afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoldDhahabu

    Kwanini Watanzania wanahofia kupita Zimbabwe katika safari za Afrika Kusini?

    Sijawahi kufika kwenye hizo nchi, lakini naamini nitafanya hivyo muda si mrefu.Lakini kwa stori za hapa JF, wengi wa wadau wanashauri kutokupita Zimbabwe kwa safari za kwenda Afrika Kusini. Natamani, katika safari yangu, niende kwa ndege, lakini wakati wa kurudi, nitumie usafiri wa usafiri wa...
  2. Mkalukungone mwamba

    Cedric Kaze kocha msaidizi wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kufanya kazi Nasreddine Nabi

    Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi pamoja. Ngoja tuone utavuna nini ndani ya msimu huu! =============== Aliyekuwa kocha wa Yanga Sc...
  3. M24 Headquarters-Kigali

    Raia Afrika Kusini Wana Haki kuchukia wageni

    Weusi wamepigania Uhuru wao dhidi ya ubaguzi wa rangi (apartheid) mpaka mwanzoni mwa Miaka ya 1990s wanapata Uhuru. Baada ya hapo, wanatokea weusi wenzao toka Zimbabwe, Malawi, Nigeria, Cameroon, Tanzania, Congo na Ethiopia kwenda kugongea fursa hizo hizo Ikiwemo - saloon, maduka (madogo...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

    Kwema Wakuu! Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu. Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini. Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa. Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa...
  5. Waufukweni

    Wanaharakati wa Haki za Wanawake Afrika Kusini wataka shoo ya Chris Brown ifutwe

    Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini Afrika Kusini kutoka Taasisi ya Women for Change wameanzisha kampeni ya kutaka kusitishwa kwa shoo ya staa wa RnB duniani, Chris Brown maarufu Breezy pnchini humo linalotarajiwa kufanika kwa siku mbili, Desemba 14 na 15, 2024. Wanaharakati hao...
  6. Waufukweni

    Afrika Kusini: Mzungu aliwaua wanawake wawili weusi na miili yao kupewa nguruwe waile

    Kisa cha wanawake wawili weusi wanaodaiwa kupigwa risasi na mzungu na miili yao kupewa nguruwe waile kimezua taharuki nchini Afrika Kusini. Maria Makgato, 45, na Lucia Ndlovu, 34, inadaiwa walikuwa wakitafuta chakula katika shamba la mzungu huyo karibu na Polokwane katika jimbo la Limpopo mwezi...
  7. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Kiongozi wa Upinzani wa Eswatini apewa Sumu

    Chama Kikuu cha Upinzani (PUDEMO) Nchini Eswatini, kimesema hali ya Afya ya Kiongozi wake, Mlungisi Makhanya inaendelea kuimarika baada ya kulishwa sumu akiwa Uhamishoni Afrika Kusini, katika jaribio la Kumuua Mlungisi Makhanya, (46) ambaye amekuwa akiishi uhamishoni nchini Afrika Kusini kwa...
  8. Waufukweni

    Jason Derulo, Diamond, Chley na Khalil wauwasha moto kwenye jukwaa Afrika Kusini!

    Katika tamasha la kipekee la DSTV Delicious Festival, wasanii nyota Diamond Platnumz, Chley, na Khalil walipiga show ya kali, wakitumbuiza pamoja na Jason Derulo. Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Derulo kupanda jukwaani na kuimba kolabo yao mpya, "Komasava" remix na mashabiki kuonesha vibe kubwa.
  9. Nyani Ngabu

    Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

    Silalamiki wala! After all, I am a man of culture 😉. Calling all other men of culture to congregate and appreciate nature’s magnificent creation. Kumbe katika jina la utamaduni ni sawa kuonyesha matiti ya wasichana huko Afrika Kusini. https://youtu.be/39m3Yq3jjD8?si=9brlOIxPSAG0g5iX
  10. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Afungwa Miaka 15 kwa kufake CV na kujipatia zaidi ya Tsh. Milioni 425 kwa Mwaka

