australia

  1. Richard

    Majasusi waivuruga Australia. Wadukua mifumo yao ya kiusalama ya kompyuta. Macho yaelekezwa kwa China, Russia na Korea Kaskazini

    Nchi ya Australia ipo katika kipindi kigumu baada ya mifumo yake ya kompyuta kudukuliwa na majasusi na kuharibu mifumo yake ya mashule, vyuo na mahospitali Mashambulizi hayo pia yamevuruga na kuharibu mifumo ya kompyuta za masuala ya biashara na mifumo ya serikali kwa ujumla Taarifa yaendelea...
  2. M

    China thretens to wipe €20bn off Australia Economy for daring to question the Origin of COVID-19

    AUSTRALIA has hit back at threats from China to punish Australia for daring to question the origin of the coronavirus, after Beijing vowed to wipe £20billion off the Australian economy. Australian Prime Minister Scott Morrison has hit back at China for threatening to punish Australia...
  3. mkiluvya

    TTB yafanya Mkutano na mabalozi kuweka mikakati ya kutangaza utalii Kanda ya Asia, Australia

    BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na Australasia kwa lengo la kuimarisha mikakati thabiti ya utekelezaji wa kuvitangaza vivutio vya utalii wakati wa kipindi hiki ambapo sekta ya utalii duniani...
  4. M

    China promises to take a revenge on Australia as 62 Countries joins Corona Virus Enquiry

    A COALITION of 62 countries are now supporting Australia's call for an independent probe to investigate the causes of the coronavirus pandemic that started in Wuhan, China. But, Australian Prime Minister Scott Morrison has felt the wrath of Beijing, after China threatened to decimate his...
  5. Analogia Malenga

    AUSTRALIA: Watu 600,000 Wamepoteza ajira kutokana na janga la Corona

    Waziri Mkuu wa Australia, Scott Morrison amesema takribani watu 600,000 wamepoteza #ajira kutokana na janga la #CornaVirus nchini humo Waziri amesema, japo kasi ya maambukizi inapungua lakini nchi inapaswa kujiandaa kwa ugumu wa uchumi watakao kumbana nao Chuo Kikuu cha Johns Hopsins...
  6. Suley2019

    Australia yaongeza zuio kwa Wananchi wake kwenda nchini Italia. Yaongeza fedha zaidi katika mfuko wa afya ili kupambana na Covid 19

    Waziri Mkuu wa Australia Bw. Scott Morrison akiwa katika mkutano na waandishi wa habari alitangaza kuongeza zuio la wananchi wake kusafiri kwenda nchini Italia ikiwa ni miongoni mwa mkakati wa nchi hiyo kuwalinda Wananchi wake dhidi ya ugonjwa wa Covid 19. Sambamba na hilo, meelezwa kuwa nchi...
  7. FRANC THE GREAT

    Afariki dunia katika shindano la kula keki

    Mwanamke mmoja nchini Australia amefariki dunia baada ya kushiriki shindano la kula keki katika siku maalumu ya Australia (Australia Day) mjini Queensland. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 60 alikabwa kooni na kupoteza fahamu wakati akiwa katika harakati za kushindana katika shindano hilo...
  8. Suley2019

    Moto wa nyika Australia: Wamarekani watatu wafariki dunia katika ajali ya ndege wakiwa katika harakati za kuzima moto

    Ndege inayotoa msaada kwa kuzima moto kwa kutumia maji dhidi ya moto wa nyika Januari 10, 2020 huko Penrose, New South Wales, Australia. Ndege iliyokuwa ikitoa msaada wa kuzima moto kwa kutumia maji kwa minajili ya kukabiliana na...
  9. Sky Eclat

    Joe Kangaroo aliokolewa katika moto huko Australia

    Joe ana majeraha machache lakini amepoteza wazazi wote wawili. Sasa hivi amelazwa kwa ni mgonjwa wa kulazwa kwa daktari wa wanyama.
  10. Analogia Malenga

    Australia yazidi kuumia kwa moto

    Ni kawaida kwa Australia kupata majanga ya moto, kwa kile kipindi ambacho kinafahamika kwa jina la fire season, Msimu wa moto. Lakini mwaka huu msimu huu wa moto ni mbaya kuliko yote, hali inayofanya kuvunja rekodi. Kwa hivi sasa Australia inapambana na msimu mgumu wa moto, unaosababishwa na...
  11. Suley2019

    Australia endures hottest day on record

    Australia has experienced its hottest day on record with the national average temperature reaching a high of 40.9C (105.6F), meteorologists say. The Bureau of Meteorology said "extensive" heat on Tuesday tipped the mercury past the previous record of 40.3C set on 7 January 2013. Taking the...
  12. Gily Gru

    Muswada unajadiliwa Australia, kosa kisheria kumlaghai mtu kwa kusudi la kushiriki nae kimapenzi

    Ikiripotiwa kwenye blog ya daily “If the proposal was to become law, telling someone you love them when you don’t, pretending to be rich and well connected when you are not, claiming educational achievements that you don’t possess, denying a complex sexual history – say, with same sex partners –...
  13. FRANC THE GREAT

    Ndege ya Australia yakamilisha safari ndefu kutoka New York hadi Sydney bila kusimama

    Shirika la ndege la nchini Australia, Qantas limefanya safari ya majaribio ya ndege za kibiashara moja kwa moja kutoka New York, Marekani hadi Sydney nchini Australia ikiwa ni majaribio ya huduma itakayokuwa ya safari ndefu zaidi ya ndege za kibiashara Duniani. Safari hiyo iliyohusisha ndege...
  14. Dive

    Julian Assange na MK ultra project a documentary

    Documentary kuhusiana na Julian Assange Muastralia aliyeanzisha Wikileaks www.wikileaks.org HIS HISTORY Julian Paul Assange (born Julian Paul Hawkins; 3 July 1971) is an Australian journalist, computer programmer, and the founder and director of Wikileaks. Assange describes himself as an...
Back
Top Bottom