Shikamoo babu
Salaam kutoka duniani
Tunapoazimisha miaka 20 toka mwenyezi mungu akuvune baada ya kumaliza kazi tunasikitika sana kuona tulio wengi tumesahau uliyotuasa, tumesahau wosia wako.
Nakumbuka pale ulipoona uhuru wa Tanzania si uhuru kama nchi nyingine za afrika haziko huru...
Wanabodi,
Kila nikihesabu miaka tangu Baba wa Taifa afariki napata 19. Hii ni toka mwaka 1999 hado 2019. sasa ilikuwaje tukaadhimisha miaka 20 tareha 14 October 2019?
R.I.P mpendwa wetu JKN.
Lengo ni kuwekana sawa hakuna jingine.
Alichosema Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo katika maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Lindi.
"Miaka 20 iliyopita baba wa taifa alikuwa hai lakini sasa ametangulia mbele za haki. Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa...
HISTORIA FUPI YA MWALIMU NYERERE MPAKA MAUTI YALIPOMFIKA
Tarehe ya kuzaliwa: 13 Aprili 1922
Mahali pa kuzaliwa: Butiama
Tarehe ya kifo: 14 Oktoba 1999
Rais wa kwanza wa Tanzania: Alingia ofisini 1964 - 1985
Alifuatwa na: Ali Hassan Mwinyi
Dini: Mkristo Mkatoliki
Elimu yake Chuo Kikuu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.