bashiru

Ayotomiwa Sherif Dele-Bashiru (born 17 September 1999) is a Nigerian professional footballer who plays as a midfielder for Watford.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: UVCCM jibuni hoja za wapinzani bila kuchelewa, ni marufuku waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kupiga kampeni

    Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao. Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie...
  2. britanicca

    Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

    Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026. Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi, Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu...
  3. S

    Chama Cha CCM Kina dharau sana-Haijalishi leo wewe ni Polepole au Bashiru

    Tumeona kila anaejaribu kukiacha chama hiki huandamwa sana na inataka ukakamavu wa hali ya Juu kuweza kuyakabili shida na mashaka utakayo andamwa nayo,wapo waliovuka vigingi vya CCM na leo wanaipelekesha mbio ila wapo walioshindwa na kurudi CCM wakiwa ni wenye kuzalilika maisha yao, Haijalishi...
  4. Mtini

    Uchaguzi 2020 Mambo yamegeuka: CCM inafanya kampeni kama ndio inatafuta kushika dola kwa mara ya kwanza; dhana ya Bashiru kutumia dola kushinda uchaguzi yafeli

    CCM walijiamisha kuwa wameua upinzani kwa manunuzi ya waunga juhudi, walifikiri kwa kufanya hivyo wananchi watachukia vyama vya upinzani. CCM walijiaminisha kuwa kampeni zitakuwa mteremko kwa kuonyesha madaraja na ndege, kumbe kuna kitu zaidi ya ndege wananchi wanakihitaji. CCM walijiamisha...
  5. G Sam

    Kikwete: Magufuli ametekeleza Ilani kwa 85% ila Bashiru anasema ametekeleza Ilani kwa 100% na amepitiliza

    Leo Rais mstaafu ndugu Jakaya Kikwete akiwa Chalinze na mgombea mwenza wa Rais Magufuli, amesema kuwa Rais Magufuli anetekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 85 hivyo anaomba wananchi wamchague tena Nakumbuka Katibu mkuu wa CCM ndugu Dkt. Bashiru Alli alisema kuwa Rais Magufuli ametekeleza ilani ya...
  6. M

    Uchaguzi 2020 Jackson Kangoye agoma kumuunga Michael Kembaki Tarime, ashangaa undumilakuwili na uongo wa Bashiru na Polepole

    Maumivu ya uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya CCM bado unaendelea. Japo wengi hawasemi wazi lakini chini kwa chini kuna mgogoro mkubwa. Katika Jimbo la Tarime mjini, aliyeongoza kura za maoni ni Jackson Kangoye na aliyemfuatia ni Michael Kembaki ambaye ndio aliyeteuliwa kuwa mgombea ubunge...
  7. Course Coordinator

    Nina uhakika Makonda atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru

    Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko...
  8. M

    Bashiru Ally: Katiba ya sasa haikidhi mahitaji ya Nchi

    Ndugu Bashiru Ally alisema kuwa katiba ya sasa ni katiba isiyokidhi mazingira ya kisiasa ya nchi yetu maana ilitungwa kuenenda na mfumo wa chama kimoja. Dkt. Bashiru Ally akasema kuwa Katiba hii ya sasa haina muafaka wa kitaifa ambapo sasa nchini kuna vyama vingi wakati katiba hii ni ya chama...
  9. Venus Star

    Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: CCM ya-test mitambo, yazindua Kituo cha Huduma kwa Wanachama na Watendaji

    Published on Aug 17, 2020 Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha Mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na watendaji wa chama icho Katika kipindi cha uchaguzi mkuu Akizingumza mapema leo jiji Dodoma katibu...
  10. Nzelu za bwino

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi wa October 2020, mtihani wa kwanza kwa Dk. Bashiru na Polepole

    Salaam wanajamvi, Oct 2020 kutakua na uchaguzi mkuu wa kuchagua madiwani, wabunge na Rais wa nchi. Uchaguzi huu ni wa kwanza kwa katibu mkuu na katibu mwenezi toka wateuliwe, ni uchaguzi huu utakaoonyesha uwezo wao wa kupangua na kupanga hoja kwenye mikikimikiki ya kampeni. Tulizoea kuwaona...
  11. Kennedy

