amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kibiblia ndoa ni agano Ukimkuta mwanamke hana bikra sio wa kwako

  2. Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

    Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa. Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba.
  3. Mke wa Mtu ni Sumu Ya Panya Ameponyoka huyu

  4. Video: Tembo aliyechoka kuteswa aamua kulipiza kisasi

  5. Raia Wa Oman Ana Kitambulisho Cha Nida Mpiga Kura na Nyaraka zingine Akamatwa na Uhamiaji

  6. Ujumbe wangu waleo jioni huo hapo

  7. Meli ya Mzigo ya kimarekani imepigwa Makombora na Wanamgambo wa Ki-Yemen mabaharia 7 wamefariki

    Mwanangu ameniletea hiyo habari yeye anafanya kazi katika Meli za dubai zinapita hapo hapo bahari ya Yemeni Mungu amnusuru Mwanangu na hayo mabalaa amin yarabi. Mwanangu amenitumia katika What's App sasa hivi nina chat nae.
  8. Watanzania changamkeni Kilimo cha Nyoka, kinaleta pesa nzuri

    KILIMO CHA NYOKA Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale. Hili sasa ndio Suluhisho. Kilimo cha Nyoka Fikiria uwe na Cobra 10. Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa. 60 mara kumi ni 600. 600 x 12= 7200 Kwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200 Cobra mmoja anatoa...
  9. Mwanajeshi Waisrail Ajiua Kwakujipiga Risasi Saa24 Vaada ya Kurejea Kutoka Kwenye Vita Vya Gaza

    https://www.youtube.com/watch?v=7UuRfVSxzwE&ab_channel=MEDANEWS
  10. Tanga Tazama wazungu Wakiongea kizigua

  11. Afungwa jela Miaka 4 Kwa Kosa La Kuvua Kondom Katikati ya Mechi Ya Tendo

  12. Ujumbe Wangu Wa Leo Usiku

  13. Leo ni siku ya kimataifa ya Albino

    Maudhui ya mwaka huu kusherehekea utandawazi,kuhusishwa kwa albino kwenye mipango ,kulinda haki zao. International Albinism Awareness Day is observed on 13 June every year to raise awareness about albinism, a rare, genetically inherited condition that causes a lack of pigmentation in the...
  14. Utaondowa chakula gani hapo kipo tofauti na Vyakula Wenzake? Kwa Mlo wa Usiku

  15. Kwa Wale Wenye Wafanyakazi wa ndani aka House Girl

  16. Ile unarudi zako Nyumbani Ghafla Unamkuta Mwanao afungwa hivi na House Girl halafu yeye anachat. Utafanyaje?

  17. Kama uliwahi Kuzitumia hizi Pesa basi wewe utakuwa umepita umri wa miaka 40

    Mimi Nimepita zaidi ya miaka 60 nimeshazitumia hizo pesa tangu Enzi wa Baba wa Taifa Mwalim Nyerere kisha akaja Mzee Wa Ruksa Marehemu Mzee Mwinyi.
  18. Big Attack On Israel’s Haifa Oil Refinery; Iraqi Resistance Claims Drone Strikes On ‘Vital’ Sites

    https://www.youtube.com/watch?v=pxOzXRDlMOs&ab_channel=TimesOfIndia
  19. Dalili 5 za Mtoto anayechukuliwa na Wachawi Usiku

    DALILI 5 ZA MTOTO ANAYE CHUKULIWA NA WACHAWI USIKU. 1 ANAHUSISHA MATUKIO YA USIKU NA MCHANA Utasikia akisema jana tulikwenda shamba usiku na watu wengi wamevaa nguo nyeusi. Alikuja akaniamsha tukaenda tukaruka kama ndege. Ikiwa story hizi anazieleza mara kwa mara usidharau ukasema ndoto tu...
  20. Masheikh waja juu, wataka Serikali iache kuingilia masuala ya Dini nchini

    Masheikh nchini wameitaka Serikali kuacha kuingilia masuala ya dini nchini na kuitaka iheshimu ili utulivu uendelee kudumu nchini. Wametolea mifano masuala mbalimbali mfano utolewaji wa elimu ya dini mashuleni kwa kuanzisha mitaala mipya itakayosomesha dini mashuleni. Sheikh Pomba amesema kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…