bajeti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Rose Cyprian Tweve Akichangia Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

    MBUNGE ROSE CYPRIAN TWEVE Akichangia Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 "Nampongeza Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kuwa Imara na mwanamke ambaye hajatikisika kuhakikisha anaendelea kuliongoza Taifa hili. Nampongeza Mhe. Mwigulu na Mhe. Mkumbo kwa namna ambavyo...
  2. Godyjons

    SoC04 Ushirikishwaji wa wananchi katika uandaaji na mapendekezo ya bajeti namna unavyoweza kuchochea uwajibikaji nchi

    Katika nchi nyingi za kidemokrasia raia wana jukumu kubwa katika mchakato wa kupanga bajeti ya nchi, kuhakikisha uwazi, uwajibikaji, na mwitikio kwa mahitaji ya Umma. Miongoni mwao nchi hizo ni ICELAND, USWIS,URENO, BRAZIL na AFRICA KUSINI. Hapa nitaeleza 1. Njia zitakazo pelekea uwajibikaji...
  3. D

    Bajeti ya 2024 - Nyongeza ya kima cha chini cha Pensheni ni takwa muhimu kwa wastaafu Tanzania

    Tangu July, 2015 wakati wa utawala wa Rais Kikwete kima cha chini cha Pensheni za wastaafu hakijawahi kuongezwa kutoka Tsh. 100,000/=. Tokea 2023 Waziri Mwigulu amekuwa akiongelea zoezi la mapitio ya mifuko ya pensheni na kuwapa matumaini kwamba jambo hili linafanyiwa kazi lkn tumeona juzi...
  4. dr namugari

    Bajeti ya Kenya ni trillion 88 na hakuna bajeti ya VAR

    Nimeamini kenya Ni taifa kubwa kwa nyanja zote za siasa na uchumi na mamb ya kijamii kwa kuitazmaa bajeti yake tu Ni Mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya trillion 46 Taifa Lina ekeza kwenye mamb ya .msingi sna hakna blaa blahaa Kama huku kwetu serkali inasamehe Kodi kwa vitu vya kipuuz na...
  5. B

    Zamani ukisikia siku ya Bajeti ilikuwa Talk of the Town, Nchi ilizizima, siku hizi habari utaziona kwa uchache sana

    Sijajua kama ni shida ya Watanzania au shida iko kwenye bajeti zenyewe. Ama Watanzania wamesusa baada ya kuona hazina maana sana kwao au ni ujinga tu wanahitaji kuelimishwa. Zamani tukiwa vijijini ukisikia leo Bajeti ya Nchi itasomwa Nchi nzima masikio na Macho ilikuwa Dodoma. Siku hizi...
  6. GENTAMYCINE

    Tumejiandaaje kuwasikiliza Leo Wachambuzi Uchwara wa Uchumi ambao baada ya Bajeti Kusomwa watahojiwa na wataisifia ili Teuzi zijazo Chura awakumbuke?

    Wachambuzi pekee wa Uchumi ambao niliwakubali na nitawakubali ni Mzee Lipumba, Marehemu Ngowi na aliyekuwa Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu wa Somo la Uchumi Chuoni SAUT Mwanza Luzangi, ila wengine Wote kamwe sitopoteza muda Wangu kuwasikiliza kuanzia na Mchumi Mpuuzi Mmoja wa Saa 11 Jioni ya Leo...
  7. H

    Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

    Samahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi. Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya chakula. Msaada please Pia Soma: Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?
  8. Alubati

    SoC04 Serikali iongeze bajeti ya vifaa tiba na dawa kwa magonjwa ya figo na saratani kuwawezesha wagonjwa kupata huduma ya matibabu bure kwa asilimia 100

    Gharama kubwa ya tiba ya magonjwa ya saratani na figo nchini zinasababisha baadhi ya wagonjwa kuacha tiba sahihi hospitalini na na kutumia dawa za kienyeji ambazo zinachangia vifo. Pamoja na jitihada za serikali kuboresha huduma eneo la magojwa hayo kwa kutoa msamaha wa matibabu kwa baadhi...
  9. BARD AI

    Ukisikia Serikali imetenga Bajeti kwaajili ya Matumizi ya Kawaida au Matumizi Mengineyo kama Mwananchi unaelewa nini?

