Habari wanajukwaa?
Nina Bachelor of science in physics (Sio ualimu).
Kutokana na ugumu wa ajira na ugumu wa maisha kiujumla, nimekuja mbele zenu kutafuta kazi. Ninauzoefu wa kufundisha kwa miaka miwili sasa( Theory na practicle) kwa O level na A level.
Nipo tayari hata kwa Interview, sambamba...
Zijue Kozi 40+ za degree ambazo Muuguzi/Nurse wa Diploma anaweza kuzisoma Tanzania kwa mujibu wa Guidebook ya TCU 2024/2025
If your a Nurse Midwifery with an ordinary Diploma save this👇🏾
1. Bachelor of Science in Nursing - MUHAS, UDOM, St. John, Kcmc, KiU, Kairuki, Agakhan, ZU, miaka 2.5 - 4...
Kitanda
Fridge
Gas cooker/ jiko la mkaa/ stove
Subwoofer
TV pana kiasi
Leseni ya kuendesha gari
Kabati la nguo na viatu
Feni
Sofa
Mchongo wowote wa kukupa kipato halali
Then baada ya hayo unaweza kuongezea;
Biashara
Kiwanja
Nyumba
Usafiri
Mtoto
Ukishafanikiwa kuwa na hayo yote si lazima uoe 😅
Habari
Nipo na interest ya kufanya scholarship application zilizopo hapa hapa Tanzania, Je ni mashirika yani ukiachana MO foundation and Samia scholarship , yanatoa scholarship kwa continuing students if you first year GPA is more than 4.0 and you are a science student
Thanks in advance, any...
Habari wa kuu.
Nikiwa naperuzi kuangalia kozi mbalimbali kwenye guide book ya TCU kwa mwaka 2024/2025 nilipofika chuo cha kampla nikakuta hiyo kozi.
Naomba kufahamisha utofauti wake kimajukumu katika kozi hizo mbili.
Wakuu,
Najua kuna watu wamewahi kusoma Bachelor of Commerce in Human Resource Management UDSM.
Hivi mtu aliyesoma mchepuo wa HGL anaweza kusoma hiyo kozi UDSM.
Nimeanzisha huu uzi kutokana na hali ya ubachelor nayoipitia, sometimes mambo yananyooka ila wakati mwingine yanakua nisivyotarajia mabachelor mnakaribishwa tupeane experience za maisha ya ubachelor
Nilitamani kupata mawazo ya watu kuhusiana na kozi ya Interior design katika soko la ajira na hata kujiajiri,
Yeyote mwenye top ideas kuhusiana na hii kozi
Hii kozi ya
Bachelor of Science
in Agricultural
Economics and
Agribusiness ina husiana na nini pia soko lake likoje,pia nahitaji kufahamu kama ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa
Kwenye hii ngoma yako kama ingekuwa ni demu basi ni Beyonce Knowles. Na kama ingekuwa mchezaji wa mpira wa miguu basi ni Said Mwamba Kizota au Haruna Moshi Boban.
A very catchy melody . Ni aina ya wimbo ambao hata ukiusikia kwa mara ya kwanza unakukumbusha sehemu ambayo...
Bado sijapata leseni.
Experience: 1 month, internship SUN PHARMACEUTICAL INDUSTRIES LTD. (section: Production and quality functions).
Looking for any opportunity available especially in industries and pharmacy, including volunteer.
Ninapatikana DAR ES SALAAM.
Contact: 0675 111 890
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.