android

  1. Abdul Ghafur

    Tunahitaji kuundiwa websites na Android Apps

    Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wakutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka. Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kuanzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au zaidi...
  2. Abdul Ghafur

    Tunahitaji kutengenezewa website(s) na Android Apps.

    Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wa kuunda / kutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka. Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kusnzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au...
  3. Buntungwa

    Msaada: Android TV imekwama (stuck)

    Wakuu habari, Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida. Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo...
  4. dadeez

    Natafuta Designer Chipukizi mzuri wa Android Apps na IO's

    Kama Title inavyosema hapo juu, Natafuta Designer Mzuri mwenye kujiamini kwenye Area zifuatazo: 1. Android & IO's Apps Designing 2. Website na Graphics Designing 3. DataBase Sio lazima awe na uzoefu mkuuubwa kwa maana labda awe amefanya kazi na companies kadhaa au zinazotambulika hapana...
  5. Sam Gidori

    WhatsApp kutofanya kazi kwenye baadhi ya simu za Android na iPhone mwaka 2021

    Programu tumishi ya mawasiliano ya Whatsapp haitafanya kazi katika baadhi ya simu kuanzia mwaka 2021, baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti. Programu hiyo haitafanya kazi katika simu za Android zinazotumia toleo la 4.0.2 au ndogo zaidi ya hiyo, na kwa simu za iPhone zinazotumia toleo la 9 (iOS...
  6. Scars

    Tupeane ujuzi namna ya ku-unlock network hizi simu za kijapan SHARP ANDROID ONE S3-SH

    Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane...
  7. RoadLofa

    Msaada: free FL Studio for Android

    Wakuu nina shida na FL STUDIO free maana nimeingia playstore ipo ya kulipia 47,000 aliye nayo tuma download link
  8. Komeo Lachuma

    Jinsi ya ku connect Simu Android kudisplay kwenye Laptop (Hasa Azam TV)

    Wadau nmekuwa nikisafiri sana ndani na nje ya nchi kutokana na nature ya kazi zangu. Changamoto ninayoipata ni kuangalia VPL kupitia Azam. Mara nyingi natumia App yao kuangalia mpira kupitia kwenye Simu.nikapata wazo la ku connect na laptop iwe ndo display ili niwe naangalia kwa ukubwa zaidi...
  9. monotheist

    Matumizi ya android tv box

    Natumaini hamjambo, Nina tv yangu ambayo si smart tv nataka ninunue android tv box ili iwe smart tv lakini Sina uwelewa wa kutosha na matumizi ya android tv box Je kifaa hiki kinauwezo wa kuhifazi picha, movies, games na music ? Na vipi kuhusu storage naona zina storage kama za simu mfano RAM...
  10. The Assassin

    Google phone app sasa inapatikana kwa simu karibu zote za Android

    Call app bora kabisa ya kwenye simu ya Google Phone App sasa inapatikana kwa karibu simu zote za Android kwenye Google Play Store kwa ajili ya kupakuliwa. Hii Google Phone App ilikua maalum na mahususi kwa ajili ya simu za Google, Pixel ila sasa inaweza kutumika kwa simu nyingine za Android...
  11. Heavy User

    Nawezaje kuenable disabled network bands kwenye android Engineer Mode?

    Angalia picha, hiyo ni Band Mode option kwenye setting ya Engineer Mode ya simu za android , nataka kutick baadhi ya bands lakini siwezi kwakuwa zimelokiwa. Je, kuna namna ya kuzifungua ili niweze kuzitiki?
  12. danmarc

    TCL android smart TV inch 32 kwa laki 3 na 70 tu (370,000)

    TCL android TV inch 32 kwa laki 3 na 70 tu (370,000) Netflix,Bluetooth,google play store ,WiFi Storage 4GB, Location: Boko Bunju daresalaam Simu : 0625875487
  13. Kurzweil

    Telegram Launches Video Calls on Android and iOS

    Messaging app, Telegram has launched one-on-one video calls for Android and iOS. The company announced the new development noting that 2020 had highlighted the need for face-to-face communication. Telegram announced the news through a blog post which also celebrated its seventh anniversary. To...
  14. T

    Mwaka huu nataka nihamie iPhone, nasubiri iPhone 12. Je, nitakosa nini cha Android?

    Mimi ni mpenzi wa Android hasa Samsung miaka mingi na napemda sana hizi high end devices zake. Ila Samsung ananiangusha kitu kimoja tu, Camera, 📷 yake sio nzuri sana kulinganisha na hata simu za kawaida za Pixel za Google, hata leo wame-launch Note 20 ila sioni kitu cha maana kipya. Product za...
  15. dunstech

    Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

    IMEI NUMBER NI NINI? IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet. Kwa simu zenye sim card...
  16. H

    How to install Ogwhatsapp on Android

    Hi everybody, - I started using an android phone, I want to use the ogwhatsapp application on my new android phone but have not yet known where to download and install it for safe, easy and best. - I did my own research online, there were so many versions provided and so much information that...
  17. M

    INAUZWA Tunauza bidhaa mbalimbali, Tunapatikana Kariakoo Ndanda st

    Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa Ni imara na haikati misumeno Ina watts 550 Ina sehemu ya kusagia nyama Ina warranty mwaka mmoja Bei 1,350,000 tu Tunapatikana kariakoo ndanda st Tunadeliver free kwa dar pia. Call/text/WhatsApp 0656666662.
  18. C

    Utofauti wa iphone na simu za Android

    Wakuu hivi utofauti wa simu ya I Phone za simu za android kama Samsung,Oppo ni upi? Je, i Phone yenye Storage ya 16GB inaweza ikawa tofauti na Samsung yenye storage ya 16 GB Hapa nazungumzia utofauti kwenye jinsi inavyofanya kazi na uwezo wa kuhifadhi mafaili Achana na suala la chaji na...
  19. Gushleviv

    Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

    Salaam wadau, Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii habari ya ujio wa "Android 11" sasa najiuliza hawa Google vipi, Mbona Updates kila baada ya kipindi kifupi? Binafsi hii inafanya kwa upande wa simu kuwa outdated haraka sanaa. Leo hii simu ya Android ya miaka 5 iliyopita...
  20. Miki123

    Blackberry walikwama wapi (utawala wa iphone & android)?

    Brackberry moja ya kampuni iliyouza smartphones kwa sehemu kubwa ya dunia. Unaikumbuka app ya BBM ilivyokuwa inaelekea kuipeteza facebook. Ilifika hatua brackbeery ilikuwa na marketshare ya zaidi 50% marekani na 20% duniani, unajua ukiliteka soko la US kwa kiasi hiki basi hata huko kwingine ni...
Back
Top Bottom