apple

An apple is a sweet, edible fruit produced by an apple tree (Malus domestica). Apple trees are cultivated worldwide and are the most widely grown species in the genus Malus. The tree originated in Central Asia, where its wild ancestor, Malus sieversii, is still found today. Apples have been grown for thousands of years in Asia and Europe and were brought to North America by European colonists. Apples have religious and mythological significance in many cultures, including Norse, Greek and European Christian tradition.
Apple trees are large if grown from seed. Generally, apple cultivars are propagated by grafting onto rootstocks, which control the size of the resulting tree. There are more than 7,500 known cultivars of apples, resulting in a range of desired characteristics. Different cultivars are bred for various tastes and use, including cooking, eating raw and cider production. Trees and fruit are prone to a number of fungal, bacterial and pest problems, which can be controlled by a number of organic and non-organic means. In 2010, the fruit's genome was sequenced as part of research on disease control and selective breeding in apple production.
Worldwide production of apples in 2017 was 83.1 million tonnes, with China accounting for half of the total.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

    Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo. Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania. Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda...
  2. GoldDhahabu

    Kulikoni huu mche wa apple?

    Heshima zenu wakuu. Hivi karibuni, 11/04/2024, niliotesha miche michache ya matunda ya apple. Ilikuwa miche mitatu, na nililietewa toka Kenya. Lakini mmoja wa hiyo miche imetoka michipukizi yanayofana na maua lakini sina uhakika kama ni maua, hasa ikizingatiwa kuwa "majuzi" tu. Hiyo...
  3. MINING GEOLOGY IT

    Madini yenye damu nyingi iliyofanya Congo kukosa amani, kampuni ya Apple ikishutumiwa sana

    Congo ni taifa lenye historia ndefu na utajiri wa kitamaduni katika eneo la Afrika ya Kati. Kuna Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Jamhuri ya Congo (pia inajulikana kama Congo-Brazzaville). Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni nchi kubwa zaidi katika eneo la Afrika ya Kati, iliyopo...
  4. The Assassin

    Serikali ya Marekani yaishitaki kampuni ya Apple kwa kuhodhi soko la simu kinyume cha Sheria za Ushindani

    Hii taarifa ilitoka siku 2 zilizopita. Sijui kama imejadiliwa humu ama lah. Lakini hebu tuijadili. Serikali ya Marekani imeishitaki kampuni ya Apple kwa kuhodhi soko na biashara ya simu zake na kuzuia ushindani kwenye mfumo wake wa simu(Apple ecosystems). Serikali ya Marekani inaituhumu Apple...
  5. ndege JOHN

    Msaada naomba mwenye Apple ID Asiyoitumia anipatie

    Wakuu nilinunua iphone kwa mtu akaondoa ID Yake Mimi kila nikijaribu ku icreate imegoma naomba mtu anisaidie mwenye nayo nitashukuru sana
  6. F

    Apple MAC PRO ni Game changer Kwa workstation content creators, gamers, Coders

    Mac Pro mpya ni game changer Kwa all creaters, 3D Animations, graphics designers, videos production . Apple wamekuja na chip Yao wenyewe from silicon na upanuzi wa PCIe kwa workflows Kazi za production. Chip ya M2 Ultra mpya - chipu yetu yenye nguvu na uwezo zaidi kuwahi kutokea. 24-core...
  7. R

    Ruto kupeleka M-Pesa Kimataifa, Safaricom na Apple kushirikiana M-Pesa ipatikane duniani

    Safaricom inafanya mashirikiano na kampuni ya Apple kuiunganisha M-Pesa na PayPal ili kuongeza wigo wa shughuli za M-Pesa kimataifa. Ruto asema wana nia ya kuzitumia fursa zilizoletwa na kampuni za Microsoft, Intel, IDM, Oracle na Google vizuri ili kuboresha uwezo wao katika mambo mbalimbali...
  8. Kaka yake shetani

    Iphone kwa Sasa imejikita na camera zaidi kwa toleo la 15

    Yani toleo jipya la iphone lilozinduliwa usiku wa Afrika Mashariki tarehe 12 mwezi wa 9 sijaona la maana zaidi ya kueleza ubora wa kamera tu. Simu nyingi zinapoteza soko zikidili na kamera tu
  9. Contraband

    Apple Event 2023 ilifanyika jana, ni yapi maoni yako?!

