app

A mobile application, also referred to as a mobile app or simply an app, is a computer program or software application designed to run on a mobile device such as a phone, tablet, or watch. Apps were originally intended for productivity assistance such as email, calendar, and contact databases, but the public demand for apps caused rapid expansion into other areas such as mobile games, factory automation, GPS and location-based services, order-tracking, and ticket purchases, so that there are now millions of apps available. Apps are generally downloaded from application distribution platforms which are operated by the owner of the mobile operating system, such as the App Store (iOS) or Google Play Store. Some apps are free, and others have a price, with the profit being split between the application's creator and the distribution platform. Mobile applications often stand in contrast to desktop applications which are designed to run on desktop computers, and web applications which run in mobile web browsers rather than directly on the mobile device.
In 2009, technology columnist David Pogue stated that smartphones could be nicknamed "app phones" to distinguish them from earlier less-sophisticated smartphones. The term "app", short for "software application", has since become very popular; in 2010, it was listed as "Word of the Year" by the American Dialect Society.

View More On Wikipedia.org
  1. Investaa

    Winga APP business idea!

    Habari wataalam!. Kama title inavyojieleza hapo juu, nimepata wazo la app ambayo itasaidia wafanyabiashara wa mkoa na dar ata nje ya TZ kwa ujumla kununua bidhaa kwenye soko la kariakoo bila kutapeliwa na winga . Hii itasaidia wafanyabiashara wengi kupunguza gharama ya kuja Dar kununua bidhaa...
  2. Davidmmarista

    Jifunze Mobile App Development kwa Kutengeneza Project Mbalimbali!

    Karibu kwenye darasa letu la mobile app development! Hapa tutajifunza React Native kwa vitendo, tukijenga project 4 halisi kwa wiki moja moja. Jiunge na group letu la Whatsapp na upate uzoefu wa kweli katika kutengeneza apps. Jiunge na group letu WhatsApp hapa: WhatsApp Group Link
  3. snipa

    Grok AI sasa kupatikana kama App ya kawaida.

    Baada ya DeepSeek kuleta changamoto sasa Elon Musk kaamua Grok kupatikana kama Application ya kawaida, ambayo itapatikana kwenye App store zote.
  4. issac77

    Wakuu META wamepita na account yangu ya WhatsApp Business

    Kwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hvi
  5. Super Charged

    Mwenyeji wa Dar Nakuhitaji Unisaidie: Natengeneza App Itakayosaidia Watu/Wageni Wa Dar Wasipotee

    Habari wana Ndugu, Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka...
  6. KENGE 01

    Je, App ya Biashara ya Vipuri Kama BeForward kwa Soko la Tanzania Itafanikiwa au ni Kupoteza Muda?

    Nina wazo la kuanzisha App ya B2B Multivendor ambayo itawaunganisha wauzaji wa vipuri vya magari na wanunuzi nchini Tanzania, kama vile BeForward, lakini kwa soko letu la ndani. App hii itawawezesha wafanyabiashara wa vipuri kuorodhesha bidhaa zao, na wanunuzi wataweza kutafuta vipuri kulingana...
  7. Nyumba Nafuuu

    Miliki Sasa App/Site ya Kuuzia Digital Files Online - File Moja Uza kwa Wengi

    Want to own an app/site for Selling eBooks, PDFs, Magazines, Exams, Photos, Drawings, Music, Software, and More to thousands of customers online? We offer a ready-to-use web system that you can fully own! 📲 +255 657 685 268 🔥 Powerful Features Included: ✔ Instant Payments & Downloads –...
  8. Uwesutanzania

    Je ni app gani mzuri kwa mikopo ya mtandaoni

    Ndugu zangu nipo mahali ambapo sina mtu wa kumuazima pesa. Naombeni msaada ni app gani mzuri na haraka kwa mikopo na ya uhakika? Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
  9. KAGAMEE

    Msaada namna ya kurudisha muamala NMB mobile app

    Habari zenu wadau. Nilikuwa nataka kumtumia mtu hela kupitia NMB MOBILE APP.Bahati mbaya nimekosea namba yake ya mwisho ya account na hela imeenda kwa mtu mwingine (nilikuwa busy sikuzingatia sana jina la Acc).Nimeangalia vipengele kwenye NMB MOBILE APP sijaona option ya kurudisha muamala...
  10. Technophilic Pool

    China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

    Wakuu nauliza tu!! Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!! Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa...
  11. Bullshit

    Kwanini Rais Samia anatumia nguvu kujitangaza badala ya kutatua shida za wananchi?

    Sio siri Rais hana mvuto kabisa kwa Wananchi na mbaya zaidi 2025 hana sera. Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama. Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha kumpigia Rais kampeni kabla ya uchaguzi (Ongea na mama, Rafiki wa Samia nk) Wote tunafahamu ni jinsi...
  12. Kilangi masanja

    Msaada kupata App bora ndani ya App Store zinazopatikana pia Playstore

    Habari wana jukwaa, ndani ya playstore kumekua na app (utiriri wa apps) nyingi ambazo zingine kimsingi wala hazina ufanisi au hata hazifanyi kazi kabisa. Lakini kiuhalisia ndan ya Apple store wao app zao ni chache ila zinaufanisi kwa kile kilichokusudiwa,sasa basi kupitia uzi huu tujuzane app...
  13. Cybergates

    Voxmart: Simple ecommerce web app

    Kipindi nilikua napata mda wa kuwa free nilikua nafanya project ya kutengeneza ecommerce application, mpaka sasa naona imekamilika baada test za hapa na pale https://voxmart.co.tz/
  14. kipanga85

    Njia gani unaweza tumia ili kuondoa ads kwenye app

    kwenye app nyingi siku hizi kuna matangazo mengi sana ,sasa ni njia gani ya kufanya ili usipate hayo matangazo
  15. Orketeemi

    Naomba app hii MiniTube

    Wadau, naomba msaada wa APK ya MiniTube. Ikiwa kuna yeyote anayeweza kunisaidia kwa njia ya kupakua au kutumia programu hii, nitashukuru sana.
  16. Mayu

    Kuna GPS App ya kupima na kujua mipaka ya shamba?

    Wakuu wana Tech Nilinunua shamba 2019 ekari 12 Sasa kuna wahuni ninaopakana nao naona kila nikienda nakuta wamehamisha mpaka hata nikipanda miti wanang’oa na kuisogeza shamba linazidi kupungua tu Sasa nataka kujua kama kuna GPS App naweza kupima mipaka yangu nikahifadhi online siku nikienda mi...
  17. K

    SOFTWARE App kwa ajiri ya sherehe andaa orodha ya waalikwa na kadi za kielekitroniki

    Je, wewe ni Bw. / Bi. harusi mtarajiwa una sherehe yoyote inayohusisha michango? Je, unahitaji kuandaa kadi za kielekitroniki #ecard #electronic Card zenye majina na QR codes kwa ajiri ya uthibitisho (verification). Tunayo application itakayoweza kukusaidia kuandaa hivyo vyote. Application...
  18. D

    Wamarekani wamekuwa obsessed na app za mchina sasa

    Zimebaki siku tano hadi ban ya tiktok kuanza nchini Marekani lakini habari zinasema japo tiktok inajaribu kuwapeleka watuamiaji wake kwenye app yao nyingine inayoitwa lemonde wao wameamua kuanza kutumia app nyingine ya mchina inaitwa rednote ambayo ni kama mchanganyiko wa instagram, reddit na...
  19. Lycaon pictus

    Changamoto za monetization kwa wamiliki wa app

    Unamiliki app? Unafanyaje monetization? Changamoto gani unakutana nazo na unatatuaje?
  20. Fazzah5x

    MSAADA. APP BZURI YA KUSET UKIPIGIWA SIMU ITAJE MAJINA YALIYOSEVIWA KWENYE SIMU

    Habari za leo wakuu Naombeni msaada wa app nzuri inayosaidia kutaja majina ya watu wanaopiga simu inapokua inaita Na namna ya kuiset Nawasilisha Merry christmass
Back
Top Bottom