afghanistan

Afghanistan ( (listen); Pashto/Dari: افغانستان, Pashto: Afġānistān [avɣɒnisˈtɒn, ab-], Dari: Afġānestān [avɣɒnesˈtɒn]), officially the Islamic Republic of Afghanistan, is a landlocked country in Asia. Afghanistan is bordered by Pakistan to the east and south; Iran to the west; Turkmenistan, Uzbekistan, and Tajikistan to the north; and China to the northeast. Occupying 652,000 square kilometers (252,000 sq mi), it is a mountainous country with plains in the north and southwest. Kabul is the capital and largest city. The population is 32 million, mostly composed of ethnic Pashtuns, Tajiks, Hazaras and Uzbeks.
Human habitation in Afghanistan dates back to the Middle Paleolithic Era, and the country's strategic location along the Silk Road connected it to the cultures of the Middle East and other parts of Asia. The land has historically been home to various peoples and has witnessed numerous military campaigns, including those by Alexander the Great, Mauryas, Muslim Arabs, Mongols, British, Soviets, and by the United States with allied countries. The land also served as the source from which the Kushans, Hephthalites, Samanids, Saffarids, Ghaznavids, Ghorids, Khaljis, Mughals, Hotaks, Durranis, and others have risen to form major empires.
The political history of the modern state of Afghanistan began with the Hotak and Durrani dynasties in the 18th century. In the late 19th century, Afghanistan became a buffer state in the "Great Game" between British India and the Russian Empire. Its border with British India, the Durand Line, was formed in 1893 but it is not recognized by the Afghan government and it has led to strained relations with Pakistan since the latter's independence in 1947. Following the Third Anglo-Afghan War in 1919 the country was free of foreign influence, eventually becoming a monarchy under Amanullah Khan, until almost 50 years later when Zahir Shah was overthrown and a republic was established. In 1978, after a second coup Afghanistan first became a socialist state and then a Soviet protectorate. This evoked the Soviet–Afghan War in the 1980s against mujahideen rebels. By 1996 most of Afghanistan was captured by the Islamic fundamentalist group the Taliban, who ruled as a totalitarian regime for over five years. Following the 9/11 attacks, an intervention by the US and its allies forcibly removed the Taliban from power, and a new democratically-elected government was formed, but the Taliban still control a significant portion of the country.
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic. The country has high levels of terrorism, poverty, child malnutrition, and corruption. It is a member of the United Nations, the Organisation of Islamic Cooperation, the Group of 77, the Economic Cooperation Organization, and the Non-Aligned Movement. Afghanistan's economy is the world's 96th largest, with a gross domestic product (GDP) of $72.9 billion by purchasing power parity; the country fares much worse in terms of per-capita GDP (PPP), ranking 169th out of 186 countries as of 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Taliban yapiga marufuku Wanawake kutembelea Hifadhi ya Kitaifa

    Marufuku hiyo ya Uongozi wa Taliban umehusu Mbuga ya Wanyama ya Band-e-Amir iliyopo katika Jimbo la Bamiyan, ambapo Kaimu Waziri wa Maadili wa Afghanistan, Mohammad Khaled Hanafi amesema Wanawake wamekuwa hawazingatii mavazi ya hijabu wanapokuwa ndani ya mbuga hiyo. Amewataka viongozi wa dini...
  2. B

    Marufuku ya saluni ya Taliban: Wanawake wa Afghanistan wanaomboleza mwisho wa huduma iliyothaminiwa

    Marufuku ya saluni ya Taliban: Wanawake wa Afghanistan wanaomboleza mwisho wa huduma iliyothaminiwa. Siku moja kwenye saluni iliwaruhusu wanawake wa Afghanistan kuzungumza katika mazingira tulivuImage caption: Siku moja kwenye saluni iliwaruhusu wanawake wa Afghanistan kuzungumza katika...
  3. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Taliban yapiga marufuku saluni za kike

    Saluni za nywele na urembo zinatarajiwa kufungwa wiki kadhaa zijazo hali ambayo inatarajia kusababisha ajira 60,000 kupotea. Uongozi wa Taliban baada ya kuingia madarakani Mwaka 2021 uliruhusu saluni hizo kuendelea lakini wamebadili maamuzi hayo wakati ambapo tayari wamezuia Wanawake kwenda...
  4. FaizaFoxy

    Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

    Taliban huko Kandahar Afghanistan wamefanya gwaride la aina ya kipekee duniani, haijawahi kutokea. Gwaride la kijeshi ambalo. Limehusisha vifaa walivyoviteka tu. Taliban walivamiwa na majeshi ya Marekani (USA) yakishirikisha majeshi ya nchi 30 za NATO. Taliban hawakukubali, wakaingia vitani...
  5. JanguKamaJangu

    Umoja wa Mataifa (UN) yafikiria kusitisha shughuli zake Nchini Afghanistan

    Umoja wa Mataifa unaangazia kusitisha shughuli zake nchini Afghanistan baada ya Taliban kuwazuia wanawake kufanya kazi kwenye mashirika ya umoja huo nchini humo. Taarifa iliyoachapishwa mapema leo imesema, ujumbe wa Umoja wa Mataifa umesema zuio hilo la Taliban linakiuka sheria ya kimataifa na...
  6. JanguKamaJangu

    Taliban yapiga marufuku wanawake wa Afghanistan kufanya kazi kwenye UN

    Umoja wa Mataifa umesema Jumanne kwamba utawala wa Taliban nchini Afghanistan umewaarifu kwamba umepiga marufuku wanawake kufanya kazi katika taasisi hiyo, ikiwa hatua ya karibuni zaidi ya kuweka masharti kwa haki za wanawake nchini humo Katibu mkuu wa UN, Antonio Guterres, amesema kwamba, “...
  7. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Mbunge wa zamani auawa kwa shambulio la risasi nyumbani kwake

    Mursal Nabizada na mlinzi wake wote wameshambuliwa kwa risasi na kupoteza maisha Jijini Kabul ikiwa ni mwendelezo wa matukio ya mauaji Nchini humo hasa yakiwalenga Wanawake. Nabizada alikuwa Mbunge Mwaka 2019 hadi wakati Utawala wa Taliban ulipokabidhiwa mamlaka Agosti 2021, Wanasiasa wengi...
  8. Raphael Thedomiri

    UN yaingilia kati marufuku ya wanawake kusoma Afghanistan.

    Baraza la usalama la Umoja wa mataifa Jumanne limeomba wanawake na wasichana nchini Afghanistan washirikishwe kikamilifu na kwa usawa, likilaani marufuku kwa wanawake kusoma kwenye vyuo vikuu au kufanya kazi kwenye mashirika ya misaada ya kibinadamu, iliyowekwa na utawala unaoongozwa na...
  9. JanguKamaJangu

    Mashirika ya Kibinaadamu yasitisha misaada Afghanistan

    Mashirika Matano yamechukua uamuzi huo kutokana na mfululizo wa makatazo mapya yanayowekwa dhidi ya Wanawaka Nchini humo chini ya utawala wa Taliban. Baadhi ya mashirika hayo ni Care International, the Norwegian Refugee Council (NRC) na Save the Children ambayo yamesema hayawezi kufanya kazi...
  10. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Taliban watumia maji ya kuwasha kutawanya Wanawake wanaopinga sheria ya kuwazuia kusoma chuo kikuu

    Kundi la Wanawake hao wanaopinga uamuzi wa Serikali kuwazuia Wanawake kutosoma Chuo Kikuu wameingia matatizoni baada ya video zilizosambaa mitandaoni zinaonesha waandamanaji wakijikinga na wengine kukimbia kukwepa mkono wa sheria katika Mji wa Herat. Wanawake hao walikuwa wakiandamana huku...
  11. Dalton elijah

    Taliban yapiga marufuku wanawake kujiunga vyuo vikuu Afghanistan

    Utawala wa Taliban Nchini Afghanistan umeamuru kupiga marufuku kwa muda usiojulikana elimu ya chuo kikuu kwa wanawake wa nchi hiyo. Taarifa Iliyo Tolewa na wizara ya elimu ya juu ilisema katika barua iliyotumwa kwa vyuo vikuu vyote vya serikali na vya kibinafsi. "Nyote mnaarifiwa kutekeleza...
  12. Nafaka

