WEMA BADO WAPO
1. Nilipo pata ajali, ndipo nilipofahamu
Wachache wanaojali, tena wasonifahamu
Jaribu ni ja jabali, lahitaji utimamu
Watu wema bado wapo
2. Walojidai mapenzi, tele ningali mzima
Hakuna wakunienzi, kuutuliza mtima
Nilipouona mwezi, nilihimidi karima
watu wema bado wapo
3...