Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.
Nilikuwa sehemu kwa mafundi umeme wa magari Kinondoni, nimesikitika kumsikia baba mmoja akimsimulia rafiki yake kuwa anatembea na mama mmoja wa binti waliyeshindana kimahusiano in other words amechanganya mama na mwana kimapenzi.
Kisa ni kwamba siku moja binti alimpigia simu mwanaume wake kwa...
Ni jambo jema tunapofanya kampeni ya kwamba watoto wetu waliopata mimba wakiwa mashuleni wakakatisha masomo warudi mashuleni kuendelea na masomo
Lakini ni muhimu zaidi kujiuliza vichanga vilivyozaliwa vitabaki wapi? Na nani atakua akiwalea?
Tukiachilia mbali zile familia chanche zenye uwezo wa...
Ni kweli kutiwa mimba kwa mwanafunzi au msichana chini ya miaka 18 inamnyima fursa huyo binti ya kusoma na kutengeneza maisha yake ya baadae!
Leo waziri wa Elimu Joyce Ndalichako anatarajiwa kutoa waraka wa kuwaruhusu mabinti waliotiwa mimba kuendèlea na masomo! Je nauliza maswali yafuatayo...
ninawazia sana wanangu wa kike.
Je niwalee kwa misingi ipi.
Niwaambie nini wapigane na tamaa za maisha?
Nitaweza? Nitawezaje?
Inamaana nikishindwa na wanangu wataomba pesa kwa wanaume kumi
Vipi hao kumi wote wakimwambia akafuate
Inamaana mwanangu ataliwa na wanaume kumi?
Nifanyaje?
Betty...
BINTI MFALME WA DOLA YA MONGOLIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA KHUTULUN.
Khutulun alikuwa binti wa pekee wa Kaidu Khan ambaye alikuwa ni kizazi cha mfalme wa dola ya mangolia Ganghis Khani shujaa aliyeogopwa kwa ukatili dunia nzima.
Dola hiyo ilipatikana Asia ya kati na ilikuwa ikijulikana kwa...
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma linawashikilia watu watatu akiwemo baba mzazi Kulwa Juakali (40) Mkazi wa kijijicha Lufubu wilayani Uvinza kwa tuhuma za kumpiga fimbo mtoto wake Mbaru Juakali (17) hadi kusababisha kifo huku chanzo cha tukio hilo kikidaiwa kuwa ni kumlazimisha mtoto huyo kuolewa...
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?
Anaandika Robert Heriel,
Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye...
Ilitokea huko Ufaransa, wakati wa utawala wa Louis XIV, huyu baba alihukumiwa kufia gerezani kwa njaa kosa lake aliiba mkate.
Mtoto wake akiyekua ananyonyesha alikwenda kumtembelea baba yake kila siku. Akifika anampa baba yake maziwa yake anyonye.
Baada ya miezi minne walishangaa kumuona mzee...
Habari wazalendo,
Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje kula pesa zangu.
Nikikutongoza siku tatu haueleweki nafuta na namba, dunia ituzungushe nawe...
Wakuu ngoja niende kwenye pointi.
Last week nilipata safari ya kikazi huko mkoani, nipo kwenye Ofisi mpya kidogo kwangu. Sasa kama kawaida nimefika up country siku mbili Tatu nikapata mwenyeji Binti, graduate wa chuo kikuu mwaka jana 2020.
Ni jioni moja tulivu napita sehemu namkuta binti na...
Habari zenu wanaJF,
Kama mjuavyo baadhi ya madhehebu hususani haya ya kipendekoste wana utaratibu wao wa kuchumbia ambao sharti uanze kwa mzee wa kanisani kumuelezea dhamira yako juu ya binti ambaye umempenda kabla hata hujaongea naye.
Sasa hapa kanisani kwetu kuna binti mmoja nimemchunguza...
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya...
Habari.
Natafuta binti wakusaidia kazi kidogo za ndani.
Awe na Umri at least kuanzia miaka 20 nakuendelea. Akiwa amefika Kidato cha Nne itapendeza sana.
Aweze kuishi kirafiki kabisa,
Nyumba ina Watu Wawili tu! Means yeye atakuwa watatu.
Atalipwa Tsh. 100,000/= kwa Mwezi. + Posho (kulingana na...
Habari zenu wakuu,
Nimekuwa na mahusiano na binti mmoja,Ambaye tulikutana akiwa na miaka 18 nikiwa nimemzidi miaka 12 tukaishi naye pamoja (pika pakua) mpaka alipotimiza miaka 19 mapema mwaka huu.Naweza kumsifia kuwa ni binti ambaye hakuwa na makuu wala tamaa maana alinikubali na maisha yangu...
Wakuu (viongozi) wawili katika Israeli ya Kale waliamua kumbambikia Kesi Susana Binti Hilkia kwa sababu aliwakatalia mambo yao. Waliamua kumburuza Mahakamani ambako walitoa ushahidi wa uongo na Susana akahukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Kiongozi wa Mawakili wa Upande wa Utetezi, Wakili Msomi...
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa
Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu...
Ndio Maana wamama wenye watoto wa kike binti akisha vunja ungo wanakuwa wakali Sana kuhakikisha hakuna mazoea yaliyo pitiliza kati ya binti na baba ake.
Na kama una binti halafu ukaoa mwanamke mwingine ambae si mama mzazi wa binti huyo basi automatically mkeo huyo atakuwa Ana mtreat binti yako...
Juzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap!
Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE shida itakuwa nini apo au anataka kubembelezwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.