Uongozi ni namna ya kushughulika na katatizo yaliyopo.
Kipindi Cha Awamu ya Tano, ilijikita kushughulika na matatizo ya wananchi kwa kiwapelekea miradi mingi haswa ili wafaidi keki Yao.
Miradi ya maji, umeme, barabara, hospital, elimu, n.k ndio ilikuwa kipaumbele.
Wanasiasa walilia sana na...