Baada ya benki kuishiwa Dola, Sasa benki nyingi zinaishiwa shilingi.
Nini maana yake?
Je, watu wanahamisha mitaji kwenda kuitafuta Dola?
Je, mzunguko wa shilingi umezuiwa na Dola?
Je, Wafanyabiashara hawauzi bidhaa na kupata shilingi?
Je, Wafanyabiashara Sasa wanapokea dola kutoka kwa...