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

    Kumekucha salama, Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma. Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
  12. Etwege

    Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

    Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko . Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, na kujikomba kwa wazungu. Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana...
  13. Mystery

    Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

    Kuangushwa katika kura za maoni za CCM, katika jimbo la Kigamboni, kwa Paul Makonda na Faustine Ndugulile, kumepokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania wa nchi nzima Hivi hali hiyo inaweza ikawa inaashiria nini? Hivi inawezekanaje kwa mkuu wa mkoa, ambaye mara kwa Mara amekuwa akisifiwa...
  14. Determinantor

    Makonda ashtakiwa kwa Bashiru, hakika wameamua kumzuia Paul

    Katibu Mkuu, Chama Cha Mapinduzi , S.L.P 50, Dodoma. 15/07/2020. Ndugu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, (Dkt) Bashiru Ally, * YAH: NDUGU PAUL MAKONDA KUVUNJA KANUNI NA SHERIA ZA UCHAGUZI KIGAMBONI.* Husika na kichwa cha habari, Kwa heshima kubwa sisi wana CCM Vijibweni-Kigamboni tunapenda...
  15. The Sheriff

    Uchaguzi 2020 Bashiru: Kuna mtu unakuta ndani ya miaka mitano tu kapata vyeo vikubwa viwili kwa mpigo halafu kabla hajakomaa pale, anataka Ubunge. Sigombei

    Kuhusu kutenda haki kwa wagombea wote, Dkt. Bashiru amesema: ”Nadhani kama umemsikiliza Mwenyekiti wetu jana wakati anaapisha baadhi ya viongozi, alisema yeye kama mwenyekiti wa chama hana mgombea, na akaenda mbali kusema Makamu wa Rais, hana mgomnea; akamtaja Waziri Mkuu, hana mgombea...
  16. macho_mdiliko

    Siri yafichuka: Katibu Mkuu CCM Taifa, Dkt. Bashiru alitaka kujiuzulu baada ya kutoelewana na Mwenyekiti wa CCM

    Wanabodi salama? Kumbe yanayoendelea nyuma ya pazia ndani ya CCM ni makubwa na yanaogofya. Kumbe hata Dkt. Bashiru yalishamshinda kufanya kazi na Magufuli na alitaka kujiuzulu? Huu uchaguzi una mengi yaliyojificha nyuma ya pazia na ambayo yanaweza kuwashangaza watu matokeo yakitoka. Kama una...
  17. M

    Barua ya wazi kwa Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi: Manung'uniko ya Waislamu lazima yafanyiwe kazi

    Ndugu Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Mimi ni mwananchi, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimeamua kuchukua wasaa huu kukuandikia haya yafuatayo, kwani kwa haya niyaandikayo naamini ni ya msingi sana katika kukuza umoja na mshikamano wa Taifa letu vitu ambavyo ni...
  18. Sky Eclat

    Dkt. Bashiru Ally uliyasema haya. Je, bado unayaamini?

    Dkt. Bashiru ulisema Katiba ya sasa haifai kutuongoza kwani imeundwa katika mfumo wa chama kimoja. Tangu 1995 tumeingia katika Uchaguzi wa Vyama vingi na time ya Warioba kuna na rasmi lakini Katiba haijabadilika. Ukiwa Katibu Mkuu wa CCM msimamo wako juu ya Katiba mpya ni upi?
  19. S

    Wagombea Urais Zanzibar wanapaswa kumlazimisha Bashiru awaambie nani kati yao ametumwa na "mabeberu" la sivyo akiri kauli yake ni potofu sana kisiasa

    Mara nyingi nimesema sana humu JF kwamba kuna wakati nazishangaa sana kauli za wanasiasa wetu zinazotolewa kama vile hawana uwezo wa kufikiri. Sasa hili la Bashiru, Katibu Mkuu wa CCM kupiga kelele mbele ya jumuiya kwamba haelewi kwa nini hadi wakati huo wanachama 12 wajitokeze kugombea uraisi...
  20. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

    Membe anasema: Kuhusu kugombea ndani ya CCM: Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba...
Back
Top Bottom