Matatizo ya ajali barabarani tunaweza kuyaondoa haraka endapo mamlaka za serikali zitachukua hatua leo.
kama hatutabadili namna ya kufikiri itatuchukua miaka mingi sana kupunguza matatizo ya ajali Tanzania.
Takwimu alizotoa rais wakati akifunga mwaka 2024 zinaonesha ajali zilizotokea ni 1735 na...
Habari waungwana,Kuna hawa Askari wa kikosi Cha usalama Barabarani mkoa wa Mbeya wamezidi kuchukua Rushwa.
Muda huu Niko safarini kutoka Mbeya kuelekea mkoa wa Songwe tumekutana na Askari maeneo ya Ifisi na Songwe viwandani wao kazi Yao ni kuchukua Rushwa tu.
Wanasimamisha Magari lakini hakuna...
Taifa linapoteza nguvu kazi kwa kasi ya mchongoko si kwa mapenzi ya Mungu bali kukosa maarifa. Ni mwendawazimu pekee anaweza kujiaminisha kuwa hizi ajali tunazozishuhudia ni mapenzi ya Mungu.
Nchi serious ninazozijua kuruhusiwa kuingia barabarani na chombo cha moto ni mchakato very strict na...
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.
Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.
Lakini kabla ya yote...
Hii elimu ya usalama barabarani mbona kama inatolewa kwa madereva, vipi kuhusu sisi tunaoendesha miguu yetu. Mana tunakufa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzielewi wala
Machinga wapo kila pahala
Dar hapo wanapanga bidhaa barabarani na Mwanza Wapo hapo round about Nyerere road
Hizi ni sehemu hatarishi
Unakuta kariakoo mtu kapanga nyanya na bamia, makele yasiyo na msingi
Watu wa mpango mji mnafanya Nini ofsini
Tunajua hawa ndo wapiga kura ila serikali ni...
Kwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa...
Watu wanao taka Lisu awe Kiongozi ni kwa kutaka awaandamaie wao wenyewe wakiwa wamekaa kwenye Tv.
Kenya kinacho wafabya wakina Raila Odinga na wengineo watambe ni Raia wa Kenya.
Wakenya hata usiku wa manane ukwaamusha ukawaambia tuingie Barabarani wanaingia. Mikutano ya hadhara Kenya haihitaji...
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.
Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekemea utaratibu wa uwekaji wa Vizuizi na vituo vya ukaguzi barabarani bila kuzingazia tahadhari ya usalama kwa watumiaji wengine wa barabara.
Waziri Mkuu amekemea utaratibu unaofanywa na baadhi ya Halmashauri kuweka vizuizi na vituo vya ukaguzi kwa kuziba...
Kutokana na ongezeko kubwa la vyombo vya moto, vyombo vya usafirishaji na mitambo mbalimbali inayotumia barabara, ipo sababu ya mitaala na miongozo ya ufundishaji au utoaji mafunzo yoyote nchini kujumuisha mada ya usalama barabarani ili kupanua wigo katika uelewa wa matumizi sahihi ya barabara...
Jamani mi natoa ya moyoni leo kwasababu naamini hapa JF ndo sehemu pekee nitaongea na kero yangu ikatatulika.
Huwa tunaambiwa mteja ni Mfalme, lakini huu ufalme mbona kama umegeukia Kwa watoa huduma?
Hili suala nilishaliona sana NHIF lakini kwasababu sikuwa na pa kuongelea basi likawa linauma...
Mimi ni Mkazi wa Manispaa ya Iringa, Kata ya Ilala, Mtaa wa Kajificheni kwa niaba ya wenzangu tunaomba msaada wa kusemewa kuhusu shimo lililotelekeza kwa dhumuni la kutengeneza ‘kalavati.
Kuna Maafisa ambao walikuwa wakishirikiana na Uongozi wa Serikali za Mtaa kuchimba mashimbo hayo kwa ajili...
Nchi hii haishi vituko.
Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.
Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi...
Kwa muda mrefu sana nimekua nikishuhudia ajali za barabarani na kutokua na juhudi zozote za kielimu kutoka kwa vyombo na taasisi husika kuweka mpango mkakati wa kuzipunguza
Nitakua nikiweka matukio ya ajali yanayitokea kila kukicha Tanzania kusudi tuweze kujua jinsi gani hizi ajali zinamaliza...
CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia Kituo chake cha Kikanda cha Umahiri katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani Zanzibar (ZARTSA) kimetoa mafunzo ya usalama barabarani kwa madereva na makondakta wa gari za abiria wa Mkoa wa Kaskazini...
Wakuu,
Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.
Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali kwenye nchi waliyopo yaani Canada kuna miskiti zaidi ya 500
Kwanini wafunge barabara? Kwanini...
Matrafiki hapa dar wanachukua rushwa balaa kwenye daladala na hawaogipi tena. Wanachukue buku mbili mbili hadharani kabisa bila woga na wameachiana idadi ya magari kwamba wewe tunakupa magari labda 40 kwa siku na yule atachukua elfu mbilimbile magari 50 na wanaachiana kabisa.
Kidogo wanaogopa...
JE, SERVICE ROAD NI KWA MATUMIZI YAPI HASA?
Ni swali ambalo limekuwa linasumbua sana vichwani mwa madereva wengi sana. Kwani si mara nyingi hasa tunaelezwa service road zilijengwa kwaajili ya nini hasa na nani wanaopaswa kuzitumia.
Ukisoma ROAD TRAFFIC ACT hakuna popote inapozungumziwa service...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.