa

    Mlipuaji wa kujitolea muhanga amelenga msikiti mmoja kaskazini mwa mji wa Afghanistan wa Kunduz wakati wa ibada ya Ijumaa na kuwaua takriban watu 50. Picha katika mitandao ya Kijamii zimeonesha miili na vifusi ndani ya msikiti , unaotumika sana na jamii ya walio wachache wa dhehebu la Shia...
  2. Crimea

    Afghanistan kuingia gizani muda wowote

    Hawa taliban walifikiri kuongoza nchi ni sawa na kuvaa kanzu, vilemba, kubeba bunduki na kupiga hovyo? Unambiwa sasa wanadaiwa mabilioni yanayotokana na malipo ya bill ya kununu umeme toka kwa majirani. Unaambiwa pia ilikuwa ni tabia yaa ya kuhujumu miundombinu ya umeme kabla hawajashika...
  3. beth

    Afghanistan: Mamia wajitokeza ofisi ya kutoa passport baada ya Taliban kutangaza kurejesha huduma

    Siku moja baada ya kutangazwa kuwa Hati za Kusafiria (Passport) zitaanza kutolewa, mamia ya wananchi wamejitokeza katika Ofisi hiyo Huduma hiyo ilisitishwa baada ya Taliban kuchukua madaraka mwezi Agosti, hali ambayo ilipelekea wengi waliotaka kuondoka Nchini humo kushindwa Kwa mujibu wa UN...
  4. Miss Zomboko

    Afghanistan: Vinyozi wapigwa marufuku kuwanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume

    Wapiganaji wa Taliban wamepiga marufuku , vinyozi katika mkoa wa Helmand nchini humo kutowanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume, wakisema hatua hiyo inakiuka sheria ya Kiislamu. ‘’Mtu yoyote anayekiuka sheria hiyo ataadhibiwa’’ , Askari wa Taliban wamesema. Baadhi ya vinyozi katika mji wa Kabul...
  5. jollyman91

    US to face repeat of its fate in Afghanistan if it doesn’t leave Syria: FM

    Syrian Foreign and Expatriates Minister Faisal Mikdad warns the United States to pull out its forces from the Arab country before facing a repeat of its fate in Afghanistan. Mikdad made the comment during an interview with Russia 24 television channel on Friday, adding, “The presence of US...
  6. beth

    Afghanistan: Meya wa Kabul azuia Wanawake wanaofanya kazi Manispaa kwenda kazini

    Meya mpya wa Mji Mkuu wa Afghanistan, Kabul, amewaambia Wanawake wanaofanya kazi Manispaa kukaa nyumbani isipokuwa kama kazi zazo haziwezi kufanywa na Wanaume Hamdullah Nomany amesema Taliban imeona kuna haja ya kuzuia Wanawake kufanya kazi kwa muda. Ni kizuizi kingine kuwekwa dhidi ya Wanawake...
  7. beth

    Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali ya kibinadamu Afghanistan

    Umoja wa Mataifa (UN) unatazamia kukusanya zaidi ya Dola za Marekani Milioni 600 kusaidia Afghanistan, ikionya nchi hiyo inakabiliwa na janga kubwa la kibinadamu. Kwa mujibu wa UN, Raia wanahitaji Chakula, Dawa, Huduma za Afya pamoja na Maji safi na salama. Imeelezwa hata kabla ya Taliban...
  8. Valencia_UPV

    Taliban hawana pesa ya kuendesha Serikali

    Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui ======= Taliban took Afghanistan but face cash squeeze By JOSH BOAK WASHINGTON (AP) — The Taliban face a frontal challenge in cementing control of Afghanistan: Money...
  9. Analogia Malenga

    Afghanistan: Rais wa zamani Ashraf Ghani aomba msamaha kwa kukimbia nchi

    Rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani ameomba msamaha kwa watu wa Afghanistan baada ya kukimbilia katika nchi za Falme za Kiarabu. "Kuondoka Kabul ulikuwa uamuzi mgumu zaidi maishani mwangu," amesema, akiongeza kuwa anajuta kwamba "hakuweza kumaliza hilo kwa njia tofauti." Bwana Ghani...
  10. Linguistic

    Taliban watangaza Serikali ya Mpito Afghanistan

    Habari za Hivi Punde Ni Kwamba, Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini Afghanistan, itakayoongozwa na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo, mwanamgambo aliyekuwa akisakwa na FBI kama Waziri wa Mambo ya ndani. Serikali itaongozwa na Mullah Mohammad Hassan Akhund, huku mwanzilishi...
  11. Roving Journalist

