burundi

Burundi ( (listen), ), officially the Republic of Burundi (Kirundi: Republika y'Uburundi, [u.βu.ɾǔː.ndi]; French: République du Burundi, [buʁundi] or [byʁyndi]), is a landlocked country in the Great Rift Valley where the African Great Lakes region and East Africa converge. It is bordered by Rwanda to the north, Tanzania to the east and southeast, and the Democratic Republic of the Congo to the west; Lake Tanganyika lies along its southwestern border. The capital is Bujumbura.The Twa, Hutu and Tutsi peoples have lived in Burundi for at least 500 years. For more than 200 of those years, Burundi was an independent kingdom, until the beginning of the 20th century, when Germany colonised the region. After the First World War and Germany's defeat, it ceded the territory to Belgium. Both Germans and Belgians ruled Burundi and Rwanda as a European colony known as Ruanda-Urundi. Despite common misconceptions, Burundi and Rwanda had never been under common rule until the time of European colonisation.
Burundi gained independence in 1962 and initially had a monarchy, but a series of assassinations, coups and a general climate of regional instability culminated in the establishment of a republic and one-party state in 1966. Bouts of ethnic cleansing and ultimately two civil wars and genocides during the 1970s and again in the 1990s left the economy undeveloped and the population as one of the world's poorest.
The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, died together when their aeroplane was shot down in April 1994. 2015 witnessed large-scale political strife as President Pierre Nkurunziza opted to run for a third term in office, a coup attempt failed and the country's parliamentary and presidential elections were broadly criticised by members of the international community.
The sovereign state of Burundi's political system is that of a presidential representative democratic republic based upon a multi-party state. The President of Burundi is the head of state and head of government. There are currently 21 registered parties in Burundi. On 13 March 1992, Tutsi coup leader Pierre Buyoya established a constitution, which provided for a multi-party political process and reflected multi-party competition. Six years later, on 6 June 1998, the constitution was changed, broadening National Assembly's seats and making provisions for two vice-presidents. Because of the Arusha Accord, Burundi enacted a transitional government in 2000. In October 2016, Burundi informed the UN of its intention to withdraw from the International Criminal Court.Burundi remains primarily a rural society, with just 13.4% of the population living in urban areas in 2019. The population density of around 315 people per square kilometre (753 per sq mi) is the second highest in Sub-Saharan Africa. Roughly 85% of the population are of Hutu ethnic origin, 15% are Tutsi, and fewer than 1% are indigenous Twa. The official languages of Burundi are Kirundi, French and English, Kirundi being recognised officially as the sole national language.One of the smallest countries in Africa, Burundi has an equatorial climate. Burundi is a part of the Albertine Rift, the western extension of the East African Rift. The country lies on a rolling plateau in the centre of Africa. The highest peak, Mount Heha at 2,685 m (8,810 ft), lies to the southeast of the largest city, Bujumbura. The most distant source of the River Nile is the Ruvyironza River in the Bururi Province of Burundi, the Nile is linked from Lake Victoria to its headwaters via the Kagera River to the Ruvyironza River. Another major lake is Lake Tanganyika, located in much of Burundi's southwestern corner. There are two national parks, Kibira National Park to the northwest (a small region of rain forest, adjacent to Nyungwe Forest National Park in Rwanda), and Ruvubu National Park to the northeast (along the Rurubu River, also known as Ruvubu or Ruvuvu). Both were established in 1982 to conserve wildlife populations. Burundi's lands are mostly agricultural or pasture.
Settlement by rural populations has led to deforestation, soil erosion and habitat loss. Deforestation of the entire country is almost completely due to overpopulation, with a mere 600 km2 (230 sq mi) remaining and an ongoing loss of about 9% per annum. In addition to poverty, Burundians often have to deal with corruption, weak infrastructure, poor access to health and education services, and hunger. Burundi is densely populated and has had substantial emigration as young people seek opportunities elsewhere. The World Happiness Report 2018 ranked Burundi as the world's least happy nation with a rank of 156.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Machi hadi juni 1973 kwa nyakati tofauti Burundi ilituma ndege za kijeshi kuivamia Kigoma. Nyerere atumia busara kubwa

    Ndege za Burundi zinazosadikiwa kuendeshwa na wafaransa zavamia vijiji vya Mkoa wa Kigoma. Ilibainika baadae South Africa, Msumbiji, Ufaransa na Marekani walikuwa nyuma ya Burundi. South Africa na Msumbiji zilikuwa bado chini ya serikali za kikoloni huku Rais wa Kenya Jomo Kenyatta akimuonya...
  2. T

    Mtandao wa Starlink sasa unapatikana Burundi.

