air tanzania

Air Tanzania Company Limited (ATCL) (Swahili: Kampuni ya Ndege ya Tanzania) is the flag carrier airline of Tanzania based in Dar es Salaam with its hub at Julius Nyerere International Airport. It was established as Air Tanzania Corporation (ATC) in 1977 after the dissolution of East African Airways and has been a member of the African Airlines Association since its inception. The airline was wholly owned by the Tanzanian Government until 2002 when it was partially privatised as per the directive of the Bretton Woods Institutions to implement the country's Structural Adjustment Program. The government therefore reduced its shareholding to 51 percent and entered into a partnership with South African Airways.
The partnership lasted for about four years and had accumulated losses of more than Tsh 24 billion (US$19 million) (based on an exchange rate of 1,251.9 as per the WB: http://data.worldbank.org/indicator/PA.NUS.FCRF?page=1) The government repurchased the shares in 2006, making it once again a wholly owned government company. Over the years, it has served a variety of domestic, regional, and intercontinental destinations. Despite being the national airline, its market share deteriorated over the years from 19.2 percent in 2009 to 0.4 percent in 2011.In 2016, the Tanzanian government under President John Pombe Magufuli initiated a new drive to revive the national carrier. The government purchased two new Bombardier Q400 for the national carrier, which were delivered in September 2016. In December of the same year the president's office announced that a four additional aircraft would be purchased for the national carrier, with deliveries set for June 2018. Air Tanzania's market share during 2017 increased to 24 percent from 2.5 percent the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. MKATA KIU

    Magufuli kafanya mengi ila Air Tanzania, TRC, na Tanesco aliwazidishia upendeleo. Staff wa hizi taasisi wanaomchukia Magufuli hawana shukrani

    Habari wadau Huu ni ukweli mchungu 1. Magufuli kaikuta Air Tanzania ikiwa haina ndege hata 1. Ila kaifufua na kainunulia ndege za kutosha 2. Magufuli kakuta shirika la reli TRC linaelekea kujifia.. kalifufua kwa kuliwekezea ma trilioni ya hela na kafosi kujenga reli ya SGR na kawanunulia...
  2. Pfizer

    Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa arejesha safari za ndege za Air Tanzania Dar kwenda Iringa. Nauli kuanzia Tsh 199,000 kwenda na Kurudi

    Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezindua rasmi safari za ndege kupitia Air Tanzania kutoka Dar Es laam kwenda mkoani Iringa na kutoka Iringa kwenda Dar es laam huku akiitaka Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kujiimarisha zaidi ili kuweza kuwa na ushindani. Prof. Mbarawa amezindua safari...
  3. The Watchman

    Air Tanzania yaanza rasmi safari zake Mtwara - Dar

    Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua huduma za usafiri wa ndege za shirika hilo mkoani Mtwara ambapo ndege hizo zitakuwa zikifanya safari za Dar es Salaam-Mtwara mara tatu kwa wiki. Akizungumza Februari 17, 2025 wakati wa uzinduzi wa safari za ndege hiyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa...
  4. Waufukweni

    Air Tanzania yapata hasara ya TSh. Bilioni 580 katika kipindi cha Miaka 9

    Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege mpya kadhaa. Air Tanzania na hasara zake miaka 9 mfululizo 2014/2015 - Tsh. Bilioni 94.3...
  5. M24 Headquarters-Kigali

    Air Tanzania kuathirika kwa NGOs kukatiwa Misaada na USAID

    Ni Sera ya NGOs nyingi za kimataifa nchini kusafirisha staff/wageni kwa ndege (preferably ATC) kwa ajili ya safety/usalama. Sasa kimeumana tayari watu wapo home wiki ya pili ATC mjipange na wafanyakazi wa Halmashauri hukoo Buhigwe sasa. ROUTE zilizokuwa maarufu kwa wafanyakazi wa NGOs za...
  6. BOFREE

    KERO Air Tanzania mmehairisha safari yangu kwa zaidi ya masaa 6 na simu hampokei. Mna shida kubwa kwenye huduma kwa wateja

    Air Tanzania mlichonifanyia mmebadilisha safari yangu ya ndege ya saa kumi jion hadi saa tano usiku. Cha kushangaza hamjibu email wala namba yenu ya simu ambayo ni 0748773900. Simu inaitaa mpaka inakata hakuna wa kupokea! Hivi mmeweka ya nini? Naomba kiongozi yoyote wa serikali ajaribu kupiga...
  7. S

    Namba msaada wa namna ya kufanya booking ya ndege: Air Tanzania au Precision Air

    Naombeni msaada wa namna ya kufanya Booking ya ndege : Precision Air au ATCL, Sababu baada ya kuchagua tarehe ya safari wakati wa kufanya Booking sioni sehemu ya kubonyeza ili niende katika hatua inayofuata.
  8. BUSH BIN LADEN

    Air Tanzanià Yapigwa Marufuku Kuruka Juu Ya Anga La Umoja Wa Ulaya.

    https://simpleflying.com/european-union-air-tanzania-ban/
  9. kavulata

    Air Tanzania ikizuiwa Ulaya, tuzuie zao pia. Jeuri hatuna?

