boy

A boy is a young male human. The term is usually used for a child or an adolescent. When a male human reaches adulthood, he is described as a man.

View More On Wikipedia.org
  1. Je, huyu house boy atakuwa anavuta bangi?

    Ninaishi nje kidogo ya mji ambako nimejenga kanyumba kadogo tu ka kunisitiri. Ninaishi na mvulana wa kazi ambaye huwa ananisaidia shughuli za nyumbani kama usafi, kuangalia mifugo, kuangalia nyumba nk Juzi asubuhi nilikuwa natoka, akanifungulia geti, wakati narudisha gari nyuma nikaona...
  2. Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

    Haya haya jamani mji umechafuka kwa mara nyingine tena... Wakati Kajala anaendelea kutrend kutokana na picha zake na Harmonize wakiwa Zanzibar ikidaiwa wawili hao ni wapenzi, leo hii yameibuka mapya baada ya Rayvanny kutoka WCB kupost video akiwa na Paula Mathysse ambaye ni mtoto wa Kajala na...
  3. Sound of Africa;Album ya Vanny Boy

    Nimeipitia hii albumb,binafsi nyimbo mbili au tatu tu ndo nimeziona kidogo ziko vizuri,Zamani, Mama na Lala ft Jux kiasi,..nyingine zote hazina maajabu,watoto wa mjini siku hizi wanaita "utopolo" Hitimisho:Binafsi EP ya Flowers was the best kuliko hii albumb ya hovyo kabisa tangu kuzaliwa...
  4. M

    Simba vs TP Mazembe, ila nna hofu Leo jamaa wanaondoka na Konde Boy!

    Mlio uwanjani ,mtuletee updates! Ila ninahofu Hawa jamaa leo wanaondoka na Konde Boy ...Kama walivofanya kwa Samata
  5. Natafuta shamba boy

    Jamani ni shamba langu liko Chanika, ndani yake kuna mazao kama migomba, mihogo na papai Sasa natafuta kijana ambae atakaa shamban na kuangalia mazao yangu na kumwagilia migomba Hapo shamban nimejenga chumba na sebule ambavyo anaweza kukaa Huduma za kijamii zipo za kutosha Kwa yoyote ambaye...
  6. H

    Nilikuwa namchulia poa Sana Burna boy

    Binafsi sikuwahi kusikiliza wimbo hata 1 ya Burna boy so baada yakuona jamaaa anazungumziwa Sana na Mafanikio anayopata kwenye mziki wake Ikabidi Jana nisikilize wimbo wake hata 1 ilinijidhihilishe jamaa kweli anajua? Nikaanza na wimbo " Way too big" bonge moja ya track na nyingine nyingi...
  7. House girl au house boy ni mtumwa mamboleo, ni ukatili kuwa na mtumwa ndani

    Waarabu waliwakusanya kwa kuwakamata waafrika na kuwauza Amerika na Ulaya., Biashara ile imeisha, tunaona sasa wamebadili mtindo wa utumwa, mnachukua watoto wa masikini vijijini na kuwafanyia kazi za ndani kwa ujira mdogo. Ni ukatili tu, wengi wa hao watumwa wenu ambao mnawaita wadada wa kazi...
  8. E

    Luis Miquissone, Konde boy

    Nyie Simba shukuruni mtacheza na Platinum ya Zimbabwe. Kuna Platinum ingine Africa ya Kusini kwa mzee Madiba mngepangiwa huko huyu dogo msingerudi nae, angebaki huko huko. Hela yangu ya kiingilio ni huyu dogo tu kaitendea haki vinginevyo nilikuwa nimeliwa. Simba wamecheza mpira mbovu hasa...
  9. Msemaji wa Simba SC Haji Manara Siku zingine uache Kiherehere cha Kumsifia Mchezaji Mnafiki wa Azam FC Aboubakary Salum 'Sure Boy' mwenye Uyanga mno!

    Nilikushangaa sana Wiki hii nzima nilipokuwa kila nikipitia Kurasa zako za Mitandaoni na ukawa unamsifia kwa Mikogo yote huku ukimpamba mno Mchezaji wa Kiungo wa Azam FC Aboubakary Salum 'Sure Boy' tena ukimtia Ndimu kabisa ( ukimchochea ) kuwa katika Mechi ya Leo dhidi ya Yanga SC apambane na...
  10. Ushamba: Kuna watu wamepewa makavu by Konde Boy

    Kondeboy Weeeeeeeee Chorus Huo ni ushambaa huo ni wee huo ni ushambaa huo ni wee Huo ni ushambaa huo ni eeeeh huo ni ushambaa Verse pesa ya kulipa gesti unayo eeeh nyumbani familia inapiga miyayo eeeh mmh yanafurahisha ufanyayo eeeh huo ni ushamba inaboa kudadadeki dereva wa uber hataki kuova...
  11. Kwa wapenzi wa Burna Boy na wimbo wa Jerusalema

    Angalia remix ya huu wimbo Jerusalema alioshirikishwa Burna Boy, naona kama ameupa huu wimbo ladha nyingine nzuri, enjoy!
  12. Hivi Gwaji boy anamchukuliaje Harmonize

    Amani iwe nanyi. Huwa najiuliza sana ivi Gwajima anamchukuliaje Harmonize .? Kuna ule mstari ktk nyimbo ya harmonize UNO kuna kipande kinasema "NDO LILE GWAJIMA ALILOMPATIA KONDOO" Unooo ooh Ukizingatia Gwaji mwenyewe kwasasa ni MGOMBEA UBUNGE sasa unakuta kwene majukwaa yachama Harmonize...
  13. T

    Walipeni wafanyakazi wenu wa ndani vizuri ona huyu alivyofanyiwa na house boy wake

    ZAMBIA- A Lusaka man has reportedly snatched his Chinese boss’ wife as payback for non-payment of salary in due time. The man who was angry over the delaying of his salary by the Chinese boss decided to pay his boss back by snatching his wife. The man shared a photo of himself and the wife of...
  14. Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

    Saa hizi niko mtandaoni nasikiliza Album ya Burna Boy ya "Twice As Tall" na nimefurahishwa nayo kupita kiasi.Niseme tu, nadhani huyu jamaa ana kipaji kikubwa na kila siku anazidi kukomaa tu. Humu ndani wametokea wasanii wakubwa duniani kama Youssou N'Dour, Christ Martin (Vocalist wa Cold-Play)...
  15. Azam FC haikuonyesha professionalism kwa Sure Boy

    Mpira wetu ni semi- professional, yaani bado ni vuluvulu. Kumzuia mchezaji anayetaka kuondoka hakuisaidii club wala mchezaji. Kama akicheza chini ya kiwango kwenye club yako majibu utakuwa nayo tayari hata kama sababu siyo hiyo.
  16. Kukunja kushoto kwenye Mataa

    Mfano mzuri ni kona ya Barabara ya Bibi Titi Mohamed na Mtaa wa Maktaba ukiwa unatokea Mwenge. Mfano mwingine ni TAZARA kama unatoka mjini kukata kona ya kushoto kuingia Barabara ya Mandela. Utakuta madereva wanaogopa kukata kushoto kwa vile watakamatwa. Pana sababu zipi wakamatwe?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…