apple

An apple is a sweet, edible fruit produced by an apple tree (Malus domestica). Apple trees are cultivated worldwide and are the most widely grown species in the genus Malus. The tree originated in Central Asia, where its wild ancestor, Malus sieversii, is still found today. Apples have been grown for thousands of years in Asia and Europe and were brought to North America by European colonists. Apples have religious and mythological significance in many cultures, including Norse, Greek and European Christian tradition.
Apple trees are large if grown from seed. Generally, apple cultivars are propagated by grafting onto rootstocks, which control the size of the resulting tree. There are more than 7,500 known cultivars of apples, resulting in a range of desired characteristics. Different cultivars are bred for various tastes and use, including cooking, eating raw and cider production. Trees and fruit are prone to a number of fungal, bacterial and pest problems, which can be controlled by a number of organic and non-organic means. In 2010, the fruit's genome was sequenced as part of research on disease control and selective breeding in apple production.
Worldwide production of apples in 2017 was 83.1 million tonnes, with China accounting for half of the total.

View More On Wikipedia.org
  1. The Sheriff

    Apple watengeneza programu ya kuzuia udukuzi unaoweza kufanywa kwa vifaa vyake bila ya mtumiaji kubonyeza 'link'

    Apple imezindua programu ya dharura ili kukabiliana na hatari ya kiusalama kwa bidhaa zake kuzuia kile kinachoitwa "zero-click, ikiwa ni baada ya watafiti wa usalama kugundua kasoro ambayo inawaruhusu wadukuzi kuvifikia vifaa kupitia huduma ya iMessage hata bila watumiaji kubonyeza kiungo (link)...
  2. sheby blogger

    Apple iMac huwa zinafaa kwa shughuli za stationary?

    Wadau naomba msaada kidgo kujua kama, Kompyuta za apple znaweza kufaa kutumika katika kazi za stationary bila kuleta matatizo au usumbufu wowote? Maana nlitaka kununua kuna jamaa yangu akaniambia mizigo ya apple huwa ni utumwa au wenyewe wanaita ni gereza la kifahari. Nikaona sio mbaya nije...
  3. beth

    Apple yasogeza mbele mipango yake ya kuachia mfumo wa kukagua picha

    Kampuni ya Apple imesema mipango ya Teknolojia yake ya kukagua picha zenye maudhui ya unyanyasaji wa kingono kwa Watoto kwa Watumiaji wa simu za iPhone imesogezwa mbele Hatua hiyo imekuja kufuatia ukosoaji mkubwa wa Teknolojia hiyo kutoka Makundi mbalimbali ambayo yaliibua wasiwasi kuwa mfumo...
  4. beth

    Mfumo wa Apple kukagua picha za watumiaji wakosolewa vikali

    Mfumo mpya wa Apple utakagua picha zenye Maudhui ya Ukatili wa Kijinsia kwa Watoto kwenye Simu za watumiaji. Zaidi ya Watu na Mashirika 5,000 wamesaini barua ya wazi wakipinga Teknolojia hiyo ambayo wanasema inaweza kutumika kuingilia faragha za Watu. Hata hivyo, Apple imetetea Teknolojia yake...
  5. Sam Gidori

    Samsung yaipiku Apple kwa mauzo ya simu robo ya kwanza ya mwaka

    Uamuzi wa kampuni ya simu ya Samsung kushusha bei ya simu zake aina ya Galaxy S21 unaonekana kuipa faida kampuni hiyo baada ya kumpiku mpinzani wake wa karibu, Apple katika mauzo ya simu duniani kwa robo ya kwanza ya mwaka huu. Kampuni hiyo ya Korea Kusini imeonekana kufanya vizuri katika mauzo...
  6. babu M

    Apple profit soars to $23.6 billion in latest quarter on higher iPhone sales

    NEW YORK: Demand for the iPhone and other Apple products drove profits to more than double in the January-March period as the tech giant continued to capitalise on smartphone addiction. Profits came to US$23.6 billion, or US$1.40 per share, while revenue climbed 54 per cent to US$89.6 billion...
  7. sanga kariakoo

    INAUZWA Apple imac all in one nch 24 wide inauzwa 380000

    Habari waheshimiwa Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi) sifa zake Hdd 500gb ram 2gb (inaongezwa) nch 24 wide processor 2.8ghz core 2 duo graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256 MB zinasoma DvD NA CD za aina zote Napatikana KARIAKOO mt uhuru na MACHINGA COMPLEX floor 4...
  8. babu M

    Kampuni ya Apple ina mpango wa kuanza kuunda autonomous electric vehicles (A-EVs) na kuwa barabarani 2027

    Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva. Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao! Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya...
  9. Alex Hamadi Hamis

    INAUZWA Apple IMac inauzwa (imetumika mwaka 1)

    Apple IMac 🖥 inakuja na mouse + keyboard Condition: Used (1 year) Screen Display: 24inches Core i5 Processors: 2.9GHZ Storage: 1000GB / 1TB RAM: 8GB Price: 1.5M TZS (negotiable) Location: Mwenge, Dar es Salaam Call/WhatsApp: +255676095799
  10. C

    Logo ya Apple

    Hivi hizi simu za IPhone kuwa na logo ya tunda la Apple huku likiwa limemegwa kidogo ni kwa sababu gani?
  11. Nafaka

    Je, Apple kuanza kutumia processor za ARM kwenye computer zao ndiyo mwanzo wa kuanguka kwa intel?

    Kwa miaka mingi intel amekuwa ndiye kinara wa processors inapokuja suala la Desktop Computers. Kuna kipindi intel alikuwa anashikilia zaidi ya asilimia 75 ya market share ya processor za computer. Lakini kuna hatari mambo yakabadilika. Toka ujio wa smartphones ambazo zinatumia processor zenye...
  12. The Assassin

    Mauzo ya Iphone yawa mabaya, hisa za Apple zimeshuka sababu ya mauzo dhaifu

    Mauzo ya Iphone yamekua madogo kuliko matarajio ya kampuni ya Apple kupelekea hisa za kampuni kushuka kinyume na matarajio Apple. https://mobile.reuters.com/article/amp/idUSKBN27E3FP?__twitter_impression=true
  13. Dr. Zaganza

    Mac Apple na Laptop nyingine zimewasili na ofa ya software ya exportation analysis

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
  14. babu M

    Apple market cap falls below $2T; Fab 5 shed $900B in two days

    Thamani ya hisa za makampuni hasa tech companies zimeanguka kwa asilimia kubwa kuanzia juzi. Megacaps kuanzia jana na leo imepoteza thamani ya dola milioni 900! Hii ni mara 60 ya bajeti yetu kwa mwaka! This might be just a small correction -----------------------------
  15. Miss Zomboko

    Wakurugenzi Wakuu wa Makampuni makubwa ya Apple, Facebook, Amazon na Google kuhojiwa na Bunge la Marekani leo

    Amazon CEO Jeff Bezos, Apple CEO Tim Cook, Facebook CEO Mark Zuckerberg and Sundar Pichai, CEO of Google parent Alphabet, are set to testify before the House Antitrust Subcommittee on Wednesday. The testimony will give an indication of how the companies are quietly fighting antitrust arguments...
  16. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Zijue na jipatie computer za bei nafuu zinazokidhi mahitaji yako

    Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tunawashauri watanzania juu ya elimu ya vitu vya ki-electronics hususani computer ikiwemo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua, vitu vya kufanya na vitu vya kuepuka ili kifaa chako kidumu kwa muda mrefu n.k. Na leo tunakuletea elimu ya computer zainazotosha...
  17. Miki123

    Apple waja na iphone ya bei nafuu iphone SE (2020)

    Apple wameamua kula sahani moja na makampuni yanayotengeneza budget phone. Apple wamezindua simu ya iphone inayoitwa iphone SE. Kitu kinachovutia kwa toleo jipya la simu hii ni bei nafuu kulinganisha na matoleo mengine ya hivi karibuni. Bei yake ni $399. Hii bei ni kubwa kwa sisi watumiaji wa...
  18. The Assassin

    Apple yakubali kulipa zaidi ya USD 500M kwa wateja wamiliki wa Iphone 7 na Iphone 6

    Mwaka 2017 Apple iliwaomba radhi wateja wake wanaomiliki Iphone 7 na matoleo ya nyuma kwa kuzipunguzia kasi na ufanisi kwa makusudi ili tu watu wanunue matoleo mapya ya Iphone. Apple ilikuwa ikitoa software updates ambazo zitafanya aina hizo za simu kufanya kazi taratibu kuliko uwezo wake ili...
  19. A

    Naomba tatuzi kuhusu hili la Icloud (apple id)

    Habari, Nilijaribu kuomba kuhusu kufuta apple id yangu, lakini nilifanya kosa (nilitakiwa kusaini out kwanza katika Iphone yangu kabla ya kuifuta) kwa hivyo sasa kila nikijarb ku sign out naambiwa sina apple id kwa maana ya kwamba apple id yangu imeisha futwa. Lakini kwa sasa natumia simu...
Back
Top Bottom