amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kucha Zako Za Mikononi Zinavyoweza Kuonyesha Afya Yako jinsi ilivyo Tuwe Makini Sana kuchunguza Afya Zetu.

    Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele. Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo...
  2. Unguja: Kijana ajaribu kujiua kwa kujinyonga

    Mjini Unguja Kijana Mmoja Leo Asubuhi alijaribu kutaka kujiuwa kwa njia ya kujinyonga Lakini baadhi ya ndugu zake wamuokoa. Walikuwa wanamuogopa kumuokoa ana kisu hapo alisema mtu akija kumkamata atamchinja ninahisi atakuwa na maradhi ya akili huyu.
  3. Kitu Usicho Kijua Kuhusu Juisi Boksi

    KITU USICHO KIJUWA KUHUSU JUISI YA BOKSI BILA shaka unapoingia dukani au supermarket kununua juisi ya box, huwa unaamini kuwa iliyoandikwa ‘100% Puer Juice’ huwa ni halisi na ndiyo bora. Kwa kukuongezea imani zaidi, watengenezaji wameweka na neno ‘No Sugar Added’ au ‘No preservatives’...
  4. My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, karibuni marafiki zangu

    My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, ninamshukuru Mungu kwa kunifikisha kuiona siku yangu ya leo ya kuzaliwa. Karibuni wote tupate kushereheke sikukuu yangu ya kuzaliwa.
  5. Ajali kama hii ingelitokea Barani Afrika au Asia watu wengi wangelikufa, kwakuwa imetokea Ulaya wamepona

    Hapa ingekuwa Afrika au Asia watu wengi wangekufa. One of the things I admire Western nations ni kuwa wanajiandaa na balaa kabla halijatokea. Sisi huwa tunamwachia Mungu na kuomba sana dua!
  6. Ukiangalia video hizi unajifunza nini kuhusu wasichana wa kazi?

  7. Haya Kwa wale wanaotaka kwenda kuishi Amerika sikiliza hiyo video hapo chini

  8. Faida ya Pilipili Kengele Kiafya

    Ikilinganishwa na pilipili zingine, pilipili za kengele hujulikana kwa kiwango cha juu cha spiciness(viungo).Pilipili za kengele nyekundu huwa ni tamu, kama aina nyingine za manjano na rangi ya machungwa. Kiwango cha joto cha pilipili kengele (pilipili hoho) kinapimwa katika vitengo vya joto...
  9. Kwanini maharage yanaweza kuwa suluhisho la matatizo mengi duniani?

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Maharage huwa na rangi na aina mbali mbali Binadamu wanakabiliwa na vitisho vingi, kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, utapiamlo hadi kupanda kwa gharama ya maisha. Je, maharage yanaweza kuwa jibu la matatizo ya kimataifa? Jamii hii ya kunde ni...
  10. Je, dawa za antibiotiki zina madhara gani kwa utumbo wako?

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Miili yetu ina matrilioni ya bakteria ambayo hatuwezi kuishi bila kuwa nayo idadi kubwa ya bakteria hao wakiishi zaidi katika matumbo yetu. Lakini je, tunaharibu kabisa sehemu hii muhimu ya mwili wetu kila wakati tunapotumia dawa za antibiotiki? "Viini vya bakteria...
  11. Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai

    Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo. Virutubisho katika papai Kalori, Wanga, Nyuzinyuzi, Protini, Vitamini C...
  12. Je kunywa mkojo kuna faida au madhara kwa afya?

    CHANZO CHA PICHA,ISTOCK/BBC THREE Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama 'kipimo cha kuishi' katika dharura kama hiyo lakini watu wengi katika maeneo mbali mbali duniani wanaamini kwamba kunywa mkojo wako kuna manufaa kwa maisha 'ya kiafya'. Lakini Je, kuamka...
  13. Je uongezaji wa makalio ni hatari inayopuuzwa?

    CHANZO CHA PICHA,SCOTT FRANKS Maelezo ya picha, Leah Cambridge alikumbwa na mshtuko wa moyo mara tatu alipokuwa amedungwa sindano ya ganzi katika kliniki ya Uturuki. Mwanamke wa miaka 23 amefariki baada ya kuripotiwa kuelekea Uturuki kwa aina ya upasuaji kwa jina Brazilian Butt Lift [uongezaji...
  14. Kifo cha upasuaji wa kuinua makalio chasababisha Uturuki na Uingereza kufanya mkutano

    CHANZO CHA PICHA,NATASHA KERR Maelezo ya picha, NATASHA KERR Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, kufuatia vifo kadhaa. Melissa Kerr, 31, alikufa katika Hospitali ya kibinafsi ya Medicana Haznedar mjini Istanbul...
  15. Watu wa jinsi mbili: ‘Nimefanyiwa upasuaji mara 39’

    Hakuna kitu kinachokatisha tamaa kama mtu kuteseka kwa jambo ambalo liko nje ya uwezo wake. Nazungumzia jamii ambayo imekuwa nadra sana kuzungumziwa hasa kwa Afrika Mashariki. Watu wa jinsi mbili, ni watu wa kawaida kama wale wengine ila madhila wanayopitia ni ya kuvunja moyo hata ingawa hali...
  16. Je, Israel iko tayari kwa taifa huru la Palestina?

    Je, Israel iko tayari kwa taifa huru la Palestina? Vita vya kutisha vinaendelea kati ya Israel na Hamas kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa. Maelfu ya watu kutoka pande zote mbili wamepoteza maisha. Mwisho wa vita hivi haujuulikani. Vizuizi vya kufikia makubaliano ya kumaliza vita vimekuwepo kwa...
  17. Waisrael Wamewachukuwa Raia kutoka nchini Malawi ili waje kuwasaidia kupigana Vita na Hamas

  18. Chakula kinachodaiwa kuwa na sumu chaua watoto 5 wa familia moja

    Watoto watano wa familia moja Kijiji cha Nyakanazi wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wamekufa baada ya kula chakula kinachohofiwa kuwa na sumu huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu hospitali teule ya Biharamulo. Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera Brasius Chatanda amesema kuwa...
  19. Ndugai: TANESCO ni kikwazo kikuu kwa maendeleo ya Watanzania

    Spika aliyeondolewa kwa uonevu ndugu Job Yustus Ndugai amelitupia lawama Shirika la umeme la Tanzania kwa kuwa ndilo hasa linalo kwamisha maendeleo ya Watanzania kwa desturi yake ya kukata umeme hovyo hovyo. ----- Spika wa Bunge Mstaafu Job Ndugai, ameitaka Serikali kuboresha taratibu zake...
  20. Antonio Guterres: Kwanini Israel imekasirishwa naye?

    CHANZO CHA PICHA,EPA-EFE/REX/SHUTTERSTOCK 26 Oktoba 2023 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, alielezea wasiwasi wake kuhusu "ukiukwaji wa wazi wa sheria ya kimataifa ya kibinadamu huko Gaza," na kusisitiza kwamba "hakuna upande wowote katika mgogoro wa silaha ulio juu ya sheria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…