Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu...
Wadau.
Watendaji Wakuu Wa CCM Ziarani Mikoani.
Dkt Bashiru Ally ameanza Ziara ya Siku 3 Mtwara.
Humphrey Polepole ameanza Ziara ya Siku tisa Kisiwani Pemba.
Kwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana
Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same, tunaomba...
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo Jumamosi Februari 15, 2020 ametembelea na kukagua hatua za mwisho ujenzi wa Soko kuu la kisasa katika Manispaa ya Morogoro.
Soko hilo la kisasa linatarajiwa kukamilika Machi 30, 2020 limegharimu kiasi cha *T. Shs Billioni 11,267,070,127.77...
Ukistaajabu ya Corona utayaona ya CCM.
Kurudi kwa Sumaye CCM na kupokelewa kwa mbwembwe wakati ambapo makatibu wakuu wawili wakiitwa kuhojiwa ni dhihaka na vichekesho vya hali ya juu.
Sumaye kwa kipindi cha takribani miaka minne ametumia majukwaa ya upinzani kuinanga, kuizodoa, na kuisema CCM...
"Hakuna Kiongozi ambaye ameitwa na akakataa kuitikia wito uongo, huyo anajipenda au hajipendi?, mambo ya kuitana hayajaanza leo, Watu huitwa wengine hata kufukuzwa tangu enzi za TANU wakati mimi sijazaliwa wala Magufuli hajazaliwa,kuna jipya gani?”-Dkt, Bashiru Ally, Katibu CCM
Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020.
Hii ni baada ya wazee hao wakongwe wa chama hicho kuwachomesha mahindi wajumbe wa kamati ya maadili kwa siku...
Nimepatata fununu hizi muda si mrefu kupitia makada wawili tofauti lakini bado nazifanyia kazi kujua usahihi na uharaka wake.
Mmoja wa watoa taarifa amesema huenda zoezi hili likaendeshwa kimya kimya bila tambo za kisiasa ili sheria ichukue mkondo wake kikamilifu.
Niwatakie Dominika yenye Baraka!
Katinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
=====
Wakati wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wakikemea kauli za baadhi ya viongozi wa kisiasa zinazotishia maisha ya...
Najiuliza tu kwa sababu kwa sasa wananchi wengi wameshavisahau vyama vya upinzani ukiondoa kule Zanzibar, Mbeya mjini, Iringa mjini na Tarime.
Ndio najiuliza mikutano itakapofunguliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu vyama vya upinzani vitapata watu au watalazimika kuwabeba kwa malori kama...
Dr bashiru aahaidi kumtoa madarakani Zitto Kabwe
======
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema chama hicho tawala nchini Tanzania kinajipanga kuibuka na ushindi wa ubunge katika jimbo la Kigoma Mjini linaloongozwa na Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo).
Mwaka 2010 hadi 2015 mbunge wa Kigoma...
January 19, 2020
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru anaichambua safari ya kisiasa ya CCM toka mwaka 2015, ambapo kura za CCM ziliporomoka na Magufuli alipata 58%. Fitna na misukosuko ikawa jadi ya chama. Wasemakweli wakawa maadui wa chama na kupelekea kuitwa na Halmashauri Kuu ya Chama NEC...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewakumbusha baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini maana halisi ya uchaguzi ni maamuzi ya Umma si kama ambavyo wamekuwa wakieleza kwa kupotosha kuwa, uchaguzi ni namba.
Ameyasema hayo tarehe 13 Januari, 2020 alipokuwa akihutubia...
Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
HOTUBA YA DR. BASHIRU KWA UFUPI
CCM inatoa salamu za mwaka mpya 2020, niwahakikishie watanzania kuwa tutaongoza siasa safi,ni mwaka wa kuheshimu maoni na uamuzi wa...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. Bashiru Ally, amewataka wananchi kupuuza kauli ya kufanya kazi na kula Bata ambayo imeratibiwa na Mbunge wa Kighoma Mjini Zitto Kabwe na kusema kauli hiyo itachangia kuzorotesha uchumi wa Taifa.
Dkt. Bashiru amesema kuwa, katika nchi ambayo wananchi...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Iringa, amewahakikishia wanachama, mashabiki na wakereketwa wa CCM kuwa Chama hakipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini kama ilivyofanyika miaka michache nyuma.
Ameyasema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.