africa

  1. M

    Swali: Je, tarehe 17 siku ya kumkumbuka shujaa wa Africa ni sikukuu ya umma.? Na sisi watumishi hatuendi kazini?

    Mimi mwalimu mwenzenu nauliza huku nikiwa na uchungu sana moyoni. Shujaa atakumbukwa daima.
  2. D

    Kwa nini viongozi wa Africa hawafanyi rehearsal ya speech zao kabla ya kwenda public?

    Hivi sisi waafrica nani aliyeturoga kiasi ambacho hata viongozi hawajui ofisini wanafanya nini ilimradi tu siku ziende. Hebu angalia kauki ya juzi ya pm eti wenye digrii waende VETA. Kwa nchi ambaso ziko serious angefurushwa uwaziri mkuu palepale au kujiudhuru mwnyewe. Waziri mkuu...
  3. sinza pazuri

    Ashurey ndio dancer namba moja wa kike Tanzania

    Ashurey kwa sasa ndio dancer namba moja wa kike Tanzania. Vigezo anavyowapita wengine wote. 1. Anajua kucheza style zote za muziki 2. Ni mbunifu 3. Moves zake zinabadilika 4. Anaweza kucheza freestyle 5. Ni trainer mzuri sana
  4. S

    VIJANA WA SOUTH AFRICA

    Hawa vijana wanaoenda South Africa wanajifanya wahuni nafsi zao zishakufa mara nyingi huwenda kufa uko
  5. 1Afica54

    Umasikini Afrika. Vijana tuamke tushike madaraka tuingie kwenye siasa

    Bara la kupokea kila mgeni Bara lenye rasilimali nyingi Bara linalo heshimu na kunyenyekea ngozi nyeupe Bara la kuana wenyewe kwa wenyewe Bara lenye wajinga wengi Bara lenye magonjwa yote duniani Bara lenye miundombinu dunii mibovu Bara linalo kopa kila kukicha Bara lenye viongozi...
  6. Ricky Blair

    Nchi za Africa kw High income, Upper Middle income, lower middle income na low income

    Nchi za Africa kw High income, Upper Middle income, lower middle income na low income
  7. Kidagaa kimemwozea

    Orodha ya nchi zenye sarafu dhaifu Afrika 2025 ukilinganisha na dollar

    Top 10 African countries with the weakest currencies in Africa 2025 1)-São Tomé and Príncipe 🇸🇹 22,281.8 Dobra 2)-Sierra Leone 🇸🇱20,969.5 Sierra Leonean Leone 3)-Guinea 🇬🇳 8,626.3 Guinea Franc 4)-Uganda 🇺🇬 3,673.6 Ugandan Shilling 5)-Burundi 🇧🇮 2,954.3 Burundian Franc 6)-Democratic...
  8. Royal Son

    Utabiri wangu Papa ajaye atatokea Afrika

    Natabiri Papa ajae atatokea Afrika na sasa ni zamu yetu na sisi waafrika kuwa na Papa 🙏
  9. Eli Cohen

    Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

    Najua wazee wa prokotoo, ibanie ndani, imeloa nyau, sijui chumvi sugar chumvi etc mtaanza kunikaba koo Kula kwanza hicho chuma https://youtu.be/F1kCWrem5RU?si=Uw7K0stk3hPP3D8z
  10. R

    Bado tupo utumwani? kwanini tunasita kubadili jina la jiji kubwa zaidi Afrika mashariki

    Tukiangalia majina karibia yote ya mikoa yana asili ya hapa kwetu iweje jiji kubwa nchini na Africa Mashariki tubaki kungangania jina la kikoloni lenye historia ya kitumwa ? Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said Kabla ya hapo, eneo hilo...
  11. Deshbhakt

    Colonization of Africa: The Berlin Conference 144 years ago

    It was the late 19th century and European nations were beginning to look at the African continent as a more permanent resource base for their newly growing industrial sectors. More than the ongoing trade between the two continents that had run for decades, though, the Europeans wanted direct...
  12. Beira Boy

    Kama kweli wazungu wanaipenda Africa basi wasimamishe misaada mara moja

    Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO MFALME WA WAFALME Kama ni kweli hawa watu weupe wanaipenda Africa na wanatupenda WA Africa bas wasimamishe misaada mara moja Africa tunajiweza sana Tuna uwezo wa kununua magari mazuri ya kila aina Leo ungeuona msafara wa mama samia ndo...
  13. Beira Boy

    Sudan hawana ndugu? Waliwakosea nini watu si waislam au WA Africa

    Amani iwe kwenu wakuu Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu? Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila...
  14. Eli Cohen

    Popo mwenye uwezo wa kuambukiza corona amegundulika huko China.

  15. haszu

    Hawa University College of Africa wanapata wapi namba za wazazi wa form 4 leavers?

    Mzazi anatukiwa meseji yenye jina la shule aliosoma mwanae, je ni walimu ndio wanatoa namba au huu mchezo ukoje? Na huu ufadhili ukoje?
  16. Pdidy

    South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

    BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23 South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao...
  17. Yoda

    USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

    Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
  18. Yoda

    Africa Kusini wasipoitoa ANC madarakani mapema itakuwa kama Haiti siku moja

    Majambazi na wezi wanakwida watu, wanawapukutisha hadharani na kufanya mauaji kiholela sana kama vile hakuna kitu kinaitwa police au magereza.
  19. Mathanzua

    Petition ya kumfanya Ibrahim Traore kuwa Rais wa Afrika iliyoungana

    Africa ni bara lililogawanyika sana.Mgawanyiko huu haukuja kwa bahati mbaya,it is by design.Wakoloni walijua kwamba kama wangeacha bara la Africa liwe na umoja,wasingeweza kuitawala na kuiba rasilimali zake kwa urahisi.Kwa hiyo ili Africa isiwe na sauti moja, waliligawanya bara letu katika...
  20. N

    Afrika sio wanufaika wakubwa wa USAID kama tunavyodhania

    Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya. Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano...
Back
Top Bottom