    Air Tanzania imeingizwa kwenye mashirika ya ndege yasiyotakiwa kwenda nchi za jumuiya ya ulaya. Tanzania tuachane kabisa na mataifa ya kikoloni, kwakuwa wanajiona ni wakoloni na kutuona watawaliwa mpaka Leo. Sisi waafrika tunashida gani? Huu ni muda wa kuelekeza nguvu zetu Africa, Asia, Urusi...
  10. Mtoa Taarifa

    Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

    Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga. “Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa...
  11. N

    KERO Shirika la ndege la Air Tanzania lijitafakari, haliwatendei haki wateja wake

    Wakuu, Leo nimetoka Mwanza kwenda Nairobi kwa ndege ya Air Tanzania. Ndege hizi zinakera sana. Kwanza kutoka Mwanza ilichelewa kwa nusu saa. Tukavumilia Kasheshe imetokea tena usiku huu hapa uwanja wa Mwalimu Nyerere. Fikiria ndege ilipaswa kuondoka saa 2 usiku, wakasema itakawia mpaka saa 4...
  12. Pfizer

    ATCL sasa kutumia Masaa Matatu kutoka Dar hadi Afrika Kusini, ni baada ya kurejesha safari zake

    Shirika la Ndege nchini ATCL, limetangaza kurejesha safari za ndege zake kwenda nchini Afrika ya Kusini baada ya kusimama kwa muda Akizungumza wakati wa uzinduzi wa safari hiyo Leo Novemba 30, Waziri wa Uchukuzi Professa Makame Mbarawa amesema “kuimarika kwa diplomasia ya uchumi umerahisisha...
  13. Mparee2

    AIR Tanzania, ndege yetu pendwa!

    Naomba niwakumbushe tu hawa wenzetu kuwa Sababu mojawapo kubwa kabisa inayofilisi mashirika ya ndege ni kuto kuaminika. Kuaminika maana yake ni kuwa na ndege ambayo abiria hana uhakika kama itasafiri, lakini muhimu zaidi, itasafiri kwa wakati uliopangwa kwenye ratiba. Hii ni kwa sababu, watu...
  14. and 300

    Website ya Air Tanzania imepatwa na nini?

    Nahitaji ku-book ticket kwenda Kigoma tarehe 12/11/2024. Naingia website ya Air Tanzania naona manyota nyota (imestak) kulikoni?
  15. Mtoa Taarifa

    Ndege ya Air Tanzania kutoka Mumbai yapata hitilafu, safari yaahirishwa hadi Novemba 6, 2024

    MABADILIKO YA RATIBA YA NDEGE YA MUMBAI-DAR ES SALAAM 04 Novemba 2024, Dar es Salaam Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inapenda kuutaarifu umma kuwa ratiba ya leo ya safari ya kutoka Mumbai kwenda Dar es Salaam imebadilishwa kutokana na hitilafu ya kiufundi. Kwa kuzingatia kipaumbele chetu cha...
  16. Mparee2

    Air Tanzania - online booking haifunguki....

    Naona website ya ndege yetu "The Wings Of Kilimanjaro" haifunguki hivyo mtu hawezi kufanya booking; Msaada tafadhali?
  17. Valencia_UPV

    Tetesi: RwandaAir, Air Tanzania & Uganda Airlines Kuungana

    1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian). 2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO...
  18. Ojuolegbha

    Wakala wa Air Tanzania ~ Comoro wakutana na balozi Yakub

    Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakub amekutana na kufanya mazungumzo na wakala rasmi wa Air Tanzania hapa Comoro ComAir waliowakilishwa na Ndugu Kamarouddine Waziri Zamane pamoja na Maafisa wa ATCL walioko Comoro Bi. Esther J Mahiga na Bw. Boudra Fahit. Mazungumzo yao...
  19. F

    Sekta binafsi ipewe nafasi kwenye uendeshaji na uwekezaji katika miundombinu treni, ndege na mabasi ya mwendokasi

    Mheshimiwa rais, Tayari tuna ndege, treni na mabasi ya mwendokasi. Tayari tuna miundombinu mizuri na adimu katika bara la Africa kama viwanja vya ndege, SGR na BRT. Lakini bado huduma katika maeneo yote hayo sio nzuri. SGR tumeanza jana tu lakini dadili sio nzuri,. Sustainability. Hakuna...
  20. Meneja Wa Makampuni

    Natafuta Wakala (Agent) wanao safirisha mizigo kwa ATCL kutoka nje ya nchi kuja Tanzania

    Habari wakuu, Kama kuna mtu anawafahamu ma agent wanaosafirisha mizigo kwa ATCL kutoka nje ya nchi Kuja Tanzania. Tunaomba waorodheshe hapa.
Back
Top Bottom