bidhaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    INAUZWA Wapenzi wa bidhaa za asili

    Tunauza bidhaa nzuri zilizotengenezwa kwa mti wa muanzi yaani bamboo tree, bidhaa ni nzuri, zipo kwenye kiwango cha ubora wa juu na salama kwa matumizi. JE, FAIDA YAKE AMA UPEKEE NI UPI? Kwanza vyaweza kutumika kama mapambo ya ndani yaani interior decor ama matumizi halisi, mfano kikombe...
  2. Sky Eclat

    Faida nzuri ya kilimo utaipata ukitoa bidhaa badala ya malighafi

    Nimeangalia documentary nyingi za kilimo kutoka Australia mpaka Brazil hata Italy, Ghana na South Africa. Kilimo kina faida baada ya uwekezaji mkubwa. Kwanza kilimo chenye faida kina anzia heka 20+. Kupata ukubwa huu wa shamba uweze kulima kwa trekta kutoka kwenye pori si kazi ya mwaka mmoja...
  3. konda msafi

    Ni wakati wa Rais Samia kuziangalia bidhaa zilizopanda bei kutokana na matamko ya kisiasa na kuumiza wananchi wa hali ya nchi

    Nakumbuka mwaka 2016 bei ya sukari ilikuwa shilingi 1,800 kwa kilo. Bei ya mfuko wa cement ilikuwa 11,000 hadi 12,000. Bei ya mafuta ya kula nayo ilikuwa chini sana lakini baada ya kuwekwa zuio la kutoingiza hizo bidhaa bei ilipanda kwa zaidi ya 60% na imekataa kushuka licha ya kutangaziwa kuwa...
  4. MURUSI

    Bidhaa za Tanzania huwa zinapigwa vita sana Kenya

    Industries goods za Tanzania huwa hazipati nafasi Kenya na huwa zinapigwa vita mbaya mno, tofauti na Tanzania ambako zimejaa bidhaa za Viwandani kutoka Kenya. Nakumbuka bia za TBL zilipigwa vita sana Kenya, ilihali huku Tuska na Prisner zinazwa na hakuna aye zipiga vita. Wakenya kutoka...
  5. kahata

    Bidhaa ipi ya mtumba ina soko sana?

    Naomba ushauri bidhaa ipi ya mtumba ni inatoka na ina faida zaidi. 1. Magauni 2.Nguo za watoto mix 3. Mashuka 4.Mashati 6.Sidiria Na vipi bei ya belo kwa bidhaa hapo juu?
  6. kimsboy

    Je, ni kweli ukinunua bidhaa kupitia Kikuu online unaletewa mzigo mpaka mahali ulipo?

    Habari wakuu, Kwa wanaonunua kikuu jee ni kweli wanadeliver hadi ulipo? Vipi shipping yao inachukua siku ngap? Jee wakideliver had ulipo wanakuchaji?
  7. Meneja Wa Makampuni

    Ili uchumi wetu upande tuwekeze kwenye bidhaa mpya

    Ili uchumi wetu upande tuwekeze kwenye bidhaa mpya. Gross Domestic Product (GDP) yetu per capital ni ndogo mnoo na hii ni kwasababu hatuzalishi bidhaa mpya bado tupo na bidhaa za zamani zilezile. Hebu Tujiongeze tuanze kuzalisha bidhaa mpya ambazo zinahitajika na mataifa mbalimbali. Tuzalishe...
  8. Alvin Slain

    Ni bidhaa gani unazoweza kuziuza ×1,000 kwa siku moja?

    Habari wanabodi. Ni bidhaa aina gani unazoweza kuziuza mara 1000 kwa siku? Gharama ya hizo bidhaa isizidi 2,000 kushuka chini. Karibuni kwa michango yenu.
  9. Abdistar

    Kampuni gani inasafirisha bidhaa kutoka China?

    Mambo vipi wadau, Jamani naomba msaada kujua kampuni inayofanya shipping kwa bei poa kutoka kwenye maduka ya CHINA kama vile ALIEXPRESS AU ALIBABA au Maduka ya US kama Amazon. Kwa mwenye kujua na utaratibu wake atakua amenisaidia sana. Nawatakia siku njema.
  10. Mkaruka

    MSAADA: Je, Wamiliki wa Maduka ya Jumla wananunua wapi bidhaa zao?

    Nahitaji kufungua duka la bidhaa na kuuza kwa bei ya jumla, Je, naweza kupata wapi wanakouza bidhaa wanakonunua wengine?
Back
Top Bottom