australia

  1. Ileje

    Ni kweli makampuni ya Australia yametuingiza chaka kuvuna Graphite na Niobium mikoa ya Lindi na Mbeya

    Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka. Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa...
  2. B

    Rais Samia kushuhudia utiaji saini mikataba ya madini na kampuni 3 za Australia - Aprili 17, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Aprili 17, 2023 anatarajia kuwa mgeni rasmi na kushuhudia utiaji saini wa mikataba kati ya Serikali na kampuni 3 za madini kutoka nchini Australia. Hafla hiyo itafanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kuanzia...
  3. JanguKamaJangu

    Australia: Aweka rekodi ya kupiga ‘push ups’ 3,200 kwa saa moja

    Lucas Helmke (33) ameweka rekodi hiyo katika ukumbi wake wa mazoezi uliopo Brisbane kuvunja rekodi iliyowekwa na raia mwenzake wa Australia, Mwaka 2022. Kila push up ilibidi isiwe na dosari ili kufikia viwango vinavyohitajika kwa rekodi rasmi ya Dunia, akitakiwa kuuweka sawa mwili wake...
  4. JanguKamaJangu

    Kampuni ya Australia iliyofutiwa leseni yatishia kukamata ndege ya Tanzania

    Kampuni ya Indiana Resources ya Australia imetishia kuikamata ndege ya Tanzania endapo itashindwa kulipa fidia kufuatia kesi iliyofunguliwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Uwekezaji (ICSID) Nchini Marekani Kampuni hiyo imeishtak Tanzania baada ya kutaifisha leseni ya uchimbaji...
  5. JanguKamaJangu

    Australia kupiga marufuku matumizi ya TikTok kwenye vifaa vya Serikali

    Serikali ya Australia imebainisha kuwa itachukua maamuzi hayo kwa sababu za kiusalama, ikiunga na Marekani, Ufaransa na Uingereza ambazo nazo zimechukua maamuzi kama hayo. Katazo hilo linatokana na onyo lililotolewa na Nchi za Magharibi kuhusu mtandao huo wa China wakidai unaweza kutumiwa na...
  6. Makonde plateu

    Najiandaa kwenda Canberra Australia kwa mchepuko wangu,Tuombeane

    Bwana yesu asifiwe, Kesho natarajia kwenda Ile safari yangu niliowaambia wiki iliopita ila nitapanda ndege za emirate mpaka Ethiopia 🇪🇹 pale nitakaa kama siku moja hivi kwa sababu pale pia kuna mchepuko wangu mwingine tena nilikuwa naishi nae kipindi nafanya kazi 🇪🇹 makao makuu ya umoja wa...
  7. Makonde plateu

    Mchepuko wangu wa Australia anataka niende kukutana nae inshort kumla mbususu

    Ama kweli huyu demu ananipenda sana sijui kwanini halafu ukistaajabu mimi sijawahi kumpa chochote kile zaidi ya kumla mbususu ttu yeye ni mzungu na hapa bongo alikuja kama internship katika taasisi moja ya kimataifa hapa bongo nilimla show mara kadhaa ila alioneka ameelewa shoo yangu Baada ya...
  8. BARD AI

    Australia: Wanasayansi wathibitisha Nyoka kuwa na Kisimi

    Wanasayansi wamegundua kuwa Nyoka wana Kisimi, hivyo kuvunja dhana iliyokuwepo kwa muda mrefu kwamba nyoka jike hawakuwa na kiungo hicho cha ngono. Utafiti uliochapishwa leo Desemba 14, 2022 unatoa maelezo ya kwanza sahihi ya kianatomia ya sehemu za siri za nyoka wa kike. Uume wa nyoka -...
  9. Wu-Ma

    Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

    Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa...
  10. Mathanzua

    Farmers in Australia are being forced to inject their animals with the mRNA vaccines in order to remain in business. How weird!

