Mimi kazi zangu huniwezesha kukutana na askari wa majeshi yetu mbali mbali,katika kupiga stori za hapa na pale hujikuta wanagusia na mambo ambayo mimi sitakiwi kuyajua,,,,kwa mfano kulalamikia maslahi yao kubanwa na watu wizarani au Rais kutoona umuhimu wa kazi wanayofanya,,,,,kwa mfano askari...