    Daniel Mthimkhulu, alidanganya kuwa na Shahada ya Uhandisi wa Mitambo kutoka Chuo Kikuu cha Witwatersrand na Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Ujerumani Aliajiriwa na PRASA mwaka 2000 na kupanda Cheo hadi nafasi ya Mkuu wa Uhandisi kutokana na CV yake ya kughushi, huku akipokea...
  11. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Upinzani watikisika, Naibu wa Malema ahamia Chama cha Zuma (MK)

    Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), kimepata pigo kubwa baada ya Naibu wake, Floyd Shivambu, kujiondoa na kujiunga na Chama cha aliyekuwa Rais Jacob Zuma - uMkhonto weSizwe (MK) Floyd Shivambu alikuwa anachukuliwa kama Mtaalamu wa Kiitikadi wa EFF huku Julius Malema, akichukua nafasi ya...
  12. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

    Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na...
  13. U

    Yanga yawasili nchini saa 9 alfajiri wakitokea Afrika Kusini. Mashabiki wamekesha Airport

    Wadau hamjamboni nyote? Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka Tanzania Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakisubiri kuwasili kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.
  14. britanicca

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi? Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu. Britanicca.
  15. Alfred

    Kozi nzuri ya Biashara na Chuo kizuri kwa Afrika Kusini

    Wakuu kwema? Nina dogo hapa anataka kusoma kozi zinazohusiana na Biashara, kwahivyo ninahitaji ushauri kwa mawili! 1. Nataka mumshauri dogo kozi nzuri ya biashara ya kusomea! 2. Chuo Kizuri kwa Kozi tajwa ya Biashara kwa South Africa! Natanguliza Shukrani!
  16. Nyanda Banka

    Mfahamu Nyani Aliyekuwa Mtumishi wa Reli huko Afrika Kusini Miaka ya 1880's

    Dunia ina mambo na vijimambo Katika miaka ya 1880+ pale nchini Afrika-Kusini alikwepo bwana mmoja maarufu kwa jina la "Jumper" akihudumu kwenye kampuni ya Reli akiwa kama "SingnalMan".Bwana huyu aliitwa "Mr. Jumper" kwa uwezo wake mkubwa aliokuwa nao wa kuweza kuruka miruko ya hatari kutoka...
  17. Scars

    Simba yamshusha beki wa kati Abdulrazack Hamza (21) kutoka Supersport Afrika Kusini

    Huyu ni raia wa hapa hapa ndani ila alikuwa anakipiga huko kwa Madiba. Abdulrazack ni mchezaji kijana wa Kitanzania anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini kwa ubora mkubwa akiwa kwenye kikosi cha kwanza. Abdulrazack ana umri wa miaka 21 bado ana nguvu na muda mrefu wa kucheza soka na...
  18. ChoiceVariable

    Kama Jambazi anaweza kuteuliwa Waziri, Mtumishi unapata wapi ujasiri wa kuwa mzalendo?

    My Take Wanasiasa wa Afrika yote Wanafanana,ni Bora Kila mtu alipata nafasi achukue chake mapema badala ya kukaza na kujifanya Mzalendo. Kwa Afrika hapa,Kuwa Mzalendo ni kuchagua umaskini na ujinga. ===== Gayton McKenzie, mwanasiasa wa upinzani ambaye safari yake ya maisha yalizungukwa na...
  19. J

    Cleo Wilskut, Binti wa Miaka 20 anayetarajiwa kuwakilisha Vijana Bungeni Afrika Kusini

    Mfahamu CleoWilskut, Binti wa miaka 20 anayeanza Safari ya kuwawakilisha Vijana Bungeni, Afrika Kusini Je, Tanzania inawezaje kuongeza Ushiriki wa Vijana kwenye Masuala ya Uongozi/Demokrasia?
  20. L

    Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amerejea na kuwasili salama kabisa akiwa mwenye furaha, bashasha na tabasamu katika ardhi ya nchi yake usiku huu akitokea Afrika ya Kusini. Ambako alikwenda kuhudhuria sherehe za...
Back
Top Bottom