Huwa ninaamini kwamba Humu JF wamo Mabilione hata hivyo napenda zaidi kuzungumzia uhalisia;
Ukiwa katika Jiji la Dar es salaam ukabahatika kutembea katika maeneo ya watu matajiri kama Masaki,Mikocheni,Mbezi Beach na baadhi ya maeneo mengine ya watu wenye ukwasi unaweza kufikiri kwamba wewe...