    Mtandao wa Bwana Elon Musk wa Starlink sasa unapatikana Burundi. Juzi rais wa Afrika Kusini alisema anamkaribisha na ameongea na Elon kutoa huduma ya Starlink hata kwa kuondoa vikwazo vya umiliki wa wazawa wa ndani. Starlink inapatikana Afrika kusini ila kwa huduma ya Roaming kama ilivyo...
  3. Herbalist Mtaturu

    Naomba kujua 100,000/- ya Burundi sawa na Shilingi ngapi za Tanzania?

    Kwema wakuu? Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania?
  4. Roving Journalist

    Serikali ya Tanzania kufanya tathimini ya urejeaji wa hiari wa Wakimbizi ifikpo Januari 2025

    Serikali imesema katika kuhakikisha kuwa Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa hapa nchini wanapata suluhisho la kudumu ifikapo Januari 2025 itafanya zoezi la mahojiano ili kutoa fursa ya kuwasikiliza Wakimbizi hao na kufanya maamuzi sahihi kuhusu hadhi zao kwa kuzingatia sheria za ndani, kikanda...
  5. GoldDhahabu

    Mpaka upi utakaoniwezesha kufika Nairobi kwa kupitia Bunjumbura, Kigali na Kampala?

    Mwezi ujao ninatarajia kwenda Nairobi nchini Kenya. Kwa kuwa sijawahi fika Kigali, ninataka nitumie fursa hiyo kwa kupita kama njia. Matamanio yangu ni kupitia Bunjumbura na Kigali ambako kwa kila jiji nitalala siku moja. Baada ya hapo, nitaendelea na safari hadi Nairobi kwa kupitia Kampala...
  6. GENTAMYCINE

    Acha Unafiki ni Nguvu Kazi ipi unayoitetea hapa wakati walipokulilia na Kodi Kero na Kodi Komoa zako uliwajibu Kidharau wahame wakaishi Burundi?

    Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema jinamizi la ajali nchini limezidi kuwa kero huku kutofuata sheria akitaja mojawapo wa chanzo kikuu, huku akiwataka maofisa usalama barabarani kutoangalia namba za gari ni la Serikali au binafsi sheria itumike sawa kwa wote. “Madhara yake tunapoteza...
  7. dr namugari

    Kwanini Baba Nyerere hakutunganisha na Rwanda na Burundi badal yake akatuunganisha na Zanzibar

    Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
  8. Technophilic Pool

    Wakimbizi wa Burundi na Rwanda wanawekwa kwene makambi. Waarabu wa Sudani wanazurula nchi nzima

    Kuna idadi kubwa sana ya wakimbizi waliokimbia wakiarabu kutoka Sudan wakiwa mitaani wengine wamepanga.Lakini upande wa pili kuna wakimbizi majirani wamejazwa kwene makambi kigoma huko ka kagera. Je, hii ni kudhibitisha kua waafrica tunajichukia na tunawapenda maadui zetu!! Nawasilisha...
  9. Tajiri wa kusini

    Serikali ya Tanzania inapaswa kuilinda sana nch ya Burundi

    MPANGO WA RWANDA KUITAWALA BURUNDI ILI KUINGIA KONGO KUPITIA ZIWA TANGANYIKA NA NAFASI YA SERIKALI YA TANZANIA KATIKA MEDALI ZA UJASUSI NA INTELIJENSIA UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA BY LUGETE MUSSA LUGETE. "Ndugu Mheshimiwa Rais tunapaswa kuilinda Burundi kwa hali na mali ili isiangukie mikononi...
  10. Pang Fung Mi

    Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi

    Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level. Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko. Endeleeni na vilaza...
  11. dubu

    Paul Makonda apewe Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati au Burundi?

