Msafara A: Huu ni msafara wa Rais wa nchi fulani barani Africa ambayo tangu uhuru haijaweza kubuni hata sindano.
Msafara B: Huu ni msafara wa Waziri mkuu wa nchi inayo unda magari yanayotumika kwenye msafara A
Habari JamiiForums,
Katika pita pita zangu nimebahatika kukutana na hii clip, hii clip inaonyesha mabinti wadogo wakipewa medali na miongoni mwao alikuwepo binti mwenye asili ya rangi nyeusi akarukwa na mpaka mwisho hakupewa.
Binafsi huwa siamini sana kama rangi nyeusi tunaonewa ila naamini...
Position: Software Developer (4 Posts)
Location: Arusha, Tanzania
Duration: Full Time
Key Responsibilities
– Maintain and develop the existing Management Information System comprising of Apps and Web Applications each sharing data across each other.
– Collaborate with sales and marketing...
Position: Accountant
Location : Arusha Tanzania
Position Description
Preparing and reconciling daily sales report and post to the system.
Analyzing, vouching and verifying all retirements from the Team leaders and other staffs and post to the system.
Preparing weekly transport allowances and...
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki...
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa Simba Sc na uongozi wake kiujumla kwa hatua hii kubwa.
Kwa mujibu wa Orodha ya shirika linalohusika na Takwimu za kimichezo duniani IFFHS, Iliyotoka mapema jana, aimeonyesha vilabu viwili pekee kutoka Tanzania vikiwakilisha vyema.
Place
Last
Clubs
Country /...
Kabla ya wakoloni kuja Africa tuliishi kwa namna yetu. Bahati mbaya historia ya Afrika imepotezwa kwa makusudi au kupotoshwa.
EAST AFRICA COMMUNITY KWA SASA
The Republic of Burundi
The Democratic Republic of the Congo
The Republic of Kenya
The Republic of Rwanda
The Republic of South Sudan...
Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch
Sunday May 28 2023 The East Africa
Kenya and Tanzania have been competing as the preferred entry point by Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan and the DRC.
IN SUMMARY
Mombasa has been losing business to Dar es Salaam, as...
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!
Tulitegemea wangelifanya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.
HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA...
Huyu ni Spika wa Bunge la Gabon alipokuwa anataka kutoroka leo hii asubuhi, Agosti 31, 2023.
Ukiona viongozi tuliowaamini wanasaini mkataba mbovu kama DPW ujue nyuma yake kuna mambo kama haya!
Video inayodaiwa kumuonesha Spika wa Bunge akiwa amekamatwa na Mabegi ya fedha akitoroka
Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.
Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.
Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya...
Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee...
Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk.
Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo...
Yes , a yes a yes and yes. its a slow a slowly gradually process as some west African nations starts to realize the neo colonial exploitations of natural resources yes yesssss ....yessss ....loook at now ........ whites up to now still exploit the Africa countries without benefiting it, As...
Watanzania wengi ni maskini,hakuna shaka yeyote kuhusu jambo hilo.Kwa nini Watanzania ni maskini ndilo jambo ambalo limeonekana kusumbua watu wengi. Kikwete yeye alisema hajui kwa nini Watanzania ni maskini. Sasa inashangaza kwa kuwa kama ni hivyoo, kwanini alitamani kuwa Rais kwa vile jukumu...
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni nini?
Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Air Force Base, Pretoria,nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo nakulakiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence Milanzi na viongozi mbalimbali waandamizi wa Ubalozi wa...
Kwa namna ambavyo viongozi wetu wanajitahidi kubinafsisha rasilimali zetu - Hadi 2050 Bara la Africa litaanza kuvunja mikataba na kuwafukuza wawekezaji maana hawana manufaa kama tunavyoaminishwa kwa sasa.
Wawekezaji watafukuzwa kama walivyofukuzwa wakoloni.
Wananchi watakuwa hawana pa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.