brazil

  1. Nyendo

    Marekani yawawekea vikwazo wanaotoka Brazil

    Katika juhudi za kupamba na mripuko wa #CoronaVirus rais wa Marekani Donald Trump amepiga marufuku wasafiri kutoka Brazil Afisa habari wa Ikulu ya Kayleigh McEnany amesema kuanzia Mei 28, watu wote wasio raia wa Marekani ambao wamekuwa nchini Brazil katika muda wa siku 14 zilizopita...
  2. jogi

    Brazil hali si shwari.

    Kwa mujibu wa CNN hali ya maambukizi na vifo vinavyohusishwa na Corona inatisha. Ni ya pili baada ya marekani kwenye chati ya nchi zilizo na maambukizi mengi zaidi duniani. Hata hivyo Rais wao kama rais wa Tanzania ameyaita mafua yale kuwa ni vimafua tu! Bolsonaro calls coronavirus a 'little...
  3. Analogia Malenga

    Brazil: Vifo vya COVID19 vyafikia 15,663

    Brazili ni kati ya nchi zilizopuuza kuchukua hatua za kujikinga na #CoronaVirus. Rais wa nchi hiyo aliwaambia wananchi kuwa #COVID19 ni mafua tu Vifo 816 viliripotiwa Mei 16 na kufanya idadi ya vifo nchini humo kufikia 15,663. Pia ina jumla ya visa 233,142 Kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu...
  4. Analogia Malenga

    Rais wa Brazil asema kufunga mji 'lockdown' ni kuua uchumi

    Rais wa Brazil, Jair Bolsonar amesema kufunga mji ni kuufanya uchumi ufeli kwa kuwa hawatakuwa na hela za kuwalipa watumishi wa umma Kwa muda mrefu rais wa Brazil amelaumiwa kwa kutochukua hatua ya kudhibiti #CoronaVirus kwa madai aliyosema kuwa ni mafua ya kawaida tu, aidha aliwahi kusema kila...
  5. beth

    Brazil yarekodi vifo vipya 615 vya COVID-19, Msemaji wa Rais apata maambukizi

    Nchi hiyo imerekodi vifo vipya 615 na idado hiyo inakuwa kubwa zaidi kuripotiwa kwa siku moja. Waziri wa Afya, Nelso Teich amesema Serikali inaweza kuanza kuweka masharti ya kutotoka ndani katika maeneo yaliyoathirika zaidi Aidha, Msemaji wa Rais wa nchi hiyo, Jair Bolsonaro, Otavio Rego Barros...
  6. Mad Jaluo

    Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

    Wanajamvi naomba maelekezo kidogo. Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje? Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada. Kwa anaejua...
  7. G Sam

    Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia

    Brazil ndani ya siku tano tu imepata waathirika wa #COVID19 10,500 na vifo 430 na kuwa taifa linaloongoza kwa maafa ya Corona ndani ya Latin America. Tutakumbuka kuwa Rais wa Brazil siku chache zilizopita alisema hawezi kuzuia watu wasichangamane ndani ya nchi yake eti kwa sababu ya Corona huku...
  8. mitale na midimu

    Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day'

    Brazilian President Jair Bolsonaro has repeatedly dismissed the coronavirus as a "little cold" and urged residents to keep the country's economy going, even going so far as to tell his supporters why he's against lockdown: "We're all going to die one day." Bolsonaro, who is often compared to...
  9. Analogia Malenga

    Watu 46 wafariki kafuatia maporomoko ya ardhi yalaiosababishwa ba mvua kali Brazil

    Mvua kali zilizonyesha nchini Brazil zimepelekea maporomoko ya ardhi ambayo yamesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu. Watu 46 wafariki katika maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kali zilizonyesha nchini Brazil. Kiongozi wa kitengo kinachohusikana na usalama wa rais katika eneo la...
  10. B

    Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

    Ungana nasi kwa kutazama video hii kufuatilia mguu kwa mguu toka wakiwasili jijini Sao Paolo Brazil wakijifanya raia wa Angola ktk utalii Brazil kisha wanaanza safari kwenda Canada. Safari hii ya 'Wakongomani' toka Congo na nchi za Maziwa Makuu pia Afrika ya Mashariki wanaoingia Brazil bila...
  11. Lexus SUV

    Ama kweli mpira wa miguu (kandanda) upo Brazil

    Dah kwa mechi ile ya jana ya FIFA CLUB WORLD CUP 2019, imeonesha kuwa brazil (america ya kusini) ndiyo kitovu , cha mpira wa kandanda aseee , dah jana nilicheki mpaka mwisho nkajisemea , ULAYA MPIRA WAO NI WA PESA TU , KWENDA KUCHUMA HELA .
  12. Miss Zomboko

    Brazil hatarini kupoteza haki ya kura baraza la umoja wa mataifa kutokana na ada ya uanachama

    Huenda Brazil ikapoteza haki ya kura katika baraza kuu la Umoja wa Mataifa kama itashindwa kulipa mchango wa lazima wa uanachama inayodaiwa kufikia mwishoni mwa mwaka. Brazil ipo hatarini kupoteza haki ya kura katika baraza kuu la Umoja wa Mataifa kama kufikia mwishoni mwa mwaka huu itashindwa...
  13. Miss Zomboko

    Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

    Tatiana Pereira amehukumiwa jela miaka 25 na miezi nane kwa kumuua makusudi mwanae wa kiume aliyefahamika kwa jina la Lozano (17) kisa ni shoga ambapo hakupendezwa na sexuality ya mwanae huyo. Awali, mwanamke huyo aliwakodi jamaa wawili kwa majina ya Victor da Silva na Miller da Silva Barissa...
  14. Suley2019

    Brazil yanyakua kombe la dunia michuano ya wachezaji chini ya miaka 17

    Kikosi cha Brazil cha umri chini ya miaka 17 kimenyakuwa kombe la dunia baada ya kuinyuka Mexico kwa bao 2-1 katika mchezo wa fainali. Pamoja na kunyakuwa kombe hilo pia mchezaji wa Brazil Gabriel Veron amenyakua tuzo ya mchezaji bora wa michuano hiyo wakati mchezaji Matheus Donelli wa Brazil...
  15. britanicca

    Brazil washinda Kombe la Dunia U17

    Our team in the U17 World Cup: 7 matches 7 wins 19 goals scored 6 goals conceded Winners of the tournament and 100% in all competition. Great generation incoming🇧🇷 Reliquias Brasileiras🇧🇷 on Twitter
Back
Top Bottom