Jumla Kuu - Tsh. 110,899,722,000
Matumizi ya kawaida - Tsh. 81,115,206,000
1. Mishahara - Tsh. 68,352,946,000
2. Mengineyo - Tsh. 12,762,260,000
Matumizi ya Maendeleo - Tsh. 29,784,516,000
Katika mwaka 2024/2025, vipaumbele vikuu vya Wizara ni sita (6). Aidha, vipaumbele hivyo vitatekelezwa...