bodaboda

Boda bodas are bicycle and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Umoja wa Bodaboda na Bajaji: Hatutashiriki Maandamano ya CHADEMA

    Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji Nchi Tanzania leo Septemba 22, 2024 wametoa msimamo wa kutokushiriki maandamano ambayo yamepangwa kufanyika siku ya Septemba 23, 2024 Mkoani Dar Es Salaam yaliyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA. Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti...
  2. nipo online

    Kununua bodaboda na kufungua salon

    Samahan wakuu hapo sasa kipi kitanipa pesa? Asanteni
  3. Replica

    Picha: Bodaboda huwa wanawahi wapi?

    Najua tu wanazingua lakini leo wamenishangaza, jamaa yuko spidi, yuko kushoto, anafika Mikocheni(kwa Mwinyi) barabara zimekutana na gari kwenye lane yake limeshasimama kumpisha mtu akunje. Yeye hajahangaika hata kupunguza spidi yake, matokeo yake kasababisha hasara ya mali, afya yake na haraka...
  4. Mjomba side

    Ewee mwenyezi mungu tusaidie sisi wapanda bodaboda

  5. Mshamba wa kusini

    Mwanaume unashindwa kumnunulia mkeo au mpenzi wako hata IST mpaka anabambiwa kwenye bodaboda?

    Habari Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
  6. M

    Bodaboda kahojiwa EAST radio kasema anaingiza laki 9 kwa mwezi

    Bodaboda kahojiwa East Africa Radio kasema anaingiza laki 9 kwa mwezi. Hivyo anashauri msichague kazi. Ahaaa haaaa
  7. G

    Kinyozi, mchomeleaji, bodaboda, mama ntilie,n.k. hulaza wastan elfu 10 kwa siku, mhitimu unaeogopa kuchekwa endelea kukaa nyumbani

    30 paaap !! "Nina vyeti nitapata ajira", "siwezi fanya kazi nje ya taaluma niliyosomea", n.k. ni jinamizi litalokulalia uchelewe kuanza life lako. Ajira hizo unazoziota zipo chache sana na connection zimerudi kwa kasi, awamu iliyopita ajira zilisimamiwa na idara ya utumishi angalau kulikuwa na...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Hakuna Watu wanapata shida kama bodaboda wa Mafinga nyakati za Usiku

    Kwema Wakuu! Nimeshawahi kuishi Mafinga mara kadhaa lakini sijawahi kuona baridi kama ya Juzi jumatatu tarehe 19. Dadeki baridi mpaka ukungu weñye barafu nyepesi ilikuwa inadondoka. Nimefika Saa nane Usiku nikitokea Dsm. Nilitamani nirudi kwèñye Basi, Aiseeh! Pale Stendi nikaona makundi mawili...
  9. Tabutupu

    Tetesi: Bajaji & bodaboda Authority inahitajika?

    Kwa kuwa latra wameshindwa kusimamia bajaji na bodaboda japo wanawapa leseni, kuna uhumuhimu wa kuwa na chombo cha kudimamia hawa vijana maana wasipo simamiwa na janga la taifa. Bajaji na bodaboda wanafanya kazi nzuri sana hasa maeneo ambayo mabasi na usafiri mwingine haufiki. Pia wanafanya...
  10. MSAGA SUMU

    Vijana kuweni makini na bodaboda

    Leo ukipelekwa Bugando umevunjika mfupa utapigwa ganzi na kufungwa mawe halafu unamsubiri daktari saa nyingine inazidi hata mwezi kumpata daktari kufanya operation. Japo ajali haina kinga lakini inauma sana kukaa wodini mwezi sababu ulikuwa na mbwembwe barabarani. Kama hauna milioni tatu...
  11. BUMIJA

    Bodaboda zinatumaliza, abiria na madereva tuwe makini

    Salamu, Nimepata taarifa mbaya hapo makondeko Moshi, mzee mmoja kafariki na dereva hoi. Pia soma: Tatizo kubwa la ajali za barabarani zinazohusisha pikipiki(boda) katika jiji la Dar es Salaam Mimi nawashauri hawa madereva wawe makini hasa kwenye highway. Nasikia ukienda hapo KCMC kuna word...
  12. G

    Vijana wa vyuoni, mjifunza na mjichanganye na bodaboda, mama ntilie, kinyozi, dalali, wafugaji, n.k. Just in case ! nanyi walezi na wazazi muwasihi.

    Maisha yamebadilika sio tena kama enzi zetu ukimaliza degree ajira unachagua. Kwa hapa tulipo nazidi kujionea vijana wengi sana wanamaliza vyuo wakiwa vijana wadogo wenye 23 hadi 25 lakini wanakuja kujipata wakiwa 30s, hapo kati stress zinawatafuna na kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya zile ndoto...
  13. G

    Vijana wa vyuoni, mjifunza na mjichanganye na bodaboda, mama ntilie, kinyozi, dalali, wafugaji, n.k. Just in case ! walezi na wazazi muwasihi.

    MOVED >>
  14. Full charge

    Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

    Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia. Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata...
  15. Kaka yake shetani

    Kwa jinsi pikipiki zinavozidi kupoteza wapendwa wetu sijui kwanini serikali iliona kama ni biashara

    Nimepoteza mtu naye mfahamu leo huko Mwanza na mtumishi ambaye bado tunamuhitaji. Yote haya kila siku tukizidi kupoteza ndugu zetu na wengine kuwa walemavu wa maisha sababu ya hizi pikipiki. Serikali hakuna mazingira mazuri ambayo yamempa mwendesha chombo cha pikipiki husasani hawa bodaboda...
  16. Natafuta Ajira

    Sex mpaka ndoa

    Kama tayari ameshampa hamis, sheby bodaboda, frank, Qboy, dj dully, pius, zero iq, devi, jembe, chid, rasta, baba kevi, george, cadabra n.k iweje akuambie wewe sex mpaka ndoa.! No room to that nonsense condition like SEX MPAKA NDOA, the moment she broke her virginity she has lost right to that...
  17. Replica

    Vijana 2 wachomwa moto kwa madai ya wizi wa simu Arusha

    Vijana wawili ambao majina yao hayajafahamika wamechomwa moto wao na pikipiki waliyokuwa wakiitumia katika eneo la Shivaz katika kata ya Kaloleni Mkoani Arusha wakidaiwa kuiba simu Lilia Shayo amesema vijana hao walikuwa wamemuibia mwananchi mmoja simu na wakati wanakimbia walizuiwa na wananchi...
  18. Brojust

    Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira

    Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe. Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu...
  19. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mchengerwa: Wakuu wa Mikoa wote simamieni mfumo wa Kidijitali wa kuwatambua Madereva Bodaboda na Bajaji

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuhakikisha wanajenga vituo vya bodaboda vya kupaki pikipiki vyenye uwezo wa kuzuia jua na kuwakinga na mvua wanaposubiri wateja. Mhe. Mchengerwa ametoa...
  20. Mr DIY

    Jambo gani la ajabu kushuhudiwa likifanywa na bodaboda?

    Mwaka mmoja nilifika eneo moja hapo Morogoro, njia ya Dodoma kabla hujafika mizani, sasa mwenyeji wangu alinambia nikishuka kwa bajaji nichukue boda mpaka kwake, sasa kama kawaida bajaji umesimama tu boda kibao hizi hapa nikadandia moja chap nikampa maelekezo akaanza yafuata, barabarani jamaa...
Back
Top Bottom