azam

  1. Mad Max

    Mliowahi kushonewa seat covers na Safari au Azam Upholstery: Vipi Quality ya seat baada ya miaka 3-5 ipoje?

    Safari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations. Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje? Ukichukulia gharama...
  2. Mandingo

    Tanganyika yaitwa Tanzania Bara Azam tv!

    Nimeumia sana kuona Zanzibar ipo ila Tanganyika imebatizwa jina la ajabu eti Tanzania Bara!!!
  3. Rozela

    Je ni hali ngumu? Rais Samia Kusafiri na Kisimbuzi cha Azam kila aendapo?

    Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam. Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k...
  4. M

    Wachezaji hawa wa Singida Black Stars wanaweza kuanza kikosi cha Simba Yanga au Azam bila wasiwasi wowote ule

    Wa kwanza ni beki Trab, kuna Maroun Tchakei, Ibrahim Likeyeke, Arthur, Elvas Rupia na Damaro. Hawa jamaa wamekamilika sanaaaaa.
  5. Waufukweni

    Muonekano mpya wa Azam Complex, Uwanja wa klabu ya Azam

    Azam FC wameachia picha za muonekano mpya wa mabenchi ya wachezaji wa akiba, baada ya kufanyiwa maboresho. Azam FC wameachia picha hizo saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Uwanjani hapo. Mara ya mwisho Azam FC ilipocheza Azam Complex dhidi ya Fountain Gate...
  6. Allen Kilewella

    Azam Ongezeni watu wanaotafsiri kazi za Sana za nje.

    Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa. Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia...
  7. Waufukweni

    Tetesi: Yannick Bangala avunja mkataba Azam FC, apishana kauli na Rached Taoussi

    Kiungo mkongwe Yannick Bangala amevunja mkataba na klabu ya Azam baada ya kupishana na kocha wake Rached Taoussi. Bangala ambaye aliichezea Yanga misimu miwili kabla ya kutimkia Azam msimu uliopita tangu atimkie kwa matajiri hao wa Chamazi hajawa na rekodi nzuri kulinganisha na timu aliyotokea...
  8. Mayova

    BISHARA YA VING'AMUZI VYA AZAM

    Jamani nataka kufanya biasha ya kuuza ving'amuzi vya azam je, ni wapi naweza kuvinunua kwa bei ya jumla? Naomba msaada mwenye kujua
  9. Tembosa

    FT: NBC Premier League | Tabora United 2-1 Azam FC | Ali Hassan Mwinyi Stadium | 13.12.2024

    HT Tabora 1 - 0 Azam. Mlioko hewani leteni updates!! FT Tabora United 2 - 1 Azam
  10. B

    Mzigo mpya wa Azam.

    Hapa Azam wameupiga mwingi. Sio kwa gari hizo. Aisee......!
  11. itakiamo

    Ombi kwa Azam TV

    Habari, Ombi hili la Azam TV ni kwa sisi wapenda muziki, tunaomba mtuongezee channel ya Trace Naija. Asante
  12. Mkalukungone mwamba

    Yanga, Simba na Azam zapata shavu Russia

    Klabu za Simba, Yanga na Azam zimepata fursa ya kucheza mechi za kirafiki na klabu za Ligi Kuu ya Russia, pamoja na kuweka kambi katika kipindi cha mapumziko ya ligi. Fursa hiyo imepatikana kutokana na ziara ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro nchini humo na alikutana na...
  13. Dabil

    Vigezo gani kocha wa Azam kuwa kocha bora wa mwezi?

    Ni vigezo gani vimetumika kocha wa Azam kuwa kocha bora wa mwezi november na siyo kocha wa Simba? Mechi 3 za mwezi november Azam wameshinda mechi 3, Azam 1 Kagera Sugar 0 Azam 2 Singida Big Star 1 Yanga 0 Azam 1. Mechi za Simba Pamba 0 Simba 1 Simba 4 KMC 0 Mashujaa 0 Simba 1 Azam mechi 3...
  14. Allen Kilewella

    Utuaji ndege wasimamisha mechi ya Azam na Dodoma jiji

    Wakati mechi ya Azam na Dodoma jiji inaendelea hapa uwanja wa Jamhuri Dodoma. Linatokea tangazo la waendesha uwanja kuwa taa zote za uwanjani zitazimwa Ili ndege itue kwenye uwanja ulio karibu na uwanja huo Wa mpira. Hii imekaaje kisheria?
  15. Pdidy

    Azam Ferry huu uhuni uliiofanyika sio mzuri kabisa, kataeni wateja kabla ya kukata tiketi

    Leo nimewapeleka wateja wanne toka Mozambique kwenda Zanzibar Jana wakati nakata tiketi zao wakasema wanahitaji abcd, Tukapeleka zote Leo wamepanda boti kwenda Zanzibar wanafika wanazuiwa hawana insurance Huu ni uhuni sijawahi kuuona, kwanini mkate tiketi walipe hela zao Mpaka baadae...
  16. sergio 5

    Azam ya Rachid Taoussi inaweza wa-surprise sana Watanzania

    Najua wengi Huwa tupo busy na simba na yanga Yanga wapo ovyo saivi ata kesho akipoteza na namungo sio surprise Simba hawaeleweki wanacheza Nini infact wachezaji wenye uhakika wa number ni CAMARA na CHASAMBI 😎 Ila Azam ukiwaangalia wanakimbiza mwizi kimya kimya tu Hapo bin Zayed hajacheza...
  17. P

    Azam TV rekebisheni muonekano wa mwanga kwenye mechi zinazochezwa kwa Mkapa kupitia TV

    Mara zote mechi zinazochezwa mida ya saa kumi, watazamaji wa TV kupitia kisimbuzi chenu hukutana na muonekano wa giza katika nusu ya uwanja, jambo linalosababishwa na jua. Cameraman na uongozi wa Azam TV, fanyieni kazi tatizo hili la giza na tafuteni nafasi nzuri ya kuchukua video tofauti na...
  18. Adilinanduguze2

    Departure Lounge Azam Marine Haziko Sawa

    Wana JF Jana nilitoka Dar to Znz na leo natoka Znz kuja Dar nikitumia boat za Azam Boat ziko excellent, lakini departure lounge haziko sawa. both Dar na Zanzibar hakuna utaratibu mzuri Kwa mfano kwa upande wa Dar yule dada anaefanya announcement anasistiza abiria wakae kwenye siti wasubiri...
  19. Shanily

    Kuanzia sasa wewe ni Azam cola

    Kijana mmoja alikuwa mlevi sanaaa, hali hiyo ya ulevi ikawa imemchosha akaamua aende kanisani ili akaombewe aache pombe. Alipofika kanisani akaona ni vyema akae viti vya mbele iwe rahisi kwake kuona matukio ya kiibada vzrii. Siku hiyo kulikuwa na ubatizo wa watoto kanisani. Padri akaanza...
  20. The Watchman

    SI KWELI Feisal Salum amevunja mkataba wake na Azam Football Club

    Nimejongea JamiiCheck kwa mara nyingine, tafadhali naomba kupata uhalisi wa barua hii kama ni ya kweli kwamba Fei Toto amevunja mkataba na Azam FC
Back
Top Bottom