Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Nakuandikia hili,ikiwa ni kiulizo&taarifa kuwa;
Je,umeshindwa kutatua changamoto ya uporaji Ardhi inayofanywa na mamlaka za Ardhi zilizo chini yako nchini?
Mfano;
Ichunguze Idara ya Ardhi Manispaa ya Morogoro,
Kuna uhuni mwingi unaendelea...