    Afghanistan: Female Students are separated from males by curtains in classrooms

    Universities in Kabul were almost empty on the first day of the Afghan school year, as professors and students wrestled with the Taliban’s restrictive new rules for the classroom. The Taliban have promised a softer rule than during their first stint in power from 1996-2001, when women’s...
  12. Miss Zomboko

    Afghanistan: Wanafunzi Wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia madarasani

    Wanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani. Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane. =========================...
  13. L

    Marekani yaondoka nchini Afghanistan mikono mitupu baada ya vita ya miaka 20

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Marekani Jenerali Kenneth McKenzie tarehe 30 Agosti alitangaza kwamba, Marekani imemaliza kuondoa vikosi vyake kutoka nchini Afghanistan, ikimaanisha kuwa, operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyoendelea kwa miaka 20 nchini Afghanistan imemalizika rasmi. Vita hii ambayo...
  14. Abdul Ghafur

    Vita ya Afghanistan

    Kuhusu vita ya US na nchi za Magharibi dhidi ya Waislam wa Afghanistan, Ukweli ni huu. Siri ambayo haiwekwi wazi leo naiweka wazi. Haikuwa vita ya ugaidi au ya kuwa US wanawapenda Sana wa Afghanistan au wanataka demokradia. Ilikua ni vita ya kibiashara. Biashara yenye faida kubwa kuliko mafuta...
  15. Superbug

    Swali la kipombe: Kuishi demu Marekani kwa amani na kuishi Afghanistan mwanaume Ila utauawa na Taleban, kipi Bora?

    Hili swali nimejiuliza hivi kuishi mwanamke USA New York maisha yako yote au kuishi kidume Afghanistan halafu baada ya miaka kumi au 20 unajikuta kwenye war zone halafu Taleban wanakuhisi ni traitor wanakuuwa kwa kukukata shingo kwa kisu polepole ungechagua kipi? Mimi mzee baba ningechagua kuwa...
  16. Analogia Malenga

    Afrika Kusini yakataa kuwa mwenyeji wa wakimbizi wa Afghanistan

    Afrika Kusini imesema haiwezi kuchukua wakimbizi kutoka Afghanistan licha ya ombi. "Afrika Kusini tayari ni makazi ya idadi kubwa ya wakimbizi na imebanwa kushughulikia mahitaji yao," Idara ya Uhusiano wa Kimataifa ilisema katika taarifa yake. Ilisema ilikuwa imeombwa kuchukua wakimbizi ambao...
  17. Analogia Malenga

    Waganda walioko Afghanistan wagoma kurudi kwao

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jenerali Jeje Odongo amesema waganda walioko Afghastan wamegoma kurudi Uganda Jen. Odongo amesema katika waganda walioko Afghanstan ni waganda watatu tu walioko tayari kurudi na wameshaandaliwa utaratibu Wengine wamesema wako salama wataendelea kubaki. Nchi...
  18. L

    Kutowajibika kwa Marekani nchini Afghanistan kwaleta changamoto kubwa ya kibinadamu

    Muda uliowekwa na Rais Joe Biden wa Marekani kuondoa majeshi kutoka Iraq umepita, huu ni muda ambao wamarekani wengi walikuwa wakiusubiria. Kwani kwa muda wa miaka 20, wamarekani wamekuwa wakijiuliza ni kwanini majeshi ya Marekani yanaendelea kuwepo Afghanistan? Wazazi wa wanajeshi waliokuwa...
  19. beth

    Marekani: Rais Biden atetea uamuzi wa kuondoa Vikosi Afghanistan

    Rais Joe Biden ametetea uamuzi wake wa kuondoa Vikosi vya Marekani Nchini Afghanistan. Rais huyo amekosolewa kwa kiasi kikubwa kutokana na namna Vikosi vya Taifa hilo vilivyoondoka. Hata hivyo, katika hotuba yake Biden amesema kuendelea kukaa zaidi halikuwa suala lililohitaji mjadala na hakuwa...
  20. sky soldier

    Mwanajeshi aliyemuua Osama amlaumu Biden juu ya hali ya Afghanistan

    akili ya kawaida unatoa kwanza raia wa marekanj na silaha za marekani ndio jeshi linaondoka ila huyu mluga luga katoa kwanza jeshi sijui alitegemea nini. kuna mjeshi wa navy seals aliemuaa osama kamchana Biden juu ya huu upuuzi, silaha za zaidi ya trilioni 180 zimeachwa huko,saizi taliban...
Back
Top Bottom