Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024
About the job
Collect and curate data from various sources, including but not limited to Google Sheets, databases, and APIs.
Organize, clean, and maintain datasets to ensure data integrity and accessibility.
Apply statistical methods to interpret...
Nakubalina kabisa na mdau huyo kuhusu amani. Nyimbo za tuidumisje amani, tuitunze amani wanufaikaji ni watawala ili waendele kula kwa amami na raha mstarehe.
Raia wanacho fanya huuziwa uoga wa vita ili wawe watulivu hata wasiulize yale ya msingi kwa faida yao.
Wakati watawala wanahubiri amani...
Mtu mmoja aliwahi kuniambia usemi unaosema tujifunze kwa makosa hauko sahihi kwani kuna makosa hayatakupa muda wa kurekebisha chochote.
Ni kwa sababu ya hiyo dhana namuona Ruto alikuwa na nafasi nzuri sana ya kuimbwa na historia kama Rais aliyejali wanyonge kwa kupunguza matumizi ya wakubwa...
Afrika tumejaliwa wanyama wengi sana wa asili na mazingira yao mapori na misitu mkubwa lakini kwanini Mpaka sasa tiger hawapatikani Afrika wanatokea ASIA pekee sababu ni nini na hata kama wangekuwa asili yao sio Afrika, Je kwanini hawajaletwa huku mbona sisi tunawapelekea twiga na faru huko kwao.
Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far.
Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la taifa, lakini expenditure za viongozi zimeongezeka ambazo hizo expenditure sio za muhimu.
Kwa mfano...
Habari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu.
Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema.
Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania...
Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Dr. William Samoe Ruto, ameskiza sauti ya Mungu.
Akubali yaishe..
Ajishusha na kuonyesha njia. Ni wajibu wa waKenya kuungana na kumfuata mguu kwa mguu kiongozi wao huyu msikivu na mwenye maono ya kipekee na makubwa sana ya kutrasfom kenya into prosperity...
Kampala, capital and largest city of Uganda. It occupies a series of hills at an elevation of about 3,900 feet (1,190 metres) and is situated in the southern part of the country, just north of Lake Victoria Kampala lies just north of Mengo, the capital of the kingdom of Buganda in the 19th...
Sanctions on Russian diamonds: Good or bad for AFRICA?
Diamond-rich African nations are ramping up production to fill the gap left by the G7 sanctions on Russian diamonds. But not all countries are happy about the ban.
Earlier this year, the G7 , a group of wealthy nations comprising the...
MWENYEKITI wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited (METL), Ghulam Dewji amekana kampuni yake kuwa na uhusiano wa aina yoyote na Kampuni ya ITEL East Africa Limited.
Amesema masuala yanayohusu Kampuni ya ITEL East Africa Limited yasihusishwe na kampuni yake huku akionyesha wasiwasi...
Mi sijawai ona kiongozi yyte wa dini ya kiislam hapa tz au vijana mitandaoni wakipambana kupinga haya mauaji ambayo yanalenga kumuondoa kama si kumfuta mtu mweusi Sudan.
Na hawa ni waislam wenzao
ESWATINI
HUMAN RIGHTS VIOLATIONS, OUTDATED LAWS LINGER
Introduction
DESPITE the constitutionally guaranteed rights to freedom of expression, freedom of association and access to information, the government of Eswatini has consistently been accused of various human rights violations.
The lack of...
WHO WE ARE
The Nature Conservancy’s mission is to protect the lands and waters upon which all life depends. As a science-based organization, we create innovative, on-the-ground solutions to our world’s toughest challenges so that we can create a world in which people and nature thrive. We’re...
Achana na porojo za vikundi vinavyo hongwa na watu wenye nia mbaya ili kumhujumu ndugu Murtaza Mangungu (genius wa msimbazi), leo nataka kukumegea siri makini sana.
Ni hivi, ndugu Murtaza Mangungu ni kiongozi makini anayesimamia katiba na sheria ndiyomaana mpaka sasa hajajiingiza kwenye...
Ni lazima imekuwa hivyo.
ANC haina option zaidi ya hiyo (ANC/DA coalition). Na hii inatokana na Conditions walizo zitoa MK na EFF ambazo ni ngumu kwa ANC kuzitekeleza.
In fact, the EFF has shown it's willingness to co-govern with the ANC but has demanded the deputy presidency position in...
Dalili za Chama Cha ANC kuunda serikali pamoja na DA zimethibitishwa rasmi. Ni pale ambapo kwenye uchaguzi wa Spika wa Bunge la SA DA haikuweka mgombea na hivyo Spika akatoka kwenye Chama Cha ANC akiitwa Thoko Didizo.
Pia Chama Cha DA ambacho ndio Chama kikuu Cha upinzani SA kimeshindwa kiti...
Rais wa Iran afariki na nchi ya Iran yaweka siku 5 za maombolezi [1]
vs
Makamu wa Rais wa Malawi afariki na nchi ya Malawi yaweka siku 21 za maombolezi [2]
Soma zaidi:
1. Iran yatangaza siku 5 maombolezi kifo cha Raisi
2. Malawi yatangaza siku 21 za maombolezi kifo cha makamu wa raisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.