benki

Benki Birugali (Kannada: ಬೆಂಕಿ ಬಿರುಗಾಳಿ) is a 1984 Indian Kannada film, directed by Thiptur Raghu and produced by H. V. Sowbhagya. The film stars Vishnuvardhan, Shankar Nag, Jayanthi and Jayamala in the lead roles. The film has musical score by M. Ranga Rao. This movie was remake of 1968 Bengali film Apanjan.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Benki ya Dunia kutoa dola za Kimarekani Mil 425, kuboresha Elimu ya Juu Tanzania ili kuleta Mabadiliko ya Kiuchumi

    Salaam Wakuu, Benki ya Dunia inatazamia kutoa Dola za Kimarekani Milioni 425 katika mpango wa miaka mitano wa uboreshaji wa elimu ya juu ili kwendana na Mabadiliko ya Kiuchumi Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (MoEST) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inaandaa mpango wa miaka mitano wa...
  2. Jaji Mfawidhi

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira. Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka. Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi...
  3. Jidu La Mabambasi

    Fueling the parallel economy: Kutumia benki sasa ni hatari?

    Wadau JF, Mnalionaje hili, sasa hivi kuweka pesa yako benki unajitakia umaskini. Jamaa wa TRA kiulaini wanakuja kuichota kama vile ukakasi wowote ni mali yao. Kutumia benki kwa malipo halali sasa ni hatari. Matokeo ya dhahiri ni aidha watu kutopeleka kabisa fedha benki zetu au kudai malipo...
  4. Z

    Kwanini NSSF isiwe na tawi la bank kusaidia wateja wake?

    Mikopo ya bank muda mwingi haisaidii sana watumishi wa umma au sekta binafsi kwa sababu ya riba kubwa. Sasa kwa sababu watumishi huwa ni wateja wa kudumu wa mfuko huu na kila mwezi wanachangia fedha nyingi, kwa nini NSSF isiwe na bank ambayo itatumika kuwapa mikopo wateja wake kwa riba ndogo...
  5. nyakandula

    Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

    Habari zenu Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa? Naomba ushauri wadau NB: Nimechagua hizo gari kwa...
  6. kufanakupona

    Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa?

    Nisirembe sana, kichwa cha habari kinajitosheleza. Benki gani yenye makato ya mwezi kidogo kuliko benki nyingine au isiyo na makato kabisa? Karibu.
Back
Top Bottom