africa

  1. Boss la DP World

    Msafara wa Rais wa Nchi ya Africa Vs Waziri Mkuu wa Japan

    Msafara A: Huu ni msafara wa Rais wa nchi fulani barani Africa ambayo tangu uhuru haijaweza kubuni hata sindano. Msafara B: Huu ni msafara wa Waziri mkuu wa nchi inayo unda magari yanayotumika kwenye msafara A
  2. Nehemia Kilave

    Nini kifanyike ili ubaguzi wa aina hii uondoke? Je, Afrika tunaweza jitegemea?

    Habari JamiiForums, Katika pita pita zangu nimebahatika kukutana na hii clip, hii clip inaonyesha mabinti wadogo wakipewa medali na miongoni mwao alikuwepo binti mwenye asili ya rangi nyeusi akarukwa na mpaka mwisho hakupewa. Binafsi huwa siamini sana kama rangi nyeusi tunaonewa ila naamini...
  3. Jamii Opportunities

    Software Developer (4 Posts) at Jumla Africa September, 2023

    Position: Software Developer (4 Posts) Location: Arusha, Tanzania Duration: Full Time Key Responsibilities – Maintain and develop the existing Management Information System comprising of Apps and Web Applications each sharing data across each other. – Collaborate with sales and marketing...
  4. Jamii Opportunities

    Accountant at Jumla Africa September, 2023

    Position: Accountant Location : Arusha Tanzania Position Description Preparing and reconciling daily sales report and post to the system. Analyzing, vouching and verifying all retirements from the Team leaders and other staffs and post to the system. Preparing weekly transport allowances and...
  5. LIKUD

    Sho Madjozi: Msanii kutoka South Africa anae zungumza kiswahili kwa ufasaha

    Am so proud of my language Kiswahili. We must promote kiswahili . Kiswahili the language of Africa.
  6. B

    Papa aruhusu Mashemasi kuoa huko Ufilipino. Je, itafaa Afrika?

    Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki...
  7. Edsger wybe Dijkstra

    Msaada: Jinsi ya kupata kibali cha kufanya kazi kihalali South Africa

    Nawezaje kupata kiball cha kufanya kazi kihalali nchini South Africa? Nahitaji kuwa na sifa zipi au kuwa na nini? Wenye uzoefu naomba muongozo.
  8. John Gregory

    Hongera Simba SC Kutinga orodha vilabu bora Afrika

    Napenda kutoa pongezi za dhati kwa Simba Sc na uongozi wake kiujumla kwa hatua hii kubwa. Kwa mujibu wa Orodha ya shirika linalohusika na Takwimu za kimichezo duniani IFFHS, Iliyotoka mapema jana, aimeonyesha vilabu viwili pekee kutoka Tanzania vikiwakilisha vyema. Place Last Clubs Country /...
  9. Venus Star

    East Africa Federation na Hatma ya Tanzania

    Kabla ya wakoloni kuja Africa tuliishi kwa namna yetu. Bahati mbaya historia ya Afrika imepotezwa kwa makusudi au kupotoshwa. EAST AFRICA COMMUNITY KWA SASA The Republic of Burundi The Democratic Republic of the Congo The Republic of Kenya The Republic of Rwanda The Republic of South Sudan...
  10. A

    Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch Sunday May 28 2023 The East Africa

    Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch Sunday May 28 2023 The East Africa Kenya and Tanzania have been competing as the preferred entry point by Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan and the DRC. IN SUMMARY Mombasa has been losing business to Dar es Salaam, as...
  11. R

    Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

    Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation! Tulitegemea wangelifanya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa. HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA...
  12. mambo_safi

    SI KWELI Spika wa Bunge la Gabon akamatwa Agosti 31, 2023 akitoroka nchi hiyo na Mabegi ya fedha

    Huyu ni Spika wa Bunge la Gabon alipokuwa anataka kutoroka leo hii asubuhi, Agosti 31, 2023. Ukiona viongozi tuliowaamini wanasaini mkataba mbovu kama DPW ujue nyuma yake kuna mambo kama haya! Video inayodaiwa kumuonesha Spika wa Bunge akiwa amekamatwa na Mabegi ya fedha akitoroka
  13. Allen Kilewella

    Kwanini Afrika tunashadadia Mapinduzi ya Kijeshi?

    Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon. Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi. Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya...
  14. Chief Kumbyambya

    Nini kinasababisha watu wa Afrika Magharibi kuwa na miili mikubwa kuliko wengine?

    Ebwanaeeeee hata kama maisha ni magumu ngoja twendeleeee... Nchi za afica magharibi, NIGERIA, GHANA, TOGO, IVORY COAST, SENEGAL nk..nk. Sasa nimekumbuka mwanzoni mwa mwezi wa pili kuna mjomba wangu mmoja ni mfanyabiashara haswa na nilifanikiwa kurula nae sana hizo nchi tajwa hapo juu ambazo...
  15. Lexus SUV

    Africa is awakening; but is still a slow process

    Yes , a yes a yes and yes. its a slow a slowly gradually process as some west African nations starts to realize the neo colonial exploitations of natural resources yes yesssss ....yessss ....loook at now ........ whites up to now still exploit the Africa countries without benefiting it, As...
  16. Mathanzua

    Viongozi wa Afrika hawana budi kujali maslahi ya watu wao kuliko yao binafsi, mabeberu wa nchi za Magharibi na wengineo

    Watanzania wengi ni maskini,hakuna shaka yeyote kuhusu jambo hilo.Kwa nini Watanzania ni maskini ndilo jambo ambalo limeonekana kusumbua watu wengi. Kikwete yeye alisema hajui kwa nini Watanzania ni maskini. Sasa inashangaza kwa kuwa kama ni hivyoo, kwanini alitamani kuwa Rais kwa vile jukumu...
  17. S

    Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

    Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa. Afrika jamani shida ni nini?
  18. benzemah

    Rais Samia Kushiriki Mkutano wa BRICS, Afrika Kusini

    Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Air Force Base, Pretoria,nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo nakulakiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence Milanzi na viongozi mbalimbali waandamizi wa Ubalozi wa...
  19. and 300

    Nani anatuwakilisha BRICS Summit - South Africa?

    Tumealikwa kuhudhuria BRICS Summit huko bondeni. Nani maakilishi huko? NB: Mhe Dr Chakwera toka nchi jirani yupo SA yapata wiki Sasa.
  20. JF Member

    Mwaka 2050 Bara la Afrika litaanza harakati za kudai Uhuru

    Kwa namna ambavyo viongozi wetu wanajitahidi kubinafsisha rasilimali zetu - Hadi 2050 Bara la Africa litaanza kuvunja mikataba na kuwafukuza wawekezaji maana hawana manufaa kama tunavyoaminishwa kwa sasa. Wawekezaji watafukuzwa kama walivyofukuzwa wakoloni. Wananchi watakuwa hawana pa...
Back
Top Bottom