Mwandishi:Safari Afrika
Mfu Afrika na uhuru Bandia, Nasikia huna raha maana machungu umezoa, umechoka kulia na kushoto unaelekea, jua limekuchwa na kivuli chako katu hakikusogea.
Afrika uliye mfu maana umeliwa na siasa,
Nusu mfu wanao kujenga ni vijana na wamezimia kwenye anasa,
Mama afrika...