burundi

Burundi ( (listen), ), officially the Republic of Burundi (Kirundi: Republika y'Uburundi, [u.βu.ɾǔː.ndi]; French: République du Burundi, [buʁundi] or [byʁyndi]), is a landlocked country in the Great Rift Valley where the African Great Lakes region and East Africa converge. It is bordered by Rwanda to the north, Tanzania to the east and southeast, and the Democratic Republic of the Congo to the west; Lake Tanganyika lies along its southwestern border. The capital is Bujumbura.The Twa, Hutu and Tutsi peoples have lived in Burundi for at least 500 years. For more than 200 of those years, Burundi was an independent kingdom, until the beginning of the 20th century, when Germany colonised the region. After the First World War and Germany's defeat, it ceded the territory to Belgium. Both Germans and Belgians ruled Burundi and Rwanda as a European colony known as Ruanda-Urundi. Despite common misconceptions, Burundi and Rwanda had never been under common rule until the time of European colonisation.
Burundi gained independence in 1962 and initially had a monarchy, but a series of assassinations, coups and a general climate of regional instability culminated in the establishment of a republic and one-party state in 1966. Bouts of ethnic cleansing and ultimately two civil wars and genocides during the 1970s and again in the 1990s left the economy undeveloped and the population as one of the world's poorest.
The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, died together when their aeroplane was shot down in April 1994. 2015 witnessed large-scale political strife as President Pierre Nkurunziza opted to run for a third term in office, a coup attempt failed and the country's parliamentary and presidential elections were broadly criticised by members of the international community.
The sovereign state of Burundi's political system is that of a presidential representative democratic republic based upon a multi-party state. The President of Burundi is the head of state and head of government. There are currently 21 registered parties in Burundi. On 13 March 1992, Tutsi coup leader Pierre Buyoya established a constitution, which provided for a multi-party political process and reflected multi-party competition. Six years later, on 6 June 1998, the constitution was changed, broadening National Assembly's seats and making provisions for two vice-presidents. Because of the Arusha Accord, Burundi enacted a transitional government in 2000. In October 2016, Burundi informed the UN of its intention to withdraw from the International Criminal Court.Burundi remains primarily a rural society, with just 13.4% of the population living in urban areas in 2019. The population density of around 315 people per square kilometre (753 per sq mi) is the second highest in Sub-Saharan Africa. Roughly 85% of the population are of Hutu ethnic origin, 15% are Tutsi, and fewer than 1% are indigenous Twa. The official languages of Burundi are Kirundi, French and English, Kirundi being recognised officially as the sole national language.One of the smallest countries in Africa, Burundi has an equatorial climate. Burundi is a part of the Albertine Rift, the western extension of the East African Rift. The country lies on a rolling plateau in the centre of Africa. The highest peak, Mount Heha at 2,685 m (8,810 ft), lies to the southeast of the largest city, Bujumbura. The most distant source of the River Nile is the Ruvyironza River in the Bururi Province of Burundi, the Nile is linked from Lake Victoria to its headwaters via the Kagera River to the Ruvyironza River. Another major lake is Lake Tanganyika, located in much of Burundi's southwestern corner. There are two national parks, Kibira National Park to the northwest (a small region of rain forest, adjacent to Nyungwe Forest National Park in Rwanda), and Ruvubu National Park to the northeast (along the Rurubu River, also known as Ruvubu or Ruvuvu). Both were established in 1982 to conserve wildlife populations. Burundi's lands are mostly agricultural or pasture.
Settlement by rural populations has led to deforestation, soil erosion and habitat loss. Deforestation of the entire country is almost completely due to overpopulation, with a mere 600 km2 (230 sq mi) remaining and an ongoing loss of about 9% per annum. In addition to poverty, Burundians often have to deal with corruption, weak infrastructure, poor access to health and education services, and hunger. Burundi is densely populated and has had substantial emigration as young people seek opportunities elsewhere. The World Happiness Report 2018 ranked Burundi as the world's least happy nation with a rank of 156.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Burundi yatangaza kuwepo mlipuko wa Kipindupindu jijini Bujumbura

    Waziri wa Afya ya Umma na Kudhibiti UKIMWI, Sylvie Nzeyimana ametangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu katika mji mkuu wa Bujumbura. "Washukiwa tisa wa ugonjwa wa Kipindupindu walitambuliwa Desemba 30, 2022 wakiwa na dalili za kuhara na kutapika, hasa katika kitongoji cha...
  2. jMali

