bachelor

A bachelor is a man who is not and has never been married.

View More On Wikipedia.org
  1. Ibrahim daud

    Nimesoma Bachelor of commerce in marketing UDOM, natafuta kazi

    Naitwa groly Miaka 24 Kutoka UDOM BINTI mdogo sana kutoka familia ya maskini Mwenye fursa mm napatikana +255 684 273 124
  2. and 300

    Siasa za Bachelor of Education (Adult & Community Education)

    Sisi wahitimu wa hii kozi tunataabika mtaani mpaka aibu. Yaani unaomba ajira unaambulia kebehi tu
  3. Mohamedmteleke

    Msaada wa final year project title kwa bachelor degrees

    Naombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science.... Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title nyingi Sana na baadae moja ikapita, Title ilikuwa chronic desease management information systems...
  4. U

    Natafuta kazi nina bachelor degree in information technology"

    Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa. Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ... Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY. nimespecialize kwenye...
  5. C

    Natafuta kazi yoyote hata ya kuwa counter bar

    Habaro wanajamiiForums. Nina bachelor ya sociology natafuta kazi yoyote hata ya kuwa counter bar ili niweze kulea watoto Tafadhali Kama una connection, nipo Mbeya nisaidie
  6. Samvurah

    Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

    Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021...
  7. M

    Diploma to Masters na Bachelor to PhD

    Wanabodi, naomba kujua hivi vitu wanatumia vigezo gani kufanyika? 1. Nmeshaona jamaa ana Diploma then Masters, hakupiga Bachelor Degree. 2. Nmeona watu wana Bachelor Degree then wana PhD, hawakufanya Master Degree(mfano Prof. Ndalichako n Prof. Mwandosywa) Swali langu kuweza kutoka Diploma...
  8. Panctuality

    Bachelor of accounting and finance (BAF) kupitia diploma in accounting and finance (DAF) as qualification ina mkopo toka HESLB?

    Wazee wa "ceteris peribus" habarini. Bila kuwapotezea muda naomba kujua endapo kama bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) huwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wanaosomea bachelor of accounting and finance mathalani waliopitia diploma ya accounting and finance? Au wanufaika wa mkopo...
  9. M

    Kuna mtanzania yoyote amewahi kuwa admitted kusoma undergraduate bachelor degree kwenye hivi vyuo?

    Mzuka wanajamvi! Kuna mtanzania yoyote kweli amewahi kuwa admitted kusoma undergraduate degree courses kwenye hivi vyuo kweli? Oxford, Cambridge, Havard, MIT, YALE, Stanford na John Hopkins? Nasisitiza UNDERGRADUATE DEGREE siyo masters ama PhD. Na kama yupo/wapo anastahili tuzo.
  10. L

    Bachelor of Accountancy with IT

    Habari kaka na dada, Naomba kujuzwa kuhusu hii course ya Accountancy with IT ambayo inatolewa IAA na IFM vp kuhusu soko lake la ajira na je ipi bora Kati ya BA. In Accountancy na hyo BAIT. Karibuni tujuzane.
  11. Honorable GPA

    Serikali inaendelea kufanya ubaguzi kwenye ajira. Kama una div 1&2 au bachelor degree jua upo kwenye risk ya kutoajiriwa

    Serikali mara kwa mara imekuwa ikiwahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kufaulu lakini jambo la kusikitisha unapofika wakati wa ajira serikali hiyo hiyo inawabagua tena. Tumeona kwenye ajira za polisi wanaotakiwa ni wale ambao hawakufanya vizuri kwenye mitihani ya kidato cha nne. Yaani...
  12. R

    Wanataaluma nisaidieni: Kozi hii inahusu nini: Bachelor Of Science In Industrial Engineering And Engineering Management

    I am in dire need to get clarification before making decision where to join Niko kwenye dilema huyu kijana anakwenda kusoma nini na applicability yake kwa Tanzania. Inahusu nini hasa maana siyo pure engineering classical one . Anapata utaalamu gani na position yake katika employment industry...
  13. Donbily

    Kozi ya bachelor of science in environmental health

    Wadau naomb kujua iyo kozi field zake na ajira zake
  14. L

    naomba msaada wa kujuzwa kama kwa matokeo haya kuna uwezekano wowote wa kusoma bachelor degree yoyote

    habari za wakati huu kila mmoja,ndugu zangu naomba kujuzwa hivi kwa matokeo haya EED ya PCB respectively na D ya BAM(basic applied mathematics) kuna uwezekano wowote wa kusoma bachelor degree yoyote tuu ile?! na kama upo huo uwezekano je ni vyuo vipi na kozi zenyewe ni zipi?! msaada tafadhali...
  15. P

    NIMECHAGULIWA IAE bachelor of education in adult education and community development nipeni abc za hi kozi

    Ndugu zangu ninaomba abc toka kwenu juu ya hiyo kozi, nimechaguliwa IAE dsm Nb mm ni mwl tayari,kwa yoyote mwenye kuifahamu hiyo kozi,pia fulsa ktk implementation kazini🤗
  16. A

    kozi kati ya bachelor of sciencie in civil engineerng UDSm au bachelor of science in elecronic and telecom DIT

    Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
  17. Meneja Wa Makampuni

    Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye Bachelor, Masters na PhD kwa ajili ya kuchukua nchi 2025

    Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025. Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama. Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni...
  18. yongpal

    Naomba ufafanuzi wa kozi ya Bachelor of science in Biology

    Habarini za mchana, Naomba msaada wa mawazo juu ya hii kozi hapo juu nimechaguliwa UDOM, nikisoma hii kozi kuna uwezekano wa kuwa mwalimu wa Biology au inahusika na nini hasa nje na ualimu.
  19. sudan iii

    Achague kozi ipi kati ya Bachelor of Medical lab na Architecture

    Habari zenu ndugu yangu amechaguliwa kusom bachelor of Medical Lab Muhimbil na Bachelor of Architecture UDSM kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
Back
Top Bottom