    Salaam Wakuu, Kwa kuwa ameonekana kutokukubaliana na Sera za Rais Samia, alitakiwa ajiuzulu bila Shuruti. Paul Makonda ni Mwenezi wa CCM na Samia Suluhu ni Mwenyekiti. Mwenezi hakubaliani na Mwenyekiti, anatakiwa aachie ngazi kuliko kutengeneza mtatandao wa matajiri kwa nia Ovu. Siku zote...
  12. K

    Wapeni Uraia wakimbizi wa Burundi na Congo

    Ushauri kwa serikali kama kuna wakimbizi wamekaa zaidi ya miaka 5 wapewe Uraia tena bila masharti ili waanze kuchangia kwenye maendeleo badala ya kuwekwa kwenye makambi. Ni kitu cha kawaida kuwa na Watanzania waliozaliwa nchi nyingine na tayari kuna watoto wamezaliwa Tanzania na wamekuwa...
  13. Nyendo

    Burundi yafunga mpaka wake na Rwanda

    Burundi imetangaza kuufunga mpaka wake na Rwanda ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kuituhumu Nchi hiyo jirani yake kuunga mkono Waasi waliofanya mashambulizi kwenye ardhi yake.Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi Matin Nitereste, ametangaza jana jioni...
  14. Akilihuru

    Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

    Vipi wakuu. Ki ukweli inashangaza sana raisi wa nchi ambayo ina jeshi, polisi na serikali, lakini anakosa kupata habari za kiintelejensia kuhusu kile kinachoweza kumtokea mbeleni endapo atataka kutumia mamlaka yake kama raisi kupambana na mtu au nchi inayomshinda kila kitu. Najua fika kuwa...
  15. F

    Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

    Kumekucha. Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024. Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi...
  16. K

    Rais wa Burundi asema wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kupigwa mawe na hilo halitakuwa uhalifu

    Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsi moja nchini Burundi "wanapaswa kupigwa mawe" na kwamba hiyo haitakuwa uhalifu. Rais alisema hayo katika mkutano wa moja kwa moja na waandishi wa habari siku ya Ijumaa, akijibu swali la mwandishi wa habari. Alisema kuwa nchi zenye...
  17. ChoiceVariable

    Burundi: Rais Evariste Ndamishiye asema mashoga wapigwe mawe hadharani

    Rais wa Burundi Jenerali Evariste Ndamishiye amesema anadhani inafaa mashoga wakusanywe kwenye viwanja harafu wapigwe Mawe Hadi Kufa hadharani. -- Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsia moja nchini Burundi wanapaswa kupelekwa kwenye viwanja vya michezo na kupigwa mawe...
  18. tpaul

    Rais Samia amerejea kuomboleza msiba wa Hanang au amekuja kutuhamishia Burundi?

    Naingia kwenye mada moja kwa moja sitaki kuwachosha. Mnakumbuka vizuri madhila yaliyotupata watanzania mwaka jana wakati serikali ilipoongezeka tozo za miamala maradufu hivyo kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu maradufu. Kana kwamba hiyo haitoshi waziri wa fedha msomi, Mwigulu Nchemba...
  19. figganigga

    Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani?

    Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani? Nimeshuhudia Mwenge wa Burundi ukikagua shule ya Buraza Gitega ilojengwa 1974 hadi leo bati hazijabadilishwa. Mwenge wa Burundi 🇧🇮 unamulika wazembe, wala rushwa na wanaotaka kupindua nchi🤣 Je, Tanzania...
  20. JanguKamaJangu

    Burundi: Mvua kubwa yaporomosha kanisa na kuua watoto 4

    Mvua kubwa iliyonyesha kusini mwa Burundi imesababisha vifo vya watoto wanne baada ya kanisa walimokuwa kuporomoka huku watu wengine 15 wakijeruhiwa siku ya Jumapili, kulingana na afisa wa eneo hilo na vyombo vya habari vya serikali. Mvua kubwa ikiandamana na upepo mkali ilianza kunyesha...
Back
Top Bottom