amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani?

    Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani? Maelezo ya picha, Uuzaji wa pipi za pamba umepigwa marufuku katika jimbo moja huko India Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Idara ya Usalama wa Chakula katika jimbo la Tamil Nadu nchini India, umebaini...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kwanini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron?

    Kwa nini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron? Maelezo ya picha, Vradimir Putin Mvutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na NATO unaonekana kuongezeka kwa mara nyingine tena huku Putin akiwa tayari amesema iwapo NATO itatuma wanajeshi kuisaidia Ukraine, hatari...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Uvimbe katika Mayai Ya Mwanamke (Ovarian Cyst)

    FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Fibroids, uvimbe kwenye kizazi unaowatesa wanawake wengi Duniani

    FIBROIDS:UVIMBE KATIKA KIZAZI UNAOWATESA WANAWAKE Katika siku za hivi karibuni,wanawake nchini wamekuwa wakilalamika kuwa kila wanapokwenda kujifungua basi hukutwa na uvimbe katika nyumba ya uzazi. Uvimbe huo,ambao si saratani, umekuwa ni tishio kwa maelfu ya wanawake nchini jambo...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Usimchezee Mamba, atakutafuna

  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mfanyakazı wa ndani awanywesha mkojo mabosi wake, wamkamata

  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ujumbe kwa Rais Samia; Mwalimu Mkuu wa Kitinku awafukuza shule watoto wa Mzee Salum kwa sababu wanakwenda kuswali siku ya ijumaa

    Je Sheria ya nchi inasemaje ? soma hapo chini 👇 ASalam Alaykum, Hongera nyingi sana kwa ndugu yetu wa imani ya kiislamu kwa jihad kubwa aliejitolea wa ujasiri mkubwa kuongea hayo bila oga na hatimaye natija yake ameamsha usingizi hisiya ya siyo ya viongozi na Mashekh wetu tuu bali hata...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wachawi wanavyokujia usiku ukiwa umelala usingizi Wanakuchezea mwili wako wanavyotaka

  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani?

    STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani? Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku. Magonjwa kutosikia matibabu ni tatizo kubwa la magonjwa ya zinaa (STDs) au (maambukizi ya zinaa)...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Umejifunza kitu gani kwa kupitia hii Video yangu?

  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un akikaguwa shamba la mpunga

    Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Huyu Mzee atakuwa hatari kweli Usaliti wa ndoa

  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake

    Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake. Mwanaume huyo alizungumza na mmiliki wa awali wa ng’ombe huyo na kugundua kuwa mama chui alifariki akiwa na umri wa siku ishirini tu na tangu wakati huo ng’ombe alimlisha chui huyo kwa maziwa yake. Kwa hivyo, chui...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka

    Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka, wanayatumia watu halafu unarudi kuwa kama Mwanzo. Subhana Allah wa Bihamdih Subhana Allah Aladheem
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kwa CCM hii umasikini nchi hii tutadumu nao!

    KWA CCM HII UMASIKINI NCHI HII TUTADUMU NAO. VIONGOZI WENGI WA CCM NI WAPIGAJI WANAMUANGUSHA MAMA SAMIA HAKUNA HATA MMOJA MZURI.
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Asalalee mzungu kala mafenesi ajali haina kinga

  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Huyu mama wa kikongo anameza sio kula ugali

  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ajali haina kinga kweli hatari sana

  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nay Wa Mitego Ujumbe Wako umefika Kwa Wahusika

  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hii Ndio Hali Halisi Ya Mkoa Wetu Wa Dar Sijuwi Kwenu Kukoje?

Back
Top Bottom