bunju

Bunju is an administrative ward in the Kinondoni district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 20,868. According to the 2012 census, the ward has a total population of 60,236 that include 29,157 males and 31,079 females.

View More On Wikipedia.org
  1. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A Dar es salaam

    Habari za muda huu ladies and gentlemen? nauza kiwanja Bunju A Dar es salaam. size ya kiwanja ni 30*30 hatua za miguu. bei ni 7mil net. karibu Kwa mazungumzo 0713096076
  2. Y

    Natafuta kiwanja Bunju au Mbweni

    Salaam wadau. Ninatafuta kiwanja lililopimwa kwenye mradi wa viwanja 20,000 eneo la Bunju au Mbweni. Ukubwa wa kiwanja kiwe si chini ya sqm 1,500. Kama unacho tafadhali tuwasiliane hapa au PM. Tafadhali uje na bei kabisa.
  3. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Bunju A Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete document za serikali ya mtaa zipo Bado hakijapimwa Size 30*30 KUHUSU MIUNDOMBINU Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani. Maji yapo. Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa Bei...
  4. Mohamed Said

    Fahamu kuhusu Munanka Road iliyopo huko Bunju

    MUNANKA ROAD BUNJU Nimeuona mtaa huo hapo chini wa Munanka Bunju. Naingia Maktaba kumtafuta Bhoke Munanka. Bhoke Munanka nimekutananae wakati natafiti maisha ya Ali Migeyo. Katika kitabu cha Abdul Sykes kwa mara ya kwanza namtaja Bhoke Munanka kana hivyo hapo chini: Katika majimbo ya ziwa...
Back
Top Bottom