bachelor

A bachelor is a man who is not and has never been married.

View More On Wikipedia.org
  1. Meneja Wa Makampuni

    Tangazo: Scholarships kwa Diploma, Bachelor, Masters na PhDs

    1. Leeds University Scholarship 2023/2024 Programmes: Accounting and Finance Country: England Level: PhD Financial coverage: Fully Funded Deadline: May 31, 2023 Apply: Leeds University Business School Accounting and Finance Department Scholarship 2023/24 2. University of Oxford Scholarships...
  2. DOMINGO THOMAS

    Bachelor of Science in Social Protection

    A Bachelor of Science in Social Protection can open up a wide range of career opportunities in various fields related to social work, social welfare, and social development. Here are some areas where graduates with a Bachelor of Science in Social Protection can work: 1. Social work: Graduates...
  3. Q

    Naomba kuelewa nikiwa na Masters nikaomba kazi yenye Qualification ya Bachelor

    Mfano kwenye tangazo la ajira linataka Data Analyst ila kwenye qualification wameandika Bachelor degree ila mimi nina Masters Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor...
  4. geezerlad

    Bachelor of public health

    Habari, naomba kufahamishwa ni vyui gani kwa hapa Tanzania vinatoa degree ya public health?
  5. Mr kenice

    Msaada: Chuo Kikuu Mbeya (MUST) kinatoa kozi ya Bachelor of Medical Laboratory Science & Technology

    Habari zenu wakuu, Poleni na majukumu, Moja kwamoja kwenye mada, Kuna bwana mdogo kaniomba ushauri nimsaidie lakini sio mjuzi zaidi nikaona NIVYEMA kuliweka hapa JF. Huyu dogo kasoma diploma ya Medical laboratory, na mwaka huu kaomba mkopo elimu ya juu akaendelee, chuo alichoomba ikawa ni...
  6. Mwanga Mkali

    Mwenye Bachelor of Science, Industrial Chamistry aje PM tutete

    Salam wakuu Nina project kwenye eneo hilo nahitaji mwenye elimu hiyo tutete. Njoo PM only for the qualified one nje ya hapo usipoteze muda ni swala serious. Mwenye uzoefu wa miaka 2 kwenye ajira husika na kuendelea atafaa zaidi.
  7. B

    Bachelor of Science in Housing and Infrastructure Planning ikoje?

    Naulizia kuhusu kozi ya bachelor of science in housing and infrastructure planning ndo ikoje yaan inahusu nini na je unawezq jiajiri, mwenye ujuzi msaada wakuu
  8. B

    Ufafanuzi kuhusu bachelor in human resources managenent na labour relation na public management

    Nimechaguliwa chuo Cha institution of social work kozi ya human resources nataka kubadilisha nisome kozi ya labour relation na public management naomben ushauri wenu niende ipi Kati ya hizo au nibaki na hiyo niliochaguliwa
  9. N

    Je, shahada ya sayansi katika Kemia ni ualimu?

    Hellow wapendwa samahan na poleni na majukumu Nilikua napenda kuuliza hiyo kozi tajwa hapo juu Bachelor of science in chemistry ni ualimu au ni nini?? Yeyote Mwenye kufahamu anifamishe msaada
  10. K

    Bachelor of science in business information technology UDSM-COICT.

    Kuna katoto ka dada yangu kamechaguliwa hiyo kozi udsm.ila naona kama ni kozi mpya hivi. Kwa wanaoifahamu hii kozi,wanipe abc zake please.
  11. kyagata

    Bachelor of Veterinary Medicine ya SUA iko vipi?

    Kwema wakuu. Ebana ndugu yangu amechaguliwa kozi tajwa hapo juu chuo cha sokoine pale Morogoro, naona Kama hajaridhishwa hivi na hii kozi, lengo lake lilikua asome MD ila vyuo vyote vya medicine alivyoomba hawajamchagua sababu ya ushindani kuwa mkubwa sana mwaka huu. Matokeo yake ya kidato cha...
  12. KISUNZU YP

    Bachelor of health system in monitoring and evaluation

    Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu. Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo yaani 2022/2023 kuna kozi imeanzishwa bachelor yake ilikuwa ngazi ya Masters tu pale Mzumbe sasa...
  13. D

    Nikasome ipi kati ya masters ya education au nitafute bachelor ya kitu kingine

    Habari wanajamii Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani...
  14. Bachelor ll

    Why am I a bachelor?

    The hardest part about us breaking up is letting go of the last piece of my heart. The saddest part isn’t that we never talk and love anymore, it’s that we never talk and love like we used to. Never be sad because it’s over, just be glad that it was once yours and beautiful. And look at us as a...
  15. Wababa13

    Ukisoma course ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology inakupa opportunity ya kufanya kazi sehemu zipi?

    Jamani naomba kufahamishwa kwa anayeifahamu kwa ukaribu course ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology.. mtu aliyesoma hii course ni kwamba anakuwa Sociologist na Economist kwa wakati mmoja? Naomba majibu tafadhari
  16. H

    Bachelor of business in admistration TIA

    Mdogo wangu amechaguliwa chuo Cha TIA kwenye course business in admistration je kwa wale wanafahamu hiki chuo je ni sahihi kwa mdogo kusomea na vip kwenye wa Ajira kinazingatiwa kwa upande wa hii course
  17. Anganjwiri92

    Naweza kufanya kazi TPA au TASAC nikiwa na Shahada ya Shipping and Logistics Management?

    Habari wapendwa!! Nina degree tajwa hapo juu nimemaliza pale chuo DMI, vipi naweza fanya kazi TPA au TASAC? Majibu yenu muhimu. Thanks
  18. D

    Naomba kufahamishwa kuhusu bachelor degree ya Education in Earlychildhood

    Habari za muda huu wanajamvi. Naomba kufahamu zaidi kuhusu elimu tajwa hapo juu. Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu 2022,nimesoma tahasusi ya HKL. Hivyo naomba mwenye ufahamu anipe dondoo kuhusu elimu hii. Ahsanteni.
  19. KISUNZU YP

    Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bachelor of Health Systems in Monitoring and Evaluation

    Habari za humu ndani wakuu, kuna kozi imeanzishwa chuo kikuu cha Mzumbe kwa ngazi ya Bachelor kozi tanjwa hapo juu. Mimi ni Clinical Officer mwajiriwa wa serikali ninawaza kwenda kuisoma kozi hiyo mwaka wa masomo 2022/23 ila sijui upana wake na kana nikirudi recategorization yake kwa sasa ipo...
  20. frangwi12

    Msomi wa Bachelor of Science with Education, pia nina uwezo wa kutumia kompyuta na nimepitia mafunzo ya JKT

    Naombeni kwa waajiri wowote wanaohitaji kijana mchapa kazi na anayejituma, wanicheki kupitia 0624843841. Nipo Dar, Temeke.
Back
Top Bottom