    Kama mwananchi, kusikia kwamba serikali imetenga bajeti kwa ajili ya "matumizi ya kawaida" au "matumizi mengineyo" kunaweza kueleweka kwa njia zifuatazo: - Matumizi ya Kawaida Hii inahusu gharama za kila siku au za mara kwa mara zinazohitajika kwa ajili ya uendeshaji wa serikali. Matumizi haya...
  10. Roving Journalist

    UNICEF yaipongeza Tanzania kwa uwazi katika maandalizi na Utekelezaji wa Bajeti

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limeipongeza Tanzania kwa kupiga hatua kubwa katika masuala ya uwazi kwenye mchakato wa uandaaji na utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kutokana na matokeo ya utafiti wa uliofanywa na Shirika hilo. Pongezi hizo zimetolewa jijini Dodoma...
  11. MKATA KIU

    Natafuta kiwanja Kivule mpaka Msongola. Bajeti ni milioni 5 na kisipungue sqm 300

    Habari wadau. Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola. Bajeti yangu ni milioni 5. Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru. Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake. Pesa ipo mfuko wa shati
  12. BARD AI

    Wizara ya Fedha kutumia Tsh. Trilioni 17.63 kwa Matumizi ya Kawaida, Tsh. Bilioni 544.05 kwa Matumizi ya Maendeleo

    Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2024/25: Muhtasari Utangulizi: Wizara ya Fedha imewasilisha bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2024/25, ikijumuisha ombi la kuidhinishiwa matumizi ya jumla ya shilingi trilioni 18.17. Kiasi hiki kimegawanywa katika matumizi ya kawaida na maendeleo kwa...
  13. Roving Journalist

    Mchango wa Luhaga Mpina akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Mei 30, 2024

    Mheshimiwa Spika, awali ya yote nianze kwa kumpongeza Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa (Mb) kwa uwasilishaji wake mzuri wa hotuba yake ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2024/2025. Mheshimiwa Spika, Niwapongeze Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za...
  14. Dr Matola PhD

    Najitahidi walau kufuatilia hili bunge kipindi hiki cha bajeti lakini Wabunge wanakera sana hasa wa CCM

    Yani mtu umeacha mambo yako atleast ufuatilie bunge la bajeti lakini badala yake mbunge anachangia hoja, linatokea limbunge lingine linasema taarifa, mchangiaji anakaa chini spika anampa nafasi mtowa taarifa halafu taarifa yenyewe pumba tupu. Hivi spika haoni kumkarisha mtu chini wakati alikuwa...
  15. K

    Dakika 47 ya Halima Mdee wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi

    Kwanza kabisa nikupongeze Mhe. Halima Mdee wewe ni jembe. Leo umemfanya Mwigulu - Waziri wa Fedha, Bashungwa - Waziri wa Ujenzi na Mbarawa - Waziri wa Uchukuzi. Leo umewafanya waonekane si chochote mbele ya hoja yako. You have reduced them to nothing. Hakika wamepwaya. Nije kwenye mada. Mhe...
  16. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Nicodemas Maganga amesema Trilioni 1.7 ni Bajeti Ndogo kwa Wizara ya Ujenzi, Fedha Iongezwe

    MBUNGE NICODEMAS MAGANGA Amesema Trilioni 1.7 ni Bajeti Ndogo kwa Wizara ya Ujenzi, Fedha Iongezwe "Maeneo ya Kanda ya Ziwa tunayo changamoto, Barabara ni mbaya sana, nyingi ni za vumbi, Magari yanakata Chesesi kwasababu ya ubovu wa Barabara. Bajeti ya Trilioni 1.7 ni ndogo sana, Waziri wa...
  17. Pfizer

    Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100

    BUNGE LAPITISHA BAJETI WIZARA YA UJENZI KWA ASILIMIA 100 Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na...
  18. chiembe

    Bajeti Wizara ya Ulinzi trilioni 3.3, Wizara ya Ujenzi trilioni 1.7, ni maboresho ya Jeshi letu au kuna kitu serikali imekiona?

    Nimeona bajeti ya hizi Wizara mbili, Wizara ya Ulinzi ina bajeti kubwa kuliko hata Wizara ya Ujenzi. Nadhani ni jambo jema kwa kuwa majemedari wanatakiwa kushinda bila kuinua silaha, na gharama za kurudisha amani ni kubwa kuliko gharama za kuitunza. Pia nchi yetu imezungukwa na nchi zenye mambo...
  19. Pfizer

    Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24

    BODI YA MFUKO WA BARABARA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 77 Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka...
  20. Roving Journalist

    Mchango wa Luhaga Mpina akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje Mwaka wa Fedha 2024/2025, Mei 28, 2024

    Mheshimiwa Spika, Awali ya yote naomba nimpongeze Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Yusuph Makamba (Mb) Naibu Mawaziri, Makatibu Mkuu na watumishi wengine wa Wizara kwa hotuba nzuri yenye taarifa muhimu za kutuwezesha waheshimiwa wabunge kujadili na kufanya...
Back
Top Bottom