burundi

Burundi ( (listen), ), officially the Republic of Burundi (Kirundi: Republika y'Uburundi, [u.βu.ɾǔː.ndi]; French: République du Burundi, [buʁundi] or [byʁyndi]), is a landlocked country in the Great Rift Valley where the African Great Lakes region and East Africa converge. It is bordered by Rwanda to the north, Tanzania to the east and southeast, and the Democratic Republic of the Congo to the west; Lake Tanganyika lies along its southwestern border. The capital is Bujumbura.The Twa, Hutu and Tutsi peoples have lived in Burundi for at least 500 years. For more than 200 of those years, Burundi was an independent kingdom, until the beginning of the 20th century, when Germany colonised the region. After the First World War and Germany's defeat, it ceded the territory to Belgium. Both Germans and Belgians ruled Burundi and Rwanda as a European colony known as Ruanda-Urundi. Despite common misconceptions, Burundi and Rwanda had never been under common rule until the time of European colonisation.
Burundi gained independence in 1962 and initially had a monarchy, but a series of assassinations, coups and a general climate of regional instability culminated in the establishment of a republic and one-party state in 1966. Bouts of ethnic cleansing and ultimately two civil wars and genocides during the 1970s and again in the 1990s left the economy undeveloped and the population as one of the world's poorest.
The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, died together when their aeroplane was shot down in April 1994. 2015 witnessed large-scale political strife as President Pierre Nkurunziza opted to run for a third term in office, a coup attempt failed and the country's parliamentary and presidential elections were broadly criticised by members of the international community.
The sovereign state of Burundi's political system is that of a presidential representative democratic republic based upon a multi-party state. The President of Burundi is the head of state and head of government. There are currently 21 registered parties in Burundi. On 13 March 1992, Tutsi coup leader Pierre Buyoya established a constitution, which provided for a multi-party political process and reflected multi-party competition. Six years later, on 6 June 1998, the constitution was changed, broadening National Assembly's seats and making provisions for two vice-presidents. Because of the Arusha Accord, Burundi enacted a transitional government in 2000. In October 2016, Burundi informed the UN of its intention to withdraw from the International Criminal Court.Burundi remains primarily a rural society, with just 13.4% of the population living in urban areas in 2019. The population density of around 315 people per square kilometre (753 per sq mi) is the second highest in Sub-Saharan Africa. Roughly 85% of the population are of Hutu ethnic origin, 15% are Tutsi, and fewer than 1% are indigenous Twa. The official languages of Burundi are Kirundi, French and English, Kirundi being recognised officially as the sole national language.One of the smallest countries in Africa, Burundi has an equatorial climate. Burundi is a part of the Albertine Rift, the western extension of the East African Rift. The country lies on a rolling plateau in the centre of Africa. The highest peak, Mount Heha at 2,685 m (8,810 ft), lies to the southeast of the largest city, Bujumbura. The most distant source of the River Nile is the Ruvyironza River in the Bururi Province of Burundi, the Nile is linked from Lake Victoria to its headwaters via the Kagera River to the Ruvyironza River. Another major lake is Lake Tanganyika, located in much of Burundi's southwestern corner. There are two national parks, Kibira National Park to the northwest (a small region of rain forest, adjacent to Nyungwe Forest National Park in Rwanda), and Ruvubu National Park to the northeast (along the Rurubu River, also known as Ruvubu or Ruvuvu). Both were established in 1982 to conserve wildlife populations. Burundi's lands are mostly agricultural or pasture.
Settlement by rural populations has led to deforestation, soil erosion and habitat loss. Deforestation of the entire country is almost completely due to overpopulation, with a mere 600 km2 (230 sq mi) remaining and an ongoing loss of about 9% per annum. In addition to poverty, Burundians often have to deal with corruption, weak infrastructure, poor access to health and education services, and hunger. Burundi is densely populated and has had substantial emigration as young people seek opportunities elsewhere. The World Happiness Report 2018 ranked Burundi as the world's least happy nation with a rank of 156.

View More On Wikipedia.org
  1. Ramon Abbas

    Car4Sale Chuma nyingine hii hapa kwa bei ya Kuhamia Burundi. Nissan March kwa 2mil only

    Gari imekaza. Gari inatembea mwendo mdundo Haina shida wala kelele Njoo na Mil 2 nikuachie sms 0625750755 gari za bei kitonga zipo. imebaki hii tu INAFUATA FORD XLT manual gear kwa milioni 7
  2. Nyumba Nafuuu

    Orodha ya Ramani za Nyumba na Makisio Yake Unazoweza Jenga Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Nchi Mbalimbali Afrika

    Hapa katika uzi huu nakupa Orodha ya Ramani za Nyumba na Makisio Yake Unazoweza Jenga Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Nchi Mbalimbali Afrika. Zipo nyumba nyingi, so angalia ktk comment kuona zaidi
  3. beth

    Burundi: Majanga ya asili yapelekea watu zaidi ya 100,000 kukimbia makazi yao

    Majanga ya Asili yamesababisha Watu kukimbia makazi yao miaka ya karibuni, ikielezwa wengi wao walikuwa wakiishi pembezoni mwa Ziwa Tanganyika ambapo viwango vya maji vimeongezeka na kusababisha mafuriko na maporomoko Shirika la Save The Children linasema takriban 85% ya Watu 122,500 wanaokaa...
  4. B

    Nani aliwahi kununua mitumba Bujumbura?