    Banyamulenge ni wahanga wa Kagame

    Kwa wasiojua, Banyamulenge ni watu wenye asili ya kitutsi wanaopatikana DRC kabla hata ya mipaka ya wazungu, kama ambavyo Wamasai wako Kenya na Tanzania. Tunaongelea zaidi ya miaka 200. Kagame anavyofanya fujo Africa Mashariki watu wote wenye asili ya Rwanda/Burundi wanajikuta wahanga. Hata hapa...
  3. BARD AI

    Burundi yashinda kiti cha Spika wa EALA baada ya Sudan Kusini kujiondoa

    Joseph Ntakirutimana, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Tawala nchini Burundi, amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Ameshinda baada ya wanachama 54 kati ya 63 kumpigia kura, huku mmoja akimkataa na Kura nane ziliharibika. Ili mtu ashinde nafasi ya Spika wa EALA, lazima apate...
  4. B

    Rais wa Burundi aipongeza benki ya CRDB

    Rais wa Jamhuri ya Burundi, Evariste Ndayishimiye akiwa kwenye mazungumzo na ujumbe wa Benki ya CRDB, ulioongozwa na Mwenyekiti wake, Dkt. Ally Laay na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati walipomtembelea kwenye makazi rasmi yaliyopo eneo la Kiriri, Bujumbura, Novemba...
  5. P

    Ikiwa wenye PhD feki wana manufaa na uchungu kwa nchi yetu, basi tunawataka waongoze nchi yetu

    Wahasimu wa Hayati JPM wanaendelea kutuaminisha kuwa, JPM hakuwa Mtanzania pia PhD yake ilikuwa feki. Licha ya hayo yote, wanaungana na wengi kuduwaa jinsi PhD feki ilivyo tofauti na PhD original. PhD original tulizonazo hapa Tanzania, hazitusaidii na hazijawahi kutatua matatizo yetu kama...
  6. BARD AI

    Chato: Raia wa Burundi akamatwa na AK47 iliyotumika kwenye mauji ya mchimbaji madini

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema wanamshikilia raia huyo kwa tuhuma za kuingia Nchini kinyume cha Sheria na kumiliki silaha ambayo imekuwa ikitumika katika matukio ya uhalifu Kamanda amesema silaha hiyo ilitumika kwenye mauaji ya mchimbaji mdogo Tegemeo Rashid aliyeuwawa...
  7. AKILI TATU

    Wabunge wa Tanzania wafanya kweli Burundi

    Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao pia ni Wajumbe wa Jukwaa la Maziwa Makuu washiriki Mkutano wa tano wa Uendelezaji Uchumi, Maliasili na Utengamano wa Kikanda, Bujumbura, nchini Burundi leo tarehe 26 Oktoba, 2022.
  8. Pascal Mayalla

    Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!

    Wanabodi, Baada ya kiongozi fulani kututaka tusioridhika na hali ya nyumbani, tuhamie Burundi, mimi ni mmoja wa walioitika wito huo tumehamia Burundi sasa naishi Bujumbura! Tangu tumehamia hapa, tumefarijika sana kwa kiongozi wa kitaifa kutoka Tanzania kutembelea Burundi. Huyu ni Mheshimiwa...
  9. Erythrocyte

    Raia Mwema: Tozo kufutwa, Mwigulu kuwasilisha Mapendekezo mapya Bungeni

    Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu, kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi. Chanzo: Raia Mwema Swali: Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje?
  10. S

    Mwigulu Nchemba sahau ile ndoto yako ya kutaka kuwa Rais Tanzania

    Mungu mkubwa na ni fundi sana,umepewa cheo kikubwa cha uwaziri wa fedha,ambao ki ukweli imetusaidia kukuelewa, wewe ni kiongozi wa aina gani. Ni Kiongozi wa hovyo na mwiba kwetu sisi Watanzania. Toka Umepata Uwaziri, Watanzania ni maumivu, kwa kila kitu kupandishwa kodi na vitu kupanda bei...
  11. The unpaid Seller

    Kweli mdomo uliponza kichwa, "Anaepinga ahamie Burundi" hii kauli najua anaijutia sana sana kuiropoka

