bure

Buré is a commune in the Orne department in northwestern France.

View More On Wikipedia.org
  1. Lager

    Chanjo ya Homa ya Ini ina gharama au ni bure?

    Nilikuwa napenda kujua kuhusu chanjo ya homa ya ini kama inatolewa bure ama inagharama. Msaada wenu tafadhari.
  2. B

    Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

    Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada. Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma. Je, hii si shule ya Serikali, au?
  3. Leak

    Rais Samia tunaomba uwambie kweli ZESCO na Wazanzibari hakuna Umeme wa bure wagharamikie kama TANESCO na wabara.

    Baada ya Mh Rais kusema wazi kuwa wananchi waambiwe kuwa gharama za umeme sio 27,000 tena kama alivyotangaza Rais mwaka jana. Hivi gaharama za kuunganishiwa Umeme zanzibar zikoje? ZESCO imekuwa ikidaiwa madeni mengi sana ya Umeme na Tanesco na wamekuwa wakitegemea kusamehewa na wakisha...
  4. Ferruccio Lamborghini

    Zoa zoa ya bure mwaka mpya

    BAADHI ya majina ya mastaa wakubwa kabisa kwenye soka yatakubali kujiunga na klabu yoyote wanayotaka kuanzia keshokutwa Jumamosi na hakuna kitu kitafanywa na klabu zao za sasa kuzuia jambo hilo. Kylian Mbappe, Paul Pogba na Gareth Bale ni baadhi ya masupastaa wa soka la dunia kwenye orodha hii...
  5. Eric Cartman

    Ushauri wa bure; ukitaka kuwajua wanadamu fanikiwa

    Mipango yako unaipanga wewe, elewa changamoto za wivu zipo kwenye maisha. Good morning JF. Mod I expect you to delete this nonsense if not I can live with the message. Happy new year JF
  6. Kijakazi

    Kelele za Bandari ya Bagamoyo zimeishia wapi? Haitojengwa, hakuna wa kukujengea bure!

    Ni lini Watanzania tutakuja kuelewa kwamba hakuna kitu cha bure? Yaani Mchina atoke kwao aje kukujengea wewe Bandari kwa lipi hasa? Inanikimbusha Mji wa Kigamboni kwamba USA wanakuja kujenga Mji wa kisasa Kigamboni, USA wachukue fedha za walipa kodi wao wakujengee wewe Mji, kwa lipi haswa? Ni...
  7. K

    UDSM hakuna vya bure

    Watu wanasotea promotions kwa kuandika kwenye majarida mbali mbali.
  8. ommytk

    Kweli mjini hakuna cha bure kujisaidia 500

    Hii kauli nilikuwa naisikia tu mjini hakuna cha bure leo ndio nimeona.kujisaidia 500 kweli kweli.mavyoo yenyewe machafu hii hela inapelekwa wapi
  9. D

    Mnaoshangilia kesi ya Makonda mnapoteza muda wenu bure, hakuna kesi pale

    Niaminini ninachowaambia! Misingi ya kesi ya makonda ni tofauti kabisa na ilivyokuwa kesi ya Sabaya!! Ikumbukwe kwamba Punde tu sabaya baada ya kutenguliwa u DC, aliwekwa kitimoto/mahabusu chini ya Takukuru kabla ya kushitakiwa! Sasa ishu ya makonda ukiitazama unaona kabisa waziwazi hakuna...
  10. GENTAMYCINE

    Ushauri wangu kwa Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi

    Kwa mambo mazuri na makubwa uliyoyafanya huko 'Isles' uliko kama Rais wao na 'Mikakati' kabambe ya Maendeleo kuelekea kuifanya Zanzibar kuwa Dubai ya Afrika Mashariki kama GENTAMYCINE nakushauri acha kuwa na nia ya kuja kuwa Rais wa 'Mainland' kwa ama 2025 au 2030 tafadhali. Rais Dk. Hussein...
  11. Ramon Abbas

    Dalali napangisha vyumba, Tsh. elfu 15 mwezi maji bure kabisa

    Karibuni sana
  12. Baraka sheni

    INAUZWA Jipatie pasi used kwa bei sawa na bure

    PASI HIYO INAUZWA KWA 20000 UNAJIPATIA PASI HAINA TATIZO LOLOTE KAMA UNAVYO IONA. IPO TEMEKE KIJICHI. 20000 TU MAONGEZI YAP contact 0694185384 O
  13. Baraka sheni

    Kiti cha saluni kinauzwa

    Wapendwa kama kichwa cha habari kinavyo sema kiti hicho kina panda na kushuka vizuri kabisa kina uzwa. BEI 80000 MAONGEZI YAPO. KITI KIPO DAR KIJICHI 0694185384
  14. Pascal Mayalla

    Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

    Wanabodi, Nimekutana na bandiko hili lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu.. Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho. Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko- Tuhuma zenyewe ni hizi Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu...
  15. B

    Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi

    Awali ya yote pokeeni pongezi za dhati kwa kazi takatifu mnayoifanya ya kuisaka haki katika mazingira magumu. Kazi yenu ni ngumu zaidi hasa ikizingatiwa kuwa mafanikio yoyote yanayopatikana yanahatarisha matumbo ya watu yenye uchu uliopitiliza. Jambo moja la hakika lenye kutia moyo ni kuwa...
  16. B

    CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

    Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania. Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. Tumefikaje huku kwenye kuuwana, kutekana, kutesana, kupotezana, kubambikiziana kesi na yote yenye ukakasi huu? Ilikuwaje kina Sabaya wakatambulika kama vijana wazalendo...
  17. C

    Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

    mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa...
  18. sky soldier

    Fibre internet ina kasi, haina kikomo, bei chee, unawekewa bure. Wateja tupo, tunawaomba mpanue huduma zenu

    Kwa hii kasi ya mabadiliko ya vifurushi, tujipange isaikolojia, huenda tukaingia 2022 GB1 ikiwa inauzwa elf 2,500 sawa na petrol. Fibre internet ni internet inayoletwa kwako kwa njia ya waya na uutapewa bure vifaa vya kusambaza internet kwa njia ya wifi. Gharama zao zinaendana kwa speed na sio...
  19. Gabb_y

    App ya kudownload movie zilizotafsiri na sizoni bure

    *****†********
  20. KingOligarchy

    Jinsi ya kupata chakula bure zaidi ya Mara 10 kila mwaka

    :):):):):):):) Funny Facts! Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10, thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila...
Back
Top Bottom