bachelor

A bachelor is a man who is not and has never been married.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Ajira za aliyesoma Bachelor of Science in Chemistry zinapatikanaje?

    Naomba kujua kuhusu bachelor of science in chemistry hapa kwetu Tanzania na ajira zake.
  2. MOSHI UFUNDI

    Naomba kazi ya kufundisha Physics nina Bachelor of science in physics

    Habari wanajukwaa? Nina Bachelor of science in physics (Sio ualimu). Kutokana na ugumu wa ajira na ugumu wa maisha kiujumla, nimekuja mbele zenu kutafuta kazi. Ninauzoefu wa kufundisha kwa miaka miwili sasa( Theory na practicle) kwa O level na A level. Nipo tayari hata kwa Interview, sambamba...
  3. Ngufumu

    Hizi hapa Kozi zaidi ya 40 zinazoweza kusomwa na Muuguzi mwenye Diploma

    Zijue Kozi 40+ za degree ambazo Muuguzi/Nurse wa Diploma anaweza kuzisoma Tanzania kwa mujibu wa Guidebook ya TCU 2024/2025 If your a Nurse Midwifery with an ordinary Diploma save this👇🏾 1. Bachelor of Science in Nursing - MUHAS, UDOM, St. John, Kcmc, KiU, Kairuki, Agakhan, ZU, miaka 2.5 - 4...
  4. B

    Je, kuna uwezekano wa kusoma Bachelor of science in Account and Finance ukiwa na Diploma ya HRM?

    Naomba kufahamu hivi ukiwa na diploma ya human resource management kuna uwezekano wa kuapply bachelor of science in accounting and finance
  5. solow swan

    Benki kuu Tanzania (BoT) yatangaza nafasi za ufadhiri wa masomo elimu ya juu

    Benki kuu ya Tanzania(B.O.T) imetangaza scholarship katika mwaka wa masomo 2024/25
  6. ChampN199

    Ni chuo kipi hapa Tanzania kinatoa Bachelor ya Electronics & Radar Engineering?

    Wadau na wana familia wa JF , naombeni msaada kwenye hili. Naomba kujua chuo gani hapa tanzania kinatoa kozi ya radar engineering ngazi ya degree.
  7. Raymanu KE

    Bachelor yeyote jitahidi uwe na vitu vifuatavyo

    Kitanda Fridge Gas cooker/ jiko la mkaa/ stove Subwoofer TV pana kiasi Leseni ya kuendesha gari Kabati la nguo na viatu Feni Sofa Mchongo wowote wa kukupa kipato halali Then baada ya hayo unaweza kuongezea; Biashara Kiwanja Nyumba Usafiri Mtoto Ukishafanikiwa kuwa na hayo yote si lazima uoe 😅
  8. mrPhysics

    Je ni mashirika gani Tanzania yanatoa scholarship for continuing students wa bachelor degree?

    Habari Nipo na interest ya kufanya scholarship application zilizopo hapa hapa Tanzania, Je ni mashirika yani ukiachana MO foundation and Samia scholarship , yanatoa scholarship kwa continuing students if you first year GPA is more than 4.0 and you are a science student Thanks in advance, any...
  9. feyzal

    Naomba kujua utofauti wa Bachelor of Medicine na Bachelor of Surgery vs Doctor of Medicine

    Habari wa kuu. Nikiwa naperuzi kuangalia kozi mbalimbali kwenye guide book ya TCU kwa mwaka 2024/2025 nilipofika chuo cha kampla nikakuta hiyo kozi. Naomba kufahamisha utofauti wake kimajukumu katika kozi hizo mbili.
  10. Meneja Wa Makampuni

    Aliyesoma mchepuo wa HGL anaweza kusoma Bachelor of Commerce in Human Resource Management UDSM?

    Wakuu, Najua kuna watu wamewahi kusoma Bachelor of Commerce in Human Resource Management UDSM. Hivi mtu aliyesoma mchepuo wa HGL anaweza kusoma hiyo kozi UDSM.
  11. R

    Mwalimu wa physics & chemistry (bachelor) natafuta kazi ya kufundisha

    Habari wanajamvi, shule zinaenda kufunguliwa kesho hivyo kwa mwenye connection ya kazi ya kufundisha anisaidie, chuo nmehitimu UDSM
  12. Don Philipson

    Ukisoma PGM unaweza kusoma cozi ya Bachelor of Science in Metallurgy and Mineral Processing Engineering UDSM?

    Habari wakuu Kuna dogo kamaliza form six mwaka huu alikuwa anasoma PGM Anatamani kusoma Hiyo coz pale UDSM inawezakana?
  13. kipanga85

    Uzi kwa ajili ya mabachelor

    Nimeanzisha huu uzi kutokana na hali ya ubachelor nayoipitia, sometimes mambo yananyooka ila wakati mwingine yanakua nisivyotarajia mabachelor mnakaribishwa tupeane experience za maisha ya ubachelor
  14. Dystopian Man

    Bachelor of science in Interior Design

    Nilitamani kupata mawazo ya watu kuhusiana na kozi ya Interior design katika soko la ajira na hata kujiajiri, Yeyote mwenye top ideas kuhusiana na hii kozi
  15. Enosh Ibrahim

    Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness

    Hii kozi ya Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness ina husiana na nini pia soko lake likoje,pia nahitaji kufahamu kama ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa
  16. LIKUD

    Ney Wa Mitego You are The True Son Of Your Father. Kwenye hii ngoma yako mpya " Bachelor" umeweza sana kaka. Hakuna swali.

    Kwenye hii ngoma yako kama ingekuwa ni demu basi ni Beyonce Knowles. Na kama ingekuwa mchezaji wa mpira wa miguu basi ni Said Mwamba Kizota au Haruna Moshi Boban. A very catchy melody . Ni aina ya wimbo ambao hata ukiusikia kwa mara ya kwanza unakukumbusha sehemu ambayo...
  17. E

    Natafuta kazi, nina Bachelor of Pharmacy

    Bado sijapata leseni. Experience: 1 month, internship SUN PHARMACEUTICAL INDUSTRIES LTD. (section: Production and quality functions). Looking for any opportunity available especially in industries and pharmacy, including volunteer. Ninapatikana DAR ES SALAAM. Contact: 0675 111 890
  18. Enosh Ibrahim

    Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?

    Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
  19. Enosh Ibrahim

    Kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani?

    Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
  20. Enosh Ibrahim

    Kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?

    Hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
Back
Top Bottom