    Bismillah. Naomba kujua kwa mtu yeyote aliyeishi au kununua mtumba mji wa bunjumbura. Kat ya Dar na Bujumbura wapi mtumba wao n mkali na bei yao inatofaut sana na huku? Help me niga mi nko kigoma nataka nkapoint vikal buju. Naomba mwenye maujanja ananinasue Asanteni kwa kuja JF
  5. MchunguZI

    Spika na Bunge lake; ni maadili au hasira ya kutotaka kulipa kodi? Mwigulu aliyeshauri tuhamie Burundi je?

    Haingii akilini kwamba bunge linatumia muda mwingi kujadili sehemu ya kazi za mbunge. Eti Gwajima Mbunge, anajadiliwa kwa kuhoji maamuzi ya serikali Eti Silaa Mbunge, anajadiliwa kwa kusema anachohisi ni ukwepaji kodi kwa wabunge! Sasa kinachoendelea ni muendelezo wa kuhojiwa na kamati baada ya...
  6. Analogia Malenga

    Kwa Watanzania mlioko Burundi hali ikoje huko, nataka kuja

    Baada ya mheshimiwa kusema tuhamie Burundi nilijipanga vizuri ili nihamie Burundi ila nikakumbuka kuna watu wamekimbia Burundi na kuja Tz So naomba kuuliza kwa mlioko Burundi hali ya tozo ikoje, amani, na mazingira ya biashara nisije kujikuta naangukia pua
  7. Sky Eclat

    Muda ndiyo huu, tuwakamue mpaka waende Burundi

  8. MK254

    #COVID19 Burundi pia yaacha ukaidi, yakubali chanjo ya COVID-19

    Baadhi ya Waafrika ni viumbe vya ajabu sana, unapiga piga makelele dhidi ya mambo ya kisayansi wakati mwenyewe kwako huna hata kiwanda cha sindano, kila kitu unaagiza kutoka nje halafu unabwabwaja eti mabeberu wanataka kuwamaliza kwa chanjo dhidi ya corona, ilhali unapokea chanjo aina nyingine...
  9. TUJITEGEMEE

    BURUNDI: Wakataa unyonyaji kwenye madini

    Burudi imezuia upelekaji nje aina ya madini adimu ( rare earth) mpaka suala la kupata faida yenye usawa kwa serikali na mwekezaji linafikiwa. Hayo yamesemwa na Waziri wa maji, nishati na madini nchini humo, Mheshimiwa Uwizeye kupitia barua aliyoliadikia kundi la makampuni ya uchumbaji madini...
  10. Shing Yui

    Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

    Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza. Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto. Tangu tumepandishiwa miamala...
  11. chakii

    Mwigulu: Watanzania msikimbie nchi tutarekebisha makosa

    “Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza! Lakini usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”. Waziri Nchemba Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala Source ...
  12. TheDreamer Thebeliever

    Nataka nikaishi Burundi au Rwanda; naombeni ushauri na muongozo cha kufanya

    Habari wadau! Nataka kuhama Tanzania niende nikaishi zangu Burundi au Rwanda naombeni ushauri na muongozo wa maisha kule.
  13. majumba 6

    Safari yangu ya kwenda Burundi imeiva

    Twenzetu burundi...!
  14. Christopher Wallace

    Tuambie jina lako la Burundi unaitwa nani?

    Katika kutekeleza kauli ya Waziri wa Fedha, ya kututaka tuhamie Burundi kama hatuwezi kulipa tozo za miamala ya simu, jina lako la Burundi unaitwa nani? Mimi naitwa Renzoimana Barberashimiye.
  15. Kingsmann

    Katika hili mlichemka pakubwa sana, haiwezekani tozo izidi kodi ambayo ipo kihalali

    Hebu angalia gharama hizi za huu muamala hapa chini[emoji116] 👉Gharama ya muamala(kodi) = 3500/= 👉Tozo ya mshikamano = 7500/= Hii uliona wapi? Hata kama ni uzalendo huu sasa ni unyanyasaji, hata kama ni mshikamano huu sasa ni mshikwamano. Yani tozo ambayo kiuhalisia ilipaswa iwe hiari...
  16. K

    Kwanini tuhamie Burundi na sio nchi nyingine?

    Mwigulu Nchemba kasema asiyetaka tozo ya miamala ahamie Burundi. Ni kwanini asiseme kuhamia nchi nyingine. Burundi kunani?
  17. Yericko Nyerere

    Kauli ya Mwigulu kuhusu Burundi ni hatari kwa Usalama wa Taifa. Serikali ijitenge nae!

    Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi...
  18. Komeo Lachuma

    Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

    Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya. Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa...
  19. GENTAMYCINE

    Je, kitendo cha nchi ya Burundi kupenda kushirikiana zaidi na nchi moja ya 'EAC' ni Afya kwa 'Usalama' wake wa Taifa?

    Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda...
  20. M

    Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?

    Leo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita. Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu...
Back
Top Bottom