amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fahamu Makundi Matatu Ya Ugonjwa Wa Vidonda Vya Tumbo

    KUNA makundi matatu makuu ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo na leo tutajadili kwa kina aina hizo za magonjwa haya ya tumbo kama ifuatavyo: 1. Gastric Ulcers: Aina hii ya vidonda vya tumbo hutokea kwenye mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo. Vidonda hivi hutokea katika utumbo kwa sababu...
  2. Jinsi Ya Kukabiliana Na Tatizo La Kuvurugika Mzunguko Wa Hedhi

    TATIZO la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwakumba wanawake wengi waliopo kwenye umri wa kuzaa au wale wanaokaribia kufikia ukomo wa hedhi. Japokuwa wengine huchukulia tatizo hili kama kitu cha kawaida, kuvurugika kwa hedhi ni dalili kwamba kuna tatizo katika mfumo wako wa uzazi hivyo ni...
  3. Baba Mtu akifa anaweza kumnunulia mtu zawadi? Jifunze kitu kutokana na hii hadithi

    Baba kwani mtu akifa anaweza kumnunulia mtu zawadi?? Lilikua ni swali kutoka kwa mwanangu wa miaka 5, nilistuka kidogo kwani alikua anazungumzia mambo ya kufa. Ndiyo kwanza tulikua tumetoka kuzunguka Mlimani City kwaajili ya kuwanunulia wanangu watatu zawadi na tulikaa kidogo ili kunywa Juice...
  4. Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli

    Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli.
  5. SUA wanavyotumia bundi kudhibiti viumbe hai waharibifu

    BUNDI ni jamii ya ndege anayeishi kwa kutegemea nyama kama chakula chake kikuu. Hutafuta mawindo yake nyakati za usiku na mara nyingi hutumia mchana kupumzika. Ni ndege mwenye uwezo mkubwa wa kusikia mirindimo ya sauti iliyo ndogo kiasi kwamba binadamu hawezi kuisikia. Huwasikia na kuwavamia...
  6. Saratani ya utumbo mpana, haja kubwa tishio kwa jamii

    SARATANI ya utumbo mpana ni matokeo ya viotea au uvimbe ambao awali mtu huishi nao kama viotea vya kawaida na hatimaye hubadilika baada ya kukumbana na visababishi hatarishi. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani, Hellen Makwani anasema ni saratani ambayo huanzia kwenye utumbo mpana na kazi ya...
  7. Munir Akram, Balozi wa Pakistan kwenye Umoja wa Mataifa anazungumia kuhusu ubaya wa Israile kuwaua Rraia wa Kipalestina wasiokuwa na hatia

    Munir Akram Balozi wa Pakistan Kwenye Umoja wa Mataifa Anazungumia Kuhusu Ubaya wa israil kuwauwa Raia wa Kipalestina wasiokuwa na hatia. Kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas.
  8. Interactive map shows the world's most dangerous countries to visit with vacationers warned

    The map shows the world's most dangerous countries (Image: travelriskmap.com) Vacationers have been advised not to travel to the world's most dangerous countries, which are highlighted on an interactive map created by International SOS. These nations are where tourists are most likely to...
  9. Huyo ndiye mbunge wa Turkey aliyefia Bungeni akiilaan Israeli

  10. Chama cha Conservative Uingereza chahitalafiana juu ya mpango wake wa kisheria kwa Rwanda

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza James Cleverly (kushoto) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Vincent Biruta baada ya kutia saini mkataba mpya huko Kigali Desemba 5, 2023. Picha na Ben Birchall / POOL / AFP. Migawanyiko imeibuka katika chama cha Conservative juu ya mpango wake wa kisheria...
  11. Ishara Ya Dalili Ya Upungufu wa Vitamin B12

    SIGN OF VITAMIN B12 DIFICIENCY SYMPTOMS JICHUNGUZE KWENYE ULIMI WAKO UKITOKEA ALAMA KAMA HIZI KIMBIA HARAKA HOSPITALI KAMUONE DAKTARI UTAKUWA UNA UPUNGUFU WA VITAMIN B12 MWILINI MWAKO NI HATARI UKIPUUZA
  12. Ujumbe wa Manara Kwa jipu la Tanesko

    ======= Haji Manara amelalamikia shirika la umeme nchini, Tanesco kukata umeme kwa muda mrefu na kusababisha kutumia gharama kubwa kuwasha jenereta. Manara amesema wananchi wengi hawana uwezo wa kununua jenereta au kununua mafuta ya kuendesha majenereta hayo.
  13. Mwenye Nguvu aje kupambana na mimi. Kama Utaweza Njoo

    LIKUD Mkuu LIKUD Ajiandaa kupamba na na maaduwi zake hapo kazi kweli ipo
  14. Mbinu nzuri ya ku-save Pesa zako kwa Mwanamke Mwenye Tamaa

    Umejifunza kitu gani kwenye video hii?
  15. Ama kweli Mbuzi amekufia kwa Muuza Supu sijuwi itakuwaje atapona huyo Mbuzi?

    Ama kweli Mbuzi amekufia kwa Muuza Supu sijuwi itakuwaje atapona huyo Mbuzi?
  16. Hilo Ndilo Gazeti la Mllard AyouUpdates

    🀣 :DπŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€o_O Ipe neno moja hiyo habari umelewa kitu gani hapo?
  17. Hivi ni kwanini bando lina expire? Tungekuwa na wabunge kama huyu 100 nchi yetu ingeendelea kiuchumi

    "Hivi ni kwanini bando zina expire? Simu ni ya kwangu, nimenunua bando kwa fedha yangu halafu unanilazimisha nitumie kwa muda unaotaka wewe, hii ni kwanini Mh Spika? Kama ni sheria, basi iletwe sheria hapa ibadilishwe, kwasababu tunaibia wananchi. "Anatafuta fedha kwa jasho, ananunua simu...
  18. Dereva Amelewa sanaGari aka lori ameliingiza porini karibu na Zesko

  19. Unaweza kuhisi hiyo ni mji gani barani Afrika?

  20. Ujumbe maalum kwa Rais Samia kuhusu uzembe unaofanywa na wafanyakazi wa Bandari Jijini Dar

    Wana Bahati sana hawa Wafanyakazi wazembe wa Bandari mjini Dares-Salaam. Laiti kama ningelikuwa ndio mimi Rais wa nchi ninge wasimamisha kazi na huku uchunguzi unafanyika na ikibainika maneno anayo yasema huyu mfanya biashara kijana ni maneno ya ukweli basi ningeliwafukuza kazi wote wanao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…