    Chinese city in Afghanistan

    Wachina ni watu ambao ni risk takers, baada ya Wamarekani kuondoka afghanistan, wajasiriamali kutoka China wamekuwa wakikimbilia huko wakidai kuwa Afghanistan kwa sasa ni kama China ilivyokuwa 1980s yani fursa kibao. Wengine wamewekeza kwenye mahotel, wengine kwenye biashara ya kuimport vitu...
  13. Mrengwa wa kulia

    Wanajeshi wa Afghanistan wanaajiriwa na jeshi la Urusi

    Wanajeshi wa kikosi maalum cha Afghanistan ambao walipigana pamoja na wanajeshi wa Marekani na kukimbilia Iran baada ya machafuko ya kujiondoa kwa MarekanI wanaajiriwa na jeshi la Russia kupigana huko Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa majenerali watatu wa zamani wa Afghanistan waliozungumza na The...
  14. MK254

    Maafa na majeruhi baada ya bomu kulipuliwa msikitini Afghanistan

    Hawa nao ndio sijawahi kuwaelewa, wote dini moja ila wanampigania 'mungu' mmoja na kuishia kulipuana hata kwenye misikiti, IS dhidi ya Mataleban..... A blast went off on Wednesday at a mosque near Afghanistan's Interior Ministry, the Taliban said. Interior Ministry spokesman Abdul Nafi Takor...
  15. JanguKamaJangu

    Afghanistan: Bomu la kujitoa mhanga laua watu 23

    Bomu hilo limelipuka baada ya mtu kujitoa mhanga katika kituo cha wanafunzi wa Chuo Kikuu waliokuwa wakijiandaa katika Mji wa Kabul wengi wao waliouawa ni wasichana. Inadaiwa kuwa watu wengine 36 wamejeruhiwa katika kituo hicho binafsi kinachohusisha wanafunzi wa kike na wakiume. Shule nyingi...
  16. MK254

    Bomu lalipuka karibu na msikiti na kuua wanne huku wengine wakijeruhiwa kule Afghanistan

    Hawa wagomvi kwenye hii dini sijawahi kuelewa nani hupigana na nani maana wote humpigania na kumtetea "mungu" mmoja.... Kuanzaia Somalia hadi Afghanistan, ni mabomu ya kujilipua kisa wanamtetea "mungu" wao ila wahanga ni hao hao wanao amini kwenye "mungu" huyo huyo.... At least four people have...
  17. Abdull Kazi

    The Convergence of the Narcotics Underworld and Extremists in Afghanistan and Pakistan and Its Global Proliferation Chapter Seven

    Chapter Seven Afghanistan’s Collapse and the Future of Counternarcotics By the autumn of 2021, the Taliban took complete control of Afghanistan as the government of Ashraf Ghani collapsed. This unfortunate series of events began with the signing of the Agreement for Bringing Peace to...
  18. MK254

    Afghanistan: Maafisa wawili wa Urusi wafa kwa shambulio la bomu ubalozini

    Vigumu sana kuelewa haya maugomvi, Urusi amekua akisifiwa na wavaa kobaz tangu alipovamia Ukraine, ila leo naona wanajitoa mhanga kwa kujilipua kwenye ubalozi wake. ISIL claims responsibility The ISIL (ISIS) group claimed responsibility for the attack late on Monday. An ISIL fighter “blew up...
  19. MK254

    Bomu laripuka kwenye msikiti kule Afghanistan na kuua mkuu wa dini na waumini wengine

    Hawa nao sijawahi kuelewa sababu zao za kulipuana huko Afghanistan wakati wote dini moja.... At least one cleric and several civilians have been reported killed in the city of Herat, despite Taliban claims they have improved security. An explosion rocked the Guzargah mosque in the city of Herat...
  20. Lady Whistledown

    UN: Raia milioni 6 wa Afghanistan wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Umoja wa Mataifa imesema kwamba Waafghanistan milioni 6 wako hatarini kukabiliwa na njaa, huku majira ya baridi kali yakikaribia na mashirika ya kibinadamu yakiwa na uhaba mkubwa wa fedha Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Martin Griffiths amesema watu milioni 24 nchini humo wanahitaji msaada wa...
Back
Top Bottom