since nimesaini sony music sasa hivi mitaani nimekua ankwepekabo thing
driving big cars big nyashi big chains na ndoto zmekua ankwepokabo dreams
riski allhamdulilaih
kila chuma kikitoka ni chamoto nakua tingi tapo tingi (..oh My!!..)
ndo maana hizi nasty balls ziko nane ila ukisikia kwa...
Unakumbuka Ile ngoma Water? 🎶Baby Sweat, Baby Water🎶
Sasa msanii ambaye ameimba ngoma hiyo yaani Tayla ameshinda tuzo Ya Grammy usiku huku akiwabwaga wasanii Wakubwa ikiwemo Davido na Burna Boy.
Tayla ameshinda tuzo hiyo kubwa kupitia kipengele cha Best African Music Performance alichokuwa...
We always talk about a girl being tormented in the society, But what is like to have to take care of a boy in the current society?
Boys are often pressured to conform to traditional masculine norms, which can be restrictive and harmful. This pressure can manifest in various ways, such as...
USIMSIFIE MTOTO WAKO WAKIUME KUWA NI HANDSOME BOY AKASIKIA, UTAMHARIBU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Wazazi wengi hasa kina mama wameharibu watoto wao wa kiume kwa kuwasifia sifa hii kuwa vijana wao ni Handsome boys, Yaani wavulana wazuri wa maumbile na wenye mvuto wa kimapenzi. Huenda ni...
Hakuna mchezaji aliye na uwezo kama Sure Boy ambaye anaweza kuleta umoja kwa Timu ya Taifa ya Tanzania AFCON.
Tunaiomba TFF imwite Sure Boy na kumpa heshima anayostahili katika nchi hii. Watu wenye uwezo wa kushika dimba ni Sure Boy na Aucho tu. TFF, tafadhali mwalikeni Sure Boy, mwiteni Sure Boy.
Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023.
Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda...
Nominations za Grammy za mwaka 2024 zimetangazwa, na wasanii kama vile Drake, Ice Spice na SZA miongoni mwa wa wanaowania tuzo.
Waandaaji (Recording Academy) imetaja orodha kamili ya wateule Novemba 10 kabla ya Tuzo za 66 za Grammy, zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Crypto.com huko Los Angeles...
Katika hali iliyowaacha wengi mdomo wazi ni suala la African giant Burna boy kugoma kufanya show Dubai yenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 5 kisa tu kanyimwa kibali cha kuvuta bangi .
Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake...
Msikilize hapa akielezea kuhusu hilo akisema ni katika mambo ambayo hatokuja kusahau katika maisha yake yote.
Akiulizwa ni tukio gani hatalisahau kamwe kwenye maisha yake Joseph Benard AKA Pongo Mnyama - Beach boy amesema;
Kuna kipindi walikuwa wanaopoa maiti za watu kwenye viroba zilizokuwa...
Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu
Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo...
Watanzania tuna cha kujifunza, huwa tunasikia watu wanasema "Niko tayari kufa", "Niko tayari kufanya lolote".
Mabadiliko ni process ambayo hutakiwi kuibeba peke yako, ni zao la jamii kwa ujumla na kwa pamoja, usije ukaumiza familia yako na kazi zako ukiamini wewe pekee utaweza.
Kama jamii...
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote.
Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with...
Kwa wale tulio bahatika kutembea tembea duniani tunajua wanaija wapo wengi sana kila mahali..
Jijini New York, kitongozi cha "the bronx" ni kama Lagos ndogo, wanaija wamejaa kibao..
hata ukisikia sauti za back ground wanao sing along na Burna Boy kwenye hiyo show yake unasikia lafudhi za...
Mshindi huyo wa Tuzo ya Grammy amefanikiwa kuweka rekodi hiyo kwa kuuza Tiketi zote 41,000 za onesho lake katika Uwanja wa Citi Field ulioko jijini New York, Marekani .
Show hiyo ilihudhuriwa pia na Mastaa wakubwa kutoka Marekani wakiwemo Busta Rhymes, SZA, Jorja Smith na rapa Santan Dave...
ABUBAKAR Salum ‘Sure Boy’. Fundi mmoja wa mpira kuwahi kutokea nchini. Sio huyu wa sasa anayecheza pale Yanga, hapana, huyu ni baba yake mzazi. Ndiye mwenye jina halisi la Sure Boy.
Alipewa jina hilo kutokana na kazi yake njema uwanjani. Alikuwa na kasi kubwa uwanjani. Akipiga krosi na pasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.