Tarakimu hii "12",imenifanya niukumbuke mwezi wa kumi na mbili mwaka jana katika moja ya mtaa niliokuwa naishi nilikuwa na washkaji zangu kadhaa ambao tulipata kufahamiana katika jioni tulivu,wakati tunapiga stori simu yangu mfukoni ikavibrate kuashiria Kuna mtu ameni sms.
Sikuifungua haraka...
Huko tunakoelekea mtatusababisha akina GENTAMYCINE tusiovumilia Upumbavu na Unafiki wenu tuwe tunakuja Kuwazaba ( Kuwawamba ) Vibao huko Studioni mliko kwani tumeshawachoka sasa.
Eti Kiungo Aboubakary Salum 'Sure Boy' ndiyo Kiungo bora wa Uchezeshaji kuwahi kutokea Tanzania. Hivi nyie...
Boy introducing his 95th girlfriend to his boys
HIS BOYs: hatujui hata umempa nini broh wetu hatujawahi muona akiwa kwenye love like this
Alafu Girl nae Anajibu: ' ni mapenzi tu'
😅😅😅
BURNA BOY AKANUSHA NDOA:
SUPASTAA wa muziki barani Africa kutoka pande za Nigeria Damini, Ebunoluwa Ogulu maarufu kama Burna Boy amefunguka kuwa mama yake hukasirika sana pale ambapo anamwambia kuwa hatokuja kuoa.
Kupitia insta story yake Burna ameshare ujumbe unaosema; “Mama yangu anachukia...
Check Out Photos Of Bonetics, The Nigerian Boy Who Can Twist His Body Into Different Positions
Source; Check Out Photos Of Bonetics, The Nigerian Boy Who Can Twist His Body Into Different Positions - Mc Ebisco...
Ali Landi, an Iranian teenager who became a national hero after rescuing two women from fire, has passed away due to severe burns.
Earlier this month, Ali, a 15-year-old boy from Izeh city in Khuzestan Province, rushed to rescue two neighboring women trapped in a burning house.
After the...
A 12-year-old Primary Three pupil has fled their home in Miraa Village, Masafu Sub-county, Busia District, after allegedly beating his 19-year-old brother to death following a disagreement over a home-made ball.
The suspect, who is a juvenile, is said to have fatally punched Umar Nsubuga who...
#ETrending Achana na kuvunja rekodi zake mwenyewe kufuatia kuujaza Ukumbi wa 02 Arena kwa siku tatu mfululizo, staa wa muziki nchini Nigeria ambaye kwa sasa amekuwa midomoni mwa mastaa wakubwa ulimwenguni Wizkidayo ametangaza ujio wa Album yake mpya...
Mrembo wangu anataka nimtafutie course outlines za course zote za LLB undergraduate. Nimejaribu but in vain..
Jamani Kama kuna mwanafunzi wa llb hapa na una course outline ya course yoyote please kindly share it with me nimpe shemeji yenu..
N.b : She graduated at UDSM more than ten yrs ago na...
Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy @burnaboygram amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift. O2 inachukua watu 20,000. Kwenye IG yake Burna Boy ameandika, "Nimeujaza uwanja wa 02 Mwenyewe, kwa bei niliyotaka, kwa njia niliyotaka, sijaongea sana...
Kwa vyovyote vile kuondoka kwa Moquissone na Chama kumeiumiza Simba, no doubt.
Miquissone alikuwepo na Banda alikuwepo lakini mmoja kaenda Al-Ahly na mwingine kaja Simba. Tusidanganyane, Banda sio Miquissone hata kwa robo. Tukaze buti
Hizi Ndizo Albums Pamoja Na EP's Zilizo Sikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify
1. Diamond Platnumz – A Boy From Tandale (2018) 30M
2. Rayvanny – The Sound From Africa (2021) 24M
3. Navy Kenzo – Story Of The African Mob (2020) 3M
4. Mbosso – Definition Of Love (2021)...
Wakuu samahani sana kwema!
Wapi naweza pata zile boyfriend jeans za mtumba za kina dada.
Wandugu napata wapi kiwepesi ziwe za kupoint kwa wenye mabalo msaada wenu tafadhali nina uhitaji nazo.
Mwenye taarifa anijuze.
cc Tanayzer
Askofu Gwajima yupo CCM lakini bado anazitumia akili zake pongezi kwake.
Hivi ndivyo inavyotakiwa. Lakini ukikuta mtu anashindwa kutumia akili zake ipasavyo ni kwasababu ya njaa.
Maombi yanaendelea kanisani kesho.
Nampoteza fulani kwenye ulimwengu wa siasa katika jina la Yesu.😂😂😂😂😂😂😂
Mtu...
link hiyo hapo
https://twitter.com/CAFCLCC
===
Mpigie kura Luis Miquissone kupitia ukurasa wa @cafclcc wa Twitter ili goli alilofunga tulipocheza na Al Ahly liweze kuwa bora la Ligi ya Mabingwa Afrika 2020/21.
Huku kukiwa bado kuna fukuto kubwa la kuvunjika Kwa penzi lake na Kajala, Harmonize amejikuta kwenye vita nzito na mwanadada presenter Maimartha Jesse.
Eeh bhana eeeh mwanadada presenter Maimartha Jesse inasemekana ametishia mpaka kumpeleka mahakamani Konde boy , Kwa kile kinachodaiwa kumtishia...
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa
Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.