    Published on Friday, October 21, 2022 Much of the conversation surrounding mRNA (messenger RNA) “vaccines” centers around their impact on humans, but how about all the animals that are being injected with it? Believe it or not, cattle are reportedly now getting jabbed with the stuff, which in...
  11. BARD AI

    Australia: Serikali yabadili Sheria ya Taarifa Binafsi baada watu Milioni 9.8 kudukuliwa

    Kwa sasa kampuni za Mawasiliano ya Simu ikiwemo Optus zitatakiwa kushirikiana na Taasisi za Fedha na Serikali ili kuchunguza na kupunguza hatari ya matukio ya Usalama wa Mtandao, Udanganyifu, Ulaghai na Matishio mengine ya Kimtandao. Uamuzi huo wa Serikali unalenga kuwalinda Wateja waliokutwa...
  12. J

    Marekani kuiuzia Australia makombora ya JASSM-ER kukabiliana na kitisho cha China

    Washington, Serikali ya Marekali imeridhia maombi ya Austalia ya kununua makombora ya masafa marefu ya JASSM-ER yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 235 ili kuweza kukabiliana na kitisho cha China Asia Pacific. Makombora haya ya kimkakati yana uwezo wa kusafiri hadi umbali wa kilometa...
  13. Lady Whistledown

    Australia: Kampuni kubwa ya mawasiliano ya Optus yadukuliwa

    Kampuni ya Pili kwa ukubwa ya Mawasiliano nchini humo, #Optus, imeripoti shambulio la mtandao ambalo limefichua Taarifa Binafsi za Wateja kama Majina,Terehe za Kuzaliwa, Nambari za Simu na Anuani za Barua Pepe Kampuni hiyo yenye Wateja zaidi ya Milioni 10 inasema imefanikiwa kuzima shambulio...
  14. JanguKamaJangu

    Australia: Mtoto wa Waziri Mkuu asomewa mashitaka 17 Mahakamani

    Ratu Meli Bainimarama, 36, ambaye ni Mtoto pekee wa Waziri Mkuu wa Fiji, Frank Bainimarama anakabiliwa na tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia alizofanya akiwa Nchini Australia. Ratu amefunguliwa mashitaka 17 ikiwa ni pamoja na kutukana, kushambulia, kukaba koo na kuharibu mali, matukio...
  15. JanguKamaJangu

    Australia: Wadukuzi wawavamia Wanasiasa, wanahabari

    Wadukuzi Nchini Australia wametengeneza tovuti ya habari za uwongo ili kukusanya taarifa kutoka kwa Maafisa wa Serikali, Wanasiasa na waandishi wa habari. Walengwa wamepokea barua pepe zinazoonesha zimetoka katika vyombo vya habari vya Australia kukiwa na habari mbalimbali ambazo zimeibwa kutoa...
  16. BARD AI

    Australia: Sheria ya Usalama wa Mitandao kuzibana Apple, Meta na Microsoft

    Kampuni za #Meta (Facebook), #AppleInc na #Microsoft zimeandikiwa barua ya kutakiwa kushiriki mikakati ya kukomesha unyanyasaji wa watoto kwenye majukwaa yao vinginevyo yatapigwa faini. Idara ya Usalama wa Kielektroniki imesema kwa mujibu wa sheria mpya za Mitandao zilizoanza kutumika Januari...
  17. Lady Whistledown

    Waziri Mkuu Wa Zamani wa Australia ashutumiwa kwa Kuendesha Wizara 5 kwa Siri

    Waziri Mkuu wa sasa, Anthony Albanese anamshutumu Scott Morrison kushikilia majukumu katika Wizara 5 kwa siri, kinyume na Sheria za Nchi hiyo na kuelezea vitendo vya mtangulizi wake kama uvunjifu wa demokrasia Idara ya Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri imesema kuwa Morrison alikua Waziri mwenza...
  18. Mathanzua

    Covid-19 deaths hit new record in hyper-vaccinated Australia

    Thursday, August 04, 2022  The latest figures are in, and things are not looking good for “fully vaccinated” Australia. Even though more than 96 percent of the native population there took the first two mRNA (messenger RNA) jabs for the Wuhan coronavirus (Covid-19), and more than 70 percent are...
  19. L

    Mmea mkubwa zaidi ulimwenguni wagunduliwa pwani ya Australia

    Wanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
  20. Linguistic

    Muigizaji Sophia Kanumba yuko anasoma Form 5 Nchini Australia

    Wakuu Habari ya Asubuhi na Poleni na Hekaheka za Ashura Wa Tabata. Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba. Binti Huyo Anadai aonekani Nchini Kwa Sababu Yuko Nchini Australia anasoma Kidato Cha 5. Namskia Hapa Hata lafudhi yake imebadilika...
Back
Top Bottom