    Jamaa atatumbuliwa hilo liko wazi kama uchi wa mbuzi lakini atakua katolewa kafara ili wakubwa wake wapate sifa. Siasa achana nayo yote yaliyotokea walishauriana na kuafikiana ila mzigo wa lawama anatupiwa yeye alafu wakubwa wanashangiliwa. Tengeneza tatizo kisha tatua tatizo. Walimuweka...
  12. The Supreme Conqueror

    Burundi hali si shwari tuwaombee hao ndugu zetu wa Magharibi

    Wakuu habari za muda huu nimeona nifungue uzi huu kwa lengo la kujadili kwa mapana haya yanayoendelea nchi ni Burundi baada ya Ijumaa ya wiki jana Rais wa nchi hiyo kutamka hadharani kuwa kuna baadhi wa viongozi wa juu wa serikali yake kutamani kiti chake cha urais na jana Rais Everiste...
  13. Lady Whistledown

    Burundi: Rais amfuta kazi Waziri Mkuu, Waziri wa Usalama kuchukua nafasi yake

    Rais Evariste Ndayishimiye amewafuta kazi Waziri Mkuu Alain Bunyoni na Msaidizi wake Mkuu bila ya kutoa sababu za hatua hiyo baada ya hotuba ya kuonya kuhusu njama ya "mapinduzi" dhidi ya Serikali yake hivi karibuni Katika kikao cha dharura, Wabunge waliidhinisha Uteuzi wa Waziri wa Usalama...
  14. Lady Whistledown

    Tetesi za Mapinduzi zaikumba tena Burundi

    Wakati hali ikionekana kuwa shwari, mvutano wa kisiasa umeongezeka tena, kufuatia tuhuma za baadhi ya Viongozi Wakuu kupanga njama ya kumng'oa madarakani Rais Evariste Ndayishimiye Mnamo Agosti 2 Rais Ndayishimiye, alipokuwa akiwahutubia maafisa wa Serikali alionya kuwa “baadhi ya watu” ambao...
  15. Sultani Makenga

    Chagua moja kulipa tozo au kuhamia Burundi. Nchi haijengwi kwa maneno maneno tu.

  16. 4

    Waziri wa afya Ummy Mwalimu jibu swali hili kabla ya kesho mimi kuhamia Burundi

    Husika na mada tajwa hapo juu, Kwako Waziri wa Afya UMMY MWALIMU, kwanza nikupe pole na majukumu yako ya kila siku japo ni wajibu wako kuyatekeleza, na pili nikupongeze kama Mbunge na Waziri kwa jinsi mnavyoendelea kuwalimbikia watanzania Tozo wakiwemo wananchi wako katika jimbo lako la Tanga...
  17. Determinantor

    Nitahamia Zambia na Sio Burundi

    Angekua na "uelewa" japo Mdogo angeshauri tuhamie Zambia na sio Burundi. Zambia Raisi ni Mtumishi wa Wananchi, ni mnyenyekevu, amezuia matumizi ya magari ya kifahari kwa Mawaziri (Wakati yeye ana latest Toyota v8), Rais wa Zambia amegoma Katu kupongezwa na kuwakumbusha Watu wake kuwa...
  18. chizcom

    Ni kweli Burundi ilitaka kuunganika na Tanganyika ilivyopata Uhuru na ingekuwa sehemu ya Tanganyika?

    Jana Julai mosi, wananchi wa Burundi waliadhimisha miaka 60 tangu nchi yao ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Ubelgiji Jumapili ya Julai mosi, 1962. Mwaka moja kabla ya siku ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi wa Umoja Mataifa na chama kilichoshinda katika...
  19. RWANDES

    Majaribio ya treni ya umeme yafanyika

    Hii ndio iliyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivyo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakati.
  20. Justine Marack

    Tuungane na Burundi tuifaidi Congo

    Baada ya taarifa za kuwepo harakati za muungano wa Tanzania na Burundi. Ni wakati Sasa jambo hili lipewe nafasi na lifanyike Kwa haraka. Jamii ya warundi ni tiifu Kwa Tanzania na miaka yote kuanzia raia mpaka serikali ya Burundi wamejiona salama chini ya Tanzania mpaka kufikia kuwa na kura ya...
Back
Top Bottom