askari

An askari (from Somali, Swahili and Arabic عسكري ʿaskarī, meaning soldier, or military) was a local soldier serving in the armies of the European colonial powers in Africa, particularly in the African Great Lakes, Northeast Africa and Central Africa. The word is used in this sense in English, as well as in German, Italian, Urdu and Portuguese. In French, the word is used only in reference to native troops outside the French colonial empire. The designation is still in occasional use today to informally describe police, gendarmerie and security guards.During the period of the European colonial empires in Africa, locally recruited soldiers designated as askaris were employed by the Italian, British, Portuguese, German and Belgian colonial armies. They played a crucial role in the conquest of the various colonial possessions, and subsequently served as garrison and internal security forces. During both World Wars, askari units also served outside their colonies of origin, in various parts of Africa, the Middle East and Asia. In South Africa the term refers to former members of the liberation movements who defected to the Apartheid government security forces.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

    Akiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae! Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam. Pia soma Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa...
  2. M

    Kwanini askari wa chini JWTZ awasiliane na DCI?

    Ni suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake. Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI? Ni kwanini...
  3. Idugunde

    Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

    Kila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni IGP akichukua hatua. ===== JESHI la Polisi Mkoani Mtwara limewakamata na kuwafikisha mahakamani Maafisa wa Polisi saba kwa tuhuma za mauaji ya Mussa Hamisi Hamisi (25) mkazi wa Kijiji cha Ruponda...
  4. M

    Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

    Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister, kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana...
  5. J

    ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

    ACP Mukadamu wa kikosi cha usalama barabarani amesema utaratibu wao wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa sana ya kuzuia ajali hasa huko Singida, Mbeya, Songwe na sasa Dodoma. Afande Mukadamu amesema utaratibu huu unaweza kufanywa kwa nchi nzima ili kuwanusuru...
  6. KINGSLEE

    Iringa: Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa

    Kumekuwa na Tabia mbaya sana kwa hawa watu kutunyanyasa pindi tunapokuwa safarin. Sasa dawa yao ipo jikon. Tutakomaa nao mpka kieleweke.. Kwa familia zilizokumbwa na Mkasa huu Tafadhal naomba Mnisamehe sana. Mungu Ibarik Tanzania Mungu Ibariki Africa. ===== TAKUKURU Mkoa wa Iringa...
  7. Kamanda Asiyechoka

    Kufumbia tabia na kasumba ya askari wa JWTZ kupiga raia na kuwaletea madhara imesababisha mauaji dhidi ya raia kuongezeka

    Matukio mengi sana yanayofanywa na askari wa JWTZ wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na...
  8. M

    Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

    Kama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani. Mambo mengi yatakaa sawa...
  9. lwambof07

    Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

    Ila hawa jamaa hawa dah
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Utakapokuwa Askari Usisahau mambo haya

    UTAKAPOKUWA ASKARI; USISAHAU MAMBO HAYA. Anaandika Robert Heriel. Na endapo utaamua kuwa Askari, iwe wa Kulinda Amani, au wa kulinda Mali, au kulinda na kusimamia sheria au amri Fulani, iwe kulinda utawala au viongozi. Tena ukiwa Askari wa upelelezi, au kuongoza misafara ya Magari au vyombo...
  11. W

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, MHESHIMIWA GEORGE SIMBACHAWENE (MB), WAZIRI WA TAMISEMI MHE UMMY MWALIMU PAMOJA NA IGP SIMON SIRO Waheshimiwa viongozi. Shikamoo Waheshimiwa viongozi Nawasalimu kwa Jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania " kazi Iendele"Poleni kwa majukumu makubwa...
  12. K

    Salamu kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Passport za Tanzania zinakimbilia mikononi mwa wageni kupitia viongozi waandamizi na askari

    Tanzania imezungukwa na maadui wengi kuliko marafiki, Tanzania imezungukwa na nchi zisizo na amani kama taifa letu. Ulinzi wa Tanzania upo mikononi mwetu Watanzania. Tusiposema hakuna atakayesema Kesho Wala Kesho kutwa. Nchi yetu imevamiwa Sana na wageni wanaotaka kuifanya nchi hii ni Mali Yao...
  13. Determinantor

    Askari aliyempiga picha "Binti" amevunja maadili ya kazi yake, ashtakiwe!

    Mwaka juzi kuliwahi kuibuka "upuuzi" wa Askari kukamata Watu/Watuhumiwa na kuwavalisha mabango yenye "tuhuma" Kisha kuwapiga picha na kusambaza mtandaoni. Leo hii Binti mdogo aliyejirekodi mambo yasiyo ya staha, amekamatwa na kupelekwa kituoni, akiwa kituoni Tena ofisini kabisa, anapigwa picha...
  14. B

    Waliompiga picha na kuzisambaza binti anayehusishwa na chupa ya soda wanafaa kuchukuliwa hatua

    Nalaani kitendo kilichofanywa na askari wa Jeshi la Polisi kumwita mtuhumiwa ofisini kwao nakumkalisha chini Kisha kumpiga picha nakuzisambaza. Hii siyo sahihi kabisa, sidhani kama watoto wao wanapotuhumiwa au watoto wa viongozi wanapokengeuka tunawafanyia hivi. Lakini jambo la pili huyu mtoto...
  15. Roving Journalist

    Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

    Salaam Wakuu, Askari Meshack Samson aliyekataa Rushwa ya Mil 10, ameshushwa cho baada ya kukataa kwenda Kozi baada ya kupandishwa cheo.
  16. M

    Rais tupia Jicho malalamiko ya askari wako hayana afya kwa Nchi

    Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli. Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana...
  17. M

    Ni nidhamu kwa askari kulalamika waziwazi?

    Mimi kazi zangu huniwezesha kukutana na askari wa majeshi yetu mbali mbali,katika kupiga stori za hapa na pale hujikuta wanagusia na mambo ambayo mimi sitakiwi kuyajua,,,,kwa mfano kulalamikia maslahi yao kubanwa na watu wizarani au Rais kutoona umuhimu wa kazi wanayofanya,,,,,kwa mfano askari...
  18. Kamanda Asiyechoka

    Mnamfukuza kazi askari anayesifia gongo(nipa) huku askari wanao tuhumiwa kutesa na kupiga watuhumiwa mnawaacha. Hii sio faira kabisa

    Kumekuwa na tuhuma nyingi sana za jeshi la polisi kuua kutesa na kupiga watuhumiwa. Lakini hatujawahi kusikia Igp au waziri Simbachawene akichukua hatua za kuwafuta kazi hawa askari wanaokiuka sheria za nchi. Kisa cha familia moja huko mkoani Mbeya kukataa kuzika kijana wao zaidi ya mwaka...
  19. britanicca

    Fourth week in North Korea ( Askari na Usalama wa raia nchini Korea Kaskazini)

    Kiwango cha rushwa nchini Korea Kaskazini kiko chini sana! Askari akikamata muarifu amepewa bonus hizi 1. Kama ni mwizi wa pesa 25% ya Pesa anazookoa ni ya kwake na 75% zinaenda ziliko ibwa 2. Askari akikamata Mbakaji Au anayetembea na mtoto wa shule Au chini ya Miaka 21 anapewa 300$ Kwa...
  20. Idugunde

    Lindi: Askari afutwa kazi na Jeshi la Polisi kwa kumpiga risasi mwenzake wakiwa lindo

    Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kauli hiyo...
Back
Top Bottom