Print or Email This Article
As I dive into the depths of Twitter, indulging in one of my guilty pleasures, I stumble upon a hidden treasure buried within Elon’s app. A tweet from June 20 ignites my curiosity like a spark in the dark. The essence of the tweet can be loosely summarised as follows...
Tanzania’s decision to establish a National Gold Reserve to strengthen its local currency comes at a time when global central banks are turning to gold as a safe-haven asset. As Africa’s fourth-largest gold producer, Tanzania’s focus on retaining its gold output within the country raises...
Mafuta mazuri ya kupikia yenye kukulinda na magonjwa ya moyo, hayana cholestrol ndani yake yenye jina la kibiashara “Vegetable oil” kitalamu huitwa “Seed oils” au Polyunsaturated Fatty Acid oils (PUF Oils). Je Kuna ukweli kuhusu hilo?
Kwamba
Mafuta yenye jina la kibiashara “Vegetable oil” Je:–...
NAWAKUMBUSHA TU
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.
2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa,
kifo...
Imeandikwa na OLESYA GERASIMENKO / Ikahaririwa na LORNA HANKIN / Ikahakikiwa na BY SAM HORTI
CHANZO CHA PICHA,AFP
Katika nyakati za alfajiri mnamo tarehe 14 Januari mwaka 2020, vilio vilisikika katika jumba la ghorofa katika wilaya ya kusini mwa Urusi Leningradsky.
Akiwa ameshtuka na kuogopa...
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi.
Hata hivyo siku hizi, ndoa nyingi huishia kuvunjika kutokana na sababu moja au nyingine, hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya...
MAJUTO NI MJUKUU
Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa
Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza nini wala nini, alinpa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa...
HIZI NDIZO NJIA SALAMA ZA KUILINDA AFYA YAKO
Mazozi ni jambo muhimu sana ili kuulinda mwili kutokana na magonjwa. Mtu mwenye kuthamini mwili afya yake hawezi kupuuza kufanya mazoezi kwa sababu zifuatazo;
1) Mazoezi hupunguza kiwango cha sumu mwilini (2) Mazoezi huzibua mishipa ya damu na...
Hizi ndio generations za Mercedes-Benz S Class kuanzia mwaka 1965 hadi 2020.
Utoto wangu naikumbuka Mercedes-Benz S Class ya Bob Makani, Sea View Upanga. Ilikuwa model ya 1979 S 500.
Mbeya nikakutana Mercedes-Benz kali mpya ya mwaka huohuo 1993 ya tajiri Fresh ya Shamba, daily nilikuwa...
PSYCHOLOGY: SAIKOLOJIA ISHARA 7 KUWA MKEO ANAHITAJI UMSIKILIZE
Wakati fulani kitu pekee ambacho mwanamke anakihitaji ni mtu wa kumsikiliza. Njia maridhawa ya kumsaidia mkeo katika
matatizo yake, kwanza ni kumsikiliza na kumakinika kwa anachosema kisha utoe maoni yako juu ya suluhisho la tatizo...
USHAURI KWA WATUMISHI WOTE
1. Jenga nyumba mapema. Iwe mjini au kijijini . Kujenga katika umri wa 50 sio mafanikio. Usizoee majengo ya serikali. This comfort is so dangerous. Wape nafasi watoto wako kutanua nyumbani kwao.
2. Nenda nyumbani (Kwenu). Usigande kazini mwaka mzima. Wewe sio nguzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.