    Jana Apple wamezindua next generation ya iPhone na Apple Watches. Moja ya vitu nilivyopenda zaidi ni kuona wamefikia kwenye kutengeneza Carbon Neutral devices. Na kutumia material imara zaidi ulimwenguni ya titanium kwenye iPhones, ambayo yanatumika pia kutengeneza spacecraft.
  10. Mbute na chai

    iStore Tanzania: Je, hawa ni authorised apple reseller?

    Habari wakuu. Ninataka kuagiza bidhaa ya apple online kutoka hawa jamaa. Je, kuna mtu alishawahi kununua kwao? Ni kweli wao ni wauzaji wa bidhaa za apple waliyoidhinishwa na kampuni ya apple, nisije nikaingia mkenge?
  11. The Assassin

    Apple yakubali yaishe, Iphone 15 inayotoka wiki ijayo kuja na charger ya type C

    Kampuni ya utengenezaji simu aina ya Iphone ya Apple yakubali yaishe, inatarajia kutangaza simu mpya wiki ijayo zenye charger za type C. Apple imekubali kufuata masharti ya umoja wa ulaya ambayo ilipitisha masharti ya kutaka simu zote na laptop zote zinazouzwa ndani ya umoja huo kua na charger...
  12. BARD AI

    iPhone X yaondolewa kwenye Vifaa vya Apple vitakavyopokea iOS 17

    Kwa mujibu wa Apple imetangaza kuwa mfumo wa uendeshaji wa iOS 17 utapatikana kwenye simu za iPhone XS na kuendelea kumaanisha kwamba usaidizi umeondolewa kwa iPhone 8, iPhone 8 Plus, na iPhone X. Toleo la Beta ya kwanza ya iOS 17 itapatikana kwa wanachama wa Programu ya Apple kwa majaribio...
  13. kali linux

    Apple Mac mini m1 inahitajika haraka

    Hello bosses and roses.... Nahitaji Apple Mac mini m1, kwa anaeziuza au anaefahamu zinapopatikana hapa Tanzania naomba anijulishe. Note: inahitajika ikiwa mpya sio USED Ahsante
  14. El marabiosh

    Wapi naweza apple ipod?

    Wapi naweza kupata apple ipod mpya ya aina hii
  15. Extrovert

    Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

    Kwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo. Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories...
  16. BARD AI

    Apple yaongoza kwa mauzo ya Simu duniani, Samsung yaongoza Afrika

    Takwimu za mauzo ya Simu zilizotolea na Mtandao wa #StatCounter zimeonesha kampuni ya Kampuni ya #Samsung inaongoza kwa idadi kubwa ya Simu zake kununuliwa kwenye Soko la #Afrika huku ikishi nafasi ya pili kwenye soko la Dunia nzima. Kampuni ya #Apple ikiwa na Simu za iPhone iko nafasi ya 2...
  17. Mr Why

    Apple Laptop Inauzwa

    Apple Laptop MacBook Pro Retina Display Inauzwa 13 inch Processor 2.7 GHZ Dual Core Intel Core i5 RAM 8GB 1867 MHZ DDR3 Graphics Intel Iris Graphics 6100 1536 MB. Mbezi, Dar es Salaam Bei 650,000/= Mawasiliano 0623745875
  18. Frumence M Kyauke

    Computer4Sale Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa

    Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa Bei 1M Mawasiliano 0623745875 Specifications Display Retina display 13.3-inch (diagonal) LED-backlit display with IPS technology; 2560-by-1600 native resolution at 227 pixels per inch with support for millions of colors Supported scaled resolutions: 1680 by...
  19. Slowly

    Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

    Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani. Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua. Wakazi...
  20. Dr. Zaganza

    Apple desktop zimewasili na ofa ya vitabu

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
Back
Top Bottom