Bunju is an administrative ward in the Kinondoni district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 20,868. According to the 2012 census, the ward has a total population of 60,236 that include 29,157 males and 31,079 females.
Katibu wa itikadi na uenezi chama cha Mapinduzi CCM, Ndugu Paul Makonda akizunngumza na wananchi wa wilaya ya kinondoni kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho.
Makonda amemtaka waziri wa Ardhi kufika katika jimbo la kawe na kutatua migogoro ya ardhi iliyopo ndani ya jimbo hilo.
Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8.
Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki kipo umbali wa kilomita 2 kutoka barabara ya Bagamoyo Road.
Kiwanja hiki kina hati ya serikali ya...
Habari wana Jf,
Je kuna mtu anatoa huduma ya usafiri kutoka Bunju au Boko kila J3 mpaka Ijumaa kuelekea Posta au Upanga???
If yes then gharama ya usafiri ikoje?
Tusaidiane ili tuwahi makazini
KWENU WIZARA YA UJENZI, TANROAD NA TARURA pamoja na Mbunge wa Kibamba
Awali ya yote niwashukuru kwa siku za nyuma kwa namna mlikua mnaisimamia barabara hii kwa ukarabati wa mara kwa mara. Kwa sasa hali ya barabara hii ni mbaya sana kutoka Mpiji magohe CCM hadi mbezi ni 10KM tu lakini kwa gari...
Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo.
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP)...
Ukiwapigia TANESCO Call Center watakwambia ni "emergency" imetokea kwenye vituo vyao vya kusambaza umeme, na mafundi wao wabobezi wanalishuglikia tatizo. Wakimaliza marekebisho ya dharura umeme utarudi muda wowote.
Wadau walipa LUKU tujiandae kisaikolojia kwa "emergency" ya kesho ya umeme...
Habari zenu wana jamvi.
Naomba recomendation za shule nzuri za msingi- english medium ambayo mbali na kufundishwa vizuri, pia watoto wananolewa vizuri kuongea kingereza kizuri.
Itanipa unaafuu zaidi kama nitapata shule zilizo maeneo ya Tegeta-Boko-Bunju. Ada pia iwe stahimilivu🙏
Natanguliza...
kiwanja kiko Bunju A, Kinondo. Mpakani mwa Madale na Mbopo
ukubwa ni hatua 22 kwa 25
dakika 10 kwa Boda kutoka Bunju Shuleni
Kimehakikiwa na namba ya uhakiki ipo (hati bado)
Kinafikika kwa namna zote: miguu, pikipiki, baisikeli au Gari
eneo limejengeka sana
6,500,000Tsh tu za Kitanzania...
Habari zenu
Natafuta room ya kupanga maeneo ya bunju karibu na stendi au mapinga karibu na shule ya baobab
Mwenye kufahamu naomba anisaidie au aniunganishe na dalal wa maeneo hayo asanteni
Wanabodi
Nimepokea taarifa hii as breaking news: Ajali mbaya Bagamoyo Rd eneo la Bunju kati ya Fuso na lori la taka!. Kuna taarifa ya Maafa ambayo bado haijathibitishwa!.
Wana JF wa karibu mlio kwenye maeneo hayo ya tunaomba update.
Paskali
Update
Kwa mujibu wa hizo picha nilizo tumiwa kwa...
Mo Arena Bunju ni Uwanja wa Simba au wa Mo? Je, Mo akiuza hisa zake ataondoka na uwanja wake?
Maana sio Uwanja wa Simba ni Uwanja wa Mo!
Cc. Mbumbumbu fc😀
Waraghbishi ni wananchi wanaofanya kazi ya kuichokoza jamii iweze kujitambua na kuona wao ni watendaji wakuu katika maendeleo ya maisha yao.
Zaidi ya waraghibishi 170 kutoka Lindi, Mtwara, Dar es Salaam, Maswa, Mbogwe, Kigoma-Ujiji, Kishapu na Pangani wanakutana Dar es Salaam kufahamiana...
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya...
Haina haja ya salamu.
Hawa wavaa vibaya na wasema hovyo wanatabia nyingi mbovu. Hapa nielezee kidogo nauli. Wandugu kama hujui bei watakukanyaga watakutoza kiasi wanachotaka wao.
Kabla mafuta hayajapanda Kwa sababu za vita ya Ukraine vs Russia nauli ilikuwa 750 kutoka pande zote za mbali. Hapa...
Karibuni sana wachimba madini, team letu ni la kisasa na la kizungu halina mambo ya kizamani yale ya kiswahili eti kufanya mazoezi kwa kjifichaficha
Karibuni sana Mo arena kuanzia kesho jumatatu tunarudi pale baada ya jana kuendeleza uteja kwa utopolo fc
Hata mkirekodi kwenye simu au kuja na...
Sasa nimeamini kwanini Boss wangu wa zamani na Kiongozi ninayemkubali Simba SC Mzee Ismail Aden Rage alisema kuwa Sisi wana Simba SC ni Mambumbu sana na hakika alikuwa sahihi Kutudhihaki kiasi kile.
Mnaacha kutuambia Kocha Mkuu anakuja lini, Usajili utakuwaje na kwanini Msimu huu tumetoka...
Wadau salaama!
Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.
Karibu MUDU COMPANY LTD tunauza Nyumba na viwanja maeneo mabalimbali dar kwa mnada.#contact 07676055856.mfano tuna huu Uwanja upo BUNJU B BEI 30